News
-
MFUMO WA BOTTOM UP WAPIGIWA UPATU BARINGO.
Na Benson AswaniViongozi katika kaunti ya Baringo wanazidi kupigia debe mfumo wa kuimarisha uchumi unaopendekezwa na naibu rais Dkt William Ruto wa bottom up ecomonic model.Kulingana mwaniaji wa ubunge kwenye […]
-
POLISI KATIKA KITUO CHA KONGELAI WAMULIKWA KWA KUWAHANGAISHA WAFANYIBIASHARA.
Na Benson AswaniWafanyibiashara katika soko la Kongelai kauti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia kuhangaishwa na maafisa wa polisi wa kituo cha Kongelai wanaowaitisha pesa kabla ya kuendelea na shughuli zao […]
-
HAZINA YA TAIFA YATAKIWA KUAHARAKISHA KUTOA FEDHA KWA IEBC.
Na Benson AswaniMbunge wa Kapenguria Samwel Moroto ameitaka hazina ya taifa kuharakisha katika kutoa fedha kwa tume ya uchaguzi na mipaka IEBC ili kuiwezesha kufanikisha shughuli ya usajili wa wapiga […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WASHUTUMU VISA VYA MIOTO SHULENI.
Na Benson AswaniViongozi kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kukashifu kukithiri visa vya kuteketezwa majengo ya shule ambavyo vimeonekana kukithiri katika siku za hivi karibuni nchini.Wakiongozwa na mwakilishi kina mama […]
-
WAKAZI TRANS NZOIA WATAKIWA KUENEDELEA KUJITOKEZA KUSAJILIWA KUWA WAPIGA KURA.
Na Benson AswaniViongozi katika kaunti ya Trans nzoia sasa wanawataka wakazi wa kaunti hiyo ambao walikosa kusajiliwa kuwa wapiga kura katika zoezi la usajili wa wapiga kura wapya ambalo limekuwa […]
-
POKOT MAGHARIBI YASAJILI ASILIMI 33 YA WAPIGA KURA WAPYA.
Na Benson AswaniZoezi la usajili wa wapiga kura likiwa limekamilika kulingana na mipangilio ya tume ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC kaunti hii ya Pokot magharibi ilikuwa imewasajili jumla ya […]
-
KENYA POWER YALAUMIWA KWA UTEPETEVU KACHELIBA.
Na Benson AswaniWakazi wa eneo la Kacheliba katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kulalamikia ukosefu wa nguvu za umeme eneo hilo kwa muda sasa.Wakiongozwa na Joseph Sarich wakazi hao […]
-
VIONGOZI KUTOKA KERIO VALLEY WAHIMIZWA KUSHIRIKIANA KUKABILI VISA VYA UVAMIZI.
Na Benson AswaniViongozi kutoka kaunti ambazo zimekuwa zikishuhudia wizi wa mifugo hasa eneo la Kerio valley wamehimizwa kuja pamoja na kupata suluhu ya kudumu.Gavana wa kaunti ya Elgeyo marakwet Alex […]
-
WANAFUNZI KUTOKA JAMII MASIKINI WANUFAIKA NA BASARI SABOTI, TRANS NZOIA.
Na Benson AswaniZaidi ya wanafunzi 200 kutoka eneo bunge la Saboti Kaunti ya Trans-Nzoia wamefaidi basari kupitia kwa hazina ya fedha za ustawishaji maeneo bunge (NGCDF) chini ya Mbunge Caleb […]
-
IDARA ZA USALAMA NA ELIMU POKOT MAGHARIBI ZAENDELEZA MIKAKATI YA KUKABILI MIOTO SHULENI.
Na Benson Aswani Mikakati inaendelea kuwekwa na idara za usalama kwa ushirikiano na ile ya elimu kuhakikisha kuwa visa vya mioto shuleni ambavyo vimeonekana kuongezeka katika siku za hivi karibuni […]
Top News










