News
Kachapin awaonya vikali wachimba madini Pokot magharibi
Na Emmanuel Oyasi,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametoa onyo kwa wawekezaji ambao wanaendeleza uchimbaji wa madini katika kaunti hiyo bila ya kufuata taratibu ambazo zinafaa. Gavana Kachapin alisema raslimali za kaunti hiyo zimeharibiwa pakubwa na wawekezaji aliodai ...
Wakazi Pokot magharibi waiomba serikali kuwapa pembejeo za kilimo
Na Emmanuel OyasiWito umetolewa kwa serikali ya kaunti ya Pokot magharibi chini ya gavana Simon Kachapin kuendeleza mpango wa kugawa mbegu na mbolea kwa wakazi hasa maeneo ya mashinani ambao hawana uwezo wa kununua pembejeo hizo hasa msimu huu wa ...
Gavana Kachapin atia saini mswada wa kukabili umasikini Pokot magharibi
Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametia saini kuwa sheria mswada utakaoiwezesha serikali ya kaunti kutenga kisheria fedha ambazo zitasaidia katika kuimarisha maisha ya wakazi wa kaunti hiyo walio chini kiuchumi, maarufu Poverty Graduation Bill. Akizungumza ...
Lochakapong ataka swala la uchimbaji madini kutoingiza siasa Pokot magharibi
Na Benson Aswani,Mjumbe wa sigor kaunti ya Pokot magharibi Peter lochakapong amewasuta baadhi ya viongozi wa kisiasa katika kaunti hiyo kwa kile amedai wameingiza siasa katika swala zima la uchimbaji madini maeneo ya lami nyeusi na kambi karai. Akizungumza katika ...
Serikali ya Kenya kwanza imejitolea kuimarisha maisha ya mwananchi; Arumonyang
Na Benson Aswani,Katibu wa idara ya kazi za umma Joel Arumonyang ametetea miradi ya maendeleo ambayo inaendelezwa na serikali yake rais William Ruto, akisema serikali kuu imejitolea kuimarisha maisha ya mwananchi. Akizungumza katika afisi za gavana wa kaunti ya Pokot ...
