News
-
Mgomo wa wauguzi wasitishwa Pokot magharibi
Na Benson Aswani,Huduma za matibabu zinatarajiwa kurejelewa rasmi katika kaunti ya Pokot magharibi baada ya kuysitsihwa rasmi mgomo wa wauguzi ambao umekuwa ukiendelea kwa wiki ya sita sasa. Gavana wa […]
-
Kachapin aahidi kuimarisha hali ya Pokot Magharibi kabla ya kuondoka afisini
Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot Magharibi simon kachapin amesema serikali yake inawekeza katika ujenzi wa taasisi za elimu pamoja na miundombinu ili kufungua zaidi kaunti hiyo kwa wakenya […]
-
Serikali ya Pokot magharibi yaendesha vikao vya kukusanya maoni kuhusu bajeti
Na Benson Aswani,Maswala ya elimu na afya yalipewa kipau mbele katika shughuli ya kuwahusisha wananchi kutoa maoni yao kuhusu maswala ambayo yanapasa kupewa kipau mbele wakati wa kuunda bajeti ya […]
-
Poghisio awasuta wanaopinga ujenzi wa chuo kikuu cha Kapenguria
Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameunga mkono kuanzishwa kwa chuo kikuu katika kaunti hiyo hatua anayosema itachangia pakubwa maendeleo ya kaunti. Poghisio ambaye ametangaza […]
-
Shilingi bilioni 1.16 zatengwa kukamilishwa mradi wa maji wa Siyoi-Muruny
Na Benson Aswani,Waziri wa maji Erick Muuga ameahidi kuharakishwa mradi wa maji wa Siyoi-Murunyi ili kutatua changamoto ya uhaba wa maji kwa wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi ambao wamesubiri […]
-
Kachapin awataka wahudumu wa afya kurejea kazini
Na Benson Aswani, Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametoa wito kwa wahudumu wa afya ambao wanaendeleza mgomo wao kuyapa nafasi mazungumzo ili kupata suluhu ya jinsi ya […]
-
Poghisio adokeza kuhusu uwezekano wake kufanya kazi na gavana Kachapin katika serikali ijayo
Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti hii ya Pokot Magharibi Samwel Poghisio ameendelea kujipigia debe katika azma yake ya kuwania ugavana wa kaunti hiyo katika uchaguzi mkuu wa mwaka ujao. […]
-
Maafisa wa kliniki Pokot magharibi wagoma
Na Benson Aswani,Maafisa wa kiliniki katika kaunti ya Pokot magharibi wameungana na wenzao kote nchini kwa mgomo unaolenga kushinikiza serikali za kaunti kutelekeza mkataba wao wa maelewano CBA. Akizungumza baada […]
-
Bodi simamizi ya hospitali ya Kapenguria yafanyiwa mabadiliko ya uongozi
Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendelea kusifia ugatuzi akisema umepelekea maendeleo mengi ambayo hayakushuhudiwa katika serikali za awali. Akizungumza wakati wa kuteuliwa uongozi mpya wa […]
-
Wandani wa Rais Ruto waendelea kujifariji baada ya UDA kushindwa Ol Kalou
Na Emmanuel Oyasi,Mwakilishi wa kike wa kaunti ya Pokot Magharibi, Rael Kasiwai, amesema kushindwa kwa chama cha UDA katika uchaguzi mdogo wa Ol Kalou hakupaswi kutafsiriwa kuwa serikali ya Kenya […]
Top News










