News

Serikali yatakiwa kuanzisha miradi ya maendeleo Bonde la Kerio kudumisha usalama.

Na Benson Aswani,Seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Julius Murgor ametoa wito kwa serikali kuanzisha miradi ya maendeleo maeneo ya mipakani pa kaunti za bonde la kerio hasa baada ya kuanza kushuhudiwa utulivu katika maeneo hayo. Murgor alisema miradi kama ...

Poghisio ashutumu migawanyiko miongoni mwa viongozi Pokot Magharibi.

Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameelezea haja ya wadau katika kaunti hiyo kuja pamoja na kusemezana ili kupata mwelekeo wa kisiasa ambao utakuwa wenye manufaa kwa wakazi na kaunti kwa ujumla. Poghisio alisema migawanyiko ...

Kachapin awaonya maafisa ‘wazembe’ katika serikali yake

Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendelea kusisitiza kwamba kamwe hataruhusu maafisa wazembe katika serikali yake. Akizungumza katika katika kikao na wanahabari, Gavana Kachapin alisema atatumia kipindi cha miezi mitatu kuanzia Januari mwakani kutathmini utendakazi wa ...

Kubuniwa hazina ya miundo mbinu ni hatua muhimu kwa safari ya Kenya kufikia Singapore; Poghisio

Na Benson Aswani,Hatua ya baraza la mawaziri kubuni hazina ya miundo mbinu (infrastructure fund) inadhihirisha umakini wa serikali chini ya uongozi wa rais William Ruto kuhakikisha kwamba uchumi wa taifa hili unaimarika na kufikia viwango vya mataifa yaliyoendelea (first world ...

Usimamizi mbaya wa raslimali ndio unaohujumu maendeleo ya taifa; Kachapin

Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amesema maono ya rais kulifanya taifa hili kuwa miongoni mwa mataifa ambayo yameimarika kiuchumi yani first world countries yataafikiwa iwapo kutakuwepo na usimamizi bora wa raslimali za taifa. Akizungumza katika ...

Loading...