News
-
MAGOHA ASHUTUMIWA KWA KUSEMA WAZAZI WATAGHARAMIA UHARABIFU SHULENI.
Na Benson AswaniWakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametofautiana vikali na kauli ya waziri wa elimu Prof. George Magoha kuwa serikali haitogharamia ujenzi wa majengo ya shule ambayo yanateketezwa […]
-
ONYO YATOLEWA KWA WANAOVURUGA MIKUTANO YA KISIASA TRANS NZOIA.
Na Benson AswaniMshirikishi wa serikali eneo la bonde la ufa George Natembeya ameonya vikali dhidi ya vijana kutumika kuvuruga mikutano inayoandaliwa na wagombea nyadhifa mbali mbali katika uchaguzi mkuu wa […]
-
MIITO YA KUREJESHWA KIBOKO SHULENI YAENDELEA KUTOLEWA.
Na Benson AswaniViongozi katika kaunti ya Baringo sasa wanapendekeza kurejeshwa kwa adhabu ya viboko shuleni ili kukabili utovu wa nidhamu miongoni mwa wanafunzi ambao unatajwa kuwa moja ya sababu ya […]
-
MOROTO AKANA KUKINZANA KIMAJUKUMU NA GAVANA LONYANGAPUO.
Na Benson AswaniMbunge wa Kapenguria kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Moroto amekanusha madai ya kuwepo mkinzano wa kimajukumu kati yake na gavana wa kaunti hii John Lonyangapuo hasa katika […]
-
NASOKOL YAZURU MAKAO YA WATOTO YA SUNFLOWER.
Na Benson AswaniShule ya wasichana ya Nasokol kaunti hii ya Pokot magharibi Kupitia klabu ya Charity wameyatembelea jana makao ya watoto ya Sunflower na kutoa msaada wa bidhaa za msingi […]
-
NATEMBEYA APATA PIGO TRANS NZOIA MIKONONI MWA UDA.
Na Benson AswaniZaidi wa wafuasi 500 waliokuwa wakimpigia debe mshirikishi wa bonde la Ufa George Natemebeya kugombea wa kiti cha ugavana Katika Kaunti ya Trans-Nzoia wamehamia mrengo wa Mshauri mkuu […]
-
MIPANGILIO ‘MIBAYA’ YA KALENDA YA MASOMO YATAJWA KUCHANGIA VISA VYA MIOTO SHULENI.
Na Benson AswaniKutokuwapo kwa muda wa kutosha wa wanafunzi kupumzika baina ya mihula ni moja ya sababu ambayo imepelekea kushuhudiwa kwa visa vya kuteketezwa mabweni kwenye shule mbali mbali nchini.Hayo […]
-
VIONGOZI KUTOKA BONDE LA KERIO WAMETAKIWA KUSHIRIKIANA KUKABILI UHALIFU.
Na Benson AswaniIpo haja kwa kaunti za Bonde la Kerio ikiwemo kaunti hii ya Pokot magharibi, Elgeyo marakawet na Baringo kushirikiana kwa pamoja katika vita dhidi ya uvamizi ambao umekuwa […]
-
VIONGOZI TRANS NZOIA WAKOSOA ADHABU FINYU INAYOTOLEWA KWA WABAKAJI.
Na Benson AswaniViongozi wa kike Trans nzoia wametaka hatua kali kuchukuliwa dhidi ya wanaoendeleza visa vya ubakaji na utungwaji mimba wasichana eneo hilo wakilalamikia hatua ya kutolewa adhabu finyu kwao […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUWA MAKINI KATIKA UCHAGUZI MKUU UJAO.
Na Benson Aswani Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuwa makini katika uchaguzi mkuu wa mwaka ujao ili kufanya maamuzi ambayo yatakakuwa ya manufaa kwao.Ni wito wake spika […]
Top News










