News

Mkutano wa kuangazia changamoto za jamii ya wafugaji waandaliwa Moroto Uganda
Ujumbe wa Ushirikiano Kati Ya Kaunti Za Pokot Magharibi ,Turkana na Taifa Jirani la Uganda ,Picha /Benson Aswani Na Emmanuel Oyasi,Mkutano wa kuhimiza ushirikiano kati ya kaunti za Pokot magharibi Turkana na eneo la Karamoja taifa jirani la Uganda, umeandaliwa ...

Mahakama ya Kapenguria yazindua kitengo cha upatanishi
Hakimu Wa Mahama Ya Kapenguria Stelah Telewa {kulia} Akifungua Afisi ya Kitengo cha Upatanishi ,Picha/Benson Aswan Na Benson Aswani,Mahakama kuu ya Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi imezindua rasmi kitengo cha upatanishi ‘Court Annexed Mediation’ katika mahakama hiyo kitakachosaidia katika kusuluhisha ...

Ubalozi wa Ireland wazuru pokot magharibi kukagua miradi ya maendeleo
Neale Richmond- Balozi wa Ireland Nchini Kenya,Picha/Benson Aswan Na Emmanuel Oyasi,Ujumbe kutoka ubalozi wa Ireland nchini Kenya umezuru jumatano kaunti ya Pokot magharibi na kukagua miradi mbali mbali ambayo inaendelezwa chini ya ufadhili wa taifa hilo. Balozi wa taifa hilo ...

Kachapin atofautiana na wanaopinga mwafaka baina ya Ruto na Raila
Simon Kachapin-Gavana Wa Kaunti Ya Pokot Magharibi,Picha/Benson Aswan Na Emmanuel Oyasi,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameunga mkono ushirikiano kati ya rais William Ruto na kinara wa chama ODM Raila Odinga ambao umepelekea kubuniwa serikali jumuishi inayohusisha viongozi ...

Hatutaruhusu ukeketaji kuharibu kizazi kijacho, Kiprop
Vifaa Vinavyotumika Kwa Ukeketaji,Picha/Maktaba Na Emmanuel Oyasi,Miito imeendelea kutolewa kwa wazazi katika kaunti ya Pokot magharibi kuwalea vyema wanao na kuhakikisha kwamba wanapata haki zao za kimsingi badala ya kuwalazimishia tamaduni zilizopitwa na wakati za ukeketaji na ndoa za mapema ...