News
-
Poghisio awasuta wanaopinga ujenzi wa chuo kikuu cha Kapenguria
Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameunga mkono kuanzishwa kwa chuo kikuu katika kaunti hiyo hatua anayosema itachangia pakubwa maendeleo ya kaunti. Poghisio ambaye ametangaza […]
-
Shilingi bilioni 1.16 zatengwa kukamilishwa mradi wa maji wa Siyoi-Muruny
Na Benson Aswani,Waziri wa maji Erick Muuga ameahidi kuharakishwa mradi wa maji wa Siyoi-Murunyi ili kutatua changamoto ya uhaba wa maji kwa wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi ambao wamesubiri […]
-
Kachapin awataka wahudumu wa afya kurejea kazini
Na Benson Aswani, Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametoa wito kwa wahudumu wa afya ambao wanaendeleza mgomo wao kuyapa nafasi mazungumzo ili kupata suluhu ya jinsi ya […]
-
Poghisio adokeza kuhusu uwezekano wake kufanya kazi na gavana Kachapin katika serikali ijayo
Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti hii ya Pokot Magharibi Samwel Poghisio ameendelea kujipigia debe katika azma yake ya kuwania ugavana wa kaunti hiyo katika uchaguzi mkuu wa mwaka ujao. […]
-
Maafisa wa kliniki Pokot magharibi wagoma
Na Benson Aswani,Maafisa wa kiliniki katika kaunti ya Pokot magharibi wameungana na wenzao kote nchini kwa mgomo unaolenga kushinikiza serikali za kaunti kutelekeza mkataba wao wa maelewano CBA. Akizungumza baada […]
-
Bodi simamizi ya hospitali ya Kapenguria yafanyiwa mabadiliko ya uongozi
Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendelea kusifia ugatuzi akisema umepelekea maendeleo mengi ambayo hayakushuhudiwa katika serikali za awali. Akizungumza wakati wa kuteuliwa uongozi mpya wa […]
-
Wandani wa Rais Ruto waendelea kujifariji baada ya UDA kushindwa Ol Kalou
Na Emmanuel Oyasi,Mwakilishi wa kike wa kaunti ya Pokot Magharibi, Rael Kasiwai, amesema kushindwa kwa chama cha UDA katika uchaguzi mdogo wa Ol Kalou hakupaswi kutafsiriwa kuwa serikali ya Kenya […]
-
Serikali ya kitaifa yaipa msaada shule ya msingi ya Nasokol kufuatia mkasa wa moto
Na Benson AswaniShule ya msingi ya Nasokol eneo bunge la Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi imepokea msaada kutoka kwa serikali kuu kufuatia mkasa wa moto ambao uliteketeza mabweni mawili […]
-
Poghisio awasuta wanasiasa wanaotumia fedha kutafuta uungwaji mkono kwenye uchaguzi
Na Benson AswaniAliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot Magharibi Samwel Poghisio amekemea pakubwa hulka ya viongozi wa kisiasa ambao wanatafuta nafasi za uongozi kwenye uchaguzi kutumia fedha nyingi kuwahonga wananchi […]
-
Poghisio: Kaunti ya Pokot Magharibi inahitaji mabadiliko haraka iwezekanavyo
Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ambaye pia ametangaza nia ya kuwania kiti cha ugavana katika uchaguzi mkuu wa mwaka ujao, ameelezea haja ya kuwepo […]
Top News










