News

WAKAZI POKOT MAGARIBI WAKANYWA DHIDI YA KUWAZIA KUJIUNGA NA MAANDAMANO YA AZIMIO.
Mbunge wa Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi Samwel Moroto amewataka wakazi wa kaunti hiyo kutojihusisha na maandamano ambayo yanaendelezwa maeneo mbali mbali ya nchi na vinara wa chama cha muungano wa azimio la umoja one Kenya. Moroto alisema kwamba japo ...
Continue reading
Continue reading

SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAAHIDI KUIMARISHA MIUNDO MSINGI KATIKA SHULE ZOTE ZA MSINGI NA UPILI.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amesema kwamba serikali yake imetenga shilingi milioni 20 zitakazotumika kwa ajili ya ujenzi wa miundo msingi kwenye shule za msingi na upili. Akizungumza baada ya kuikabidhi shule ya upili ya mseto ya ...
Continue reading
Continue reading

MASHAMBULIZI YA WEZI WA MIFUGO YASALIA MWIBA BONDE LA KERIO LICHA YA OPARESHENI YA POLISI.
Mbunge wa Baringo kusini Charles Kamuren anaitaka serikali kuimarisha mikakati yake ya kukabiliana na washukiwa wa wizi wa mifugo wanaoendeleza uvamizi kila mara kwenye kaunti za bonde la kerio. Kulingana na Kamuren, mikakati iliyotangazwa na waziri wa usalama wa ndani ...
Continue reading
Continue reading

MAANDAMANO YA MRENGO WA AZIMIO YATAJWA KUWA UCHOCHEZI DHIDI YA SERIKALI YA RAIS RUTO.
Viongozi mbali mbali wanaoegemea mrengo wa Kenya kwanza wameendelea kukosoa maswala ambayo yanashinikizwa na kinara wa chama cha muungano wa azimio la umoja one Kenya Raila Odinga na vinara wenza katika maandamano ambayo wanaendeleza nchini. Wa hivi punde kukosoa maandamano ...
Continue reading
Continue reading

MADEREVA WASHUTUMU KAZI DUNI ILIYOTEKELEZWA KWENYE BARABARA YA KAPENGURIA –KACHELIBA.
Wahudumu wa magari kwenye barabara ya Kapenguria –Kacheliba hasa kutoka eneo la Kacheliba kaunti ya Pokot magharibi wameshutumu kile wamesema kwamba kazi duni iliyofanywa na mwanakandarasi aliyejenga barabara hiyo. Wakiongozwa na Rashid Ebenyo wahudumu hao walisema kwamba barabara hiyo imeanza ...
Continue reading
Continue reading