News

VIONGOZI KAUNTI YA UASINGISHU WAHAKIKISHIA WAKAAZI WA ENEO HILO USALAMA WAKATI WA UCHAGUZI.

Gavana Jackson Mandago ametoa hakikisjo kwa wenyeji kwamba amani itaendelea kudumu kabla wakati na hata baada ya uchaguzi wa agosti tisa na hivyo akawataka kutoishi na wasiwasiAkizungumza katika eneo la Kimuri aidha amewataka wanasiasa kuuza sera zao kwa wananchi bila …
Continue reading

WAKAAZI WA POKOT WAHIMIZWA KUDUMISHWA AMANI WAKATI HUU NA BAADA YA UCHAGUZI.

Wito umetolewa kwa wagombea wakisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi na wakazi kwa jumla kuhakikisha kuwa wanadumisha umoja na utangamano kipindi hiki taifa linapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi agosti.Wakiongozwa na Lomery kaperur kutoka wadi ya lomut, wakaazi hao …
Continue reading

WANAOENDESHA KAMPENI ZA USIKU WAONYWA BARINGO.

Idara ya usalama kwenye kaunti ndogo ya Eldama ravine kaunti ya baringo imewaonya viongozi wanaowania nyadhifa za kisiasa kwenye uchaguzi mkuu wa agosti 9 dhidi ya kuandaa mikutano nyakati za usiku.Naibu kamishna eneo hilo omar ali amesema kwamba ni marufuku …
Continue reading

WANASIASA TRANS NZOIA WAHIMIZWA KUHUBIRI AMANI KATIKA KAMPENI ZAO.

Wazee kutoka jamii ya luhya katika kaunti ya Trans nzoia wameomba amani kabla wakati na hata baada ya uchaguzi mkuu ujao akiwataka viongozi ambao wanawania viti mbalimbali kuhubiri amani wakati wa kampeini.Wakiongozwa na mzee abdi wanyama kutoka eneobunge la cheranganyi …
Continue reading

UPANGAJI UZAZI WAKUMBATIWA NA ASILIMIA KUBWA POKOT MAGHARIBI.

Takwimu za hivi punde zinaashiria kwamba asilimia kubwa ya wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi sasa wamekumbatia mbinu za kupanga uzazi.Akizungumza na wanahabari baada ya kikao cha kutoa matokeo ya utafiti uliofanywa na idara ya afya kaunti hii kuhusu …
Continue reading

Loading...

[wp_radio_player]