News

Wandani wa Rais Ruto waendelea kujifariji baada ya UDA kushindwa Ol Kalou

Na Emmanuel Oyasi,Mwakilishi wa kike wa kaunti ya Pokot Magharibi, Rael Kasiwai, amesema kushindwa kwa chama cha UDA katika uchaguzi mdogo wa Ol Kalou hakupaswi kutafsiriwa kuwa serikali ya Kenya Kwanza imepoteza uungwaji mkono wa wananchi. Akizungumza katika hafla ya ...

Serikali ya kitaifa yaipa msaada shule ya msingi ya Nasokol kufuatia mkasa wa moto

Na Benson AswaniShule ya msingi ya Nasokol eneo bunge la Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi imepokea msaada kutoka kwa serikali kuu kufuatia mkasa wa moto ambao uliteketeza mabweni mawili pamoja na mali ya wanafunzi takriban miezi miwili iliyopita. Akizungumza ...

Poghisio awasuta wanasiasa wanaotumia fedha kutafuta uungwaji mkono kwenye uchaguzi

Na Benson AswaniAliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot Magharibi Samwel Poghisio amekemea pakubwa hulka ya viongozi wa kisiasa ambao wanatafuta nafasi za uongozi kwenye uchaguzi kutumia fedha nyingi kuwahonga wananchi ili kupata uungwaji mkono. Akizungumza na wanahabari, Poghisio ambaye pia ...

Poghisio: Kaunti ya Pokot Magharibi inahitaji mabadiliko haraka iwezekanavyo

Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ambaye pia ametangaza nia ya kuwania kiti cha ugavana katika uchaguzi mkuu wa mwaka ujao, ameelezea haja ya kuwepo mabadiliko katika kaunti hiyo. Akizungumza na wanahabari, Poghisio ambaye aliwahi ...

Visa vya wizi wa mifugo vyachipuka tena mpakani pa Pokot Magharibi na Turkana

Na Emmanuel Oyasi,Mbunge wa Kacheliba kaunti ya Pokot magharibi Titus Lotee amelalamikia kukithiri utovu wa usalama mpakani pa eneo hilo na kaunti jirani ya Turkana. Akizungumza na kituo hiki, Lotee alisema licha ya serikali ya kitaifa kupitia idara ya usalama ...

Loading...