News

SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA ZOEZI LA KUWAPA MIFUGO DAWA YA MINYOO.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kupitia wizara ya kilimo na mifugo kwa ushirikiano na shirika la PSF Germany imeendeleza shughuli ya kuwapa mifugo dawa ya minyoo katika juhudi za kuimarisha mapato ya wafugaji. Maafisa wa shirika hilo waliendeleza shughuli ...
Continue reading
Continue reading

VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATAKA KOMBE LA MURKOMEN KUSITISHWA KWA KUKOSA KUAFIKIA MALENGO YA KULETA AMANI.
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi sasa wanataka mashindano ya kombe la Murkomen, kusitishwa mara moja kwa kile wamedai kwamba yamekosa kuafikia malengo ya kuhakikisha amani katika kaunti hiyo. Wakiongozwa na mwakilishi wadi ya Sook ambaye pia ni ...
Continue reading
Continue reading

KACHAPIN ASHINIKIZA SHULE ZILIZOFUNGWA KUTOKANA NA UTOVU WA USALAMA KUFUNGULIWA JANUARI.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametoa wito kwa serikali kuweka mikakati ya kuhakikisha kwamba masomo yanarejelewa mwezi januari, katika shule ambazo zilifungwa maeneo ambayo yamekuwa yakishuhudia utovu wa usalama katika kaunti hiyo. Kachapin alisema kwamba yeye kama ...
Continue reading
Continue reading

WALIMU POKOT MAGHARIBI WAPONGEZWA KWA MATOKEO BORA YA KCPE.
Katibu mkuu wa chama cha walimu nchini KNUT tawi la Pokot magharibi Martine Sembelo amewashukuru walimu na wazazi kwa kushirikiana na kuhakikisha kwamba wanafunzi katika kaunti hiyo wanafanya vyema katika mitihani ya kitaifa kwa darasa la nane KCPE. Sembelo alisema ...
Continue reading
Continue reading

ST. MARYS ASSUMPTION NA KAPENGURIA TOWN VIEW ZANG’ARA KATIKA MTIHANI WA KCPE POKOT MAGHARIBI.
Shule mbali mbali kaunti ya Pokot magharibi zimeendelea kusherehekea matokeo bora katika mtihani wa kitaifa kwa darasa la nane KCPE ambayo yalitangazwa na waziri wa elimu Ezekiel Machogu ikizingatiwa ndio mtihani wa mwisho katika mtaala wa elimu wa 8.4.4. Miongoni ...
Continue reading
Continue reading