News
Shilingi bilioni 1.16 zatengwa kukamilishwa mradi wa maji wa Siyoi-Muruny
Na Benson Aswani,Waziri wa maji Erick Muuga ameahidi kuharakishwa mradi wa maji wa Siyoi-Murunyi ili kutatua changamoto ya uhaba wa maji kwa wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi ambao wamesubiri wa miaka mingi kukamilishwa mradi huo. Akizungumza mjini Kapenguria baada ...
Kachapin awataka wahudumu wa afya kurejea kazini
Na Benson Aswani, Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametoa wito kwa wahudumu wa afya ambao wanaendeleza mgomo wao kuyapa nafasi mazungumzo ili kupata suluhu ya jinsi ya kushughulikia matakwa yao. Akizungumza katika hafla moja eneo la Bendera, ...
Poghisio adokeza kuhusu uwezekano wake kufanya kazi na gavana Kachapin katika serikali ijayo
Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti hii ya Pokot Magharibi Samwel Poghisio ameendelea kujipigia debe katika azma yake ya kuwania ugavana wa kaunti hiyo katika uchaguzi mkuu wa mwaka ujao. Akizungumza katika ibaada ya jumapili kwenye kanisa la full gospel ...
Maafisa wa kliniki Pokot magharibi wagoma
Na Benson Aswani,Maafisa wa kiliniki katika kaunti ya Pokot magharibi wameungana na wenzao kote nchini kwa mgomo unaolenga kushinikiza serikali za kaunti kutelekeza mkataba wao wa maelewano CBA. Akizungumza baada ya kukutana na maafisa hao, mwakilishi wa muungano wa maafisa ...
Bodi simamizi ya hospitali ya Kapenguria yafanyiwa mabadiliko ya uongozi
Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendelea kusifia ugatuzi akisema umepelekea maendeleo mengi ambayo hayakushuhudiwa katika serikali za awali. Akizungumza wakati wa kuteuliwa uongozi mpya wa bodi simamizi ya hospitali za Kapenguria, Kacheliba, Chepareria na Sigor, ...
