Tag: West Pokot
-
Wandani wa Rais Ruto waendelea kujifariji baada ya UDA kushindwa Ol Kalou
Na Emmanuel Oyasi,Mwakilishi wa kike wa kaunti ya Pokot Magharibi, Rael Kasiwai, amesema kushindwa kwa chama cha UDA katika uchaguzi mdogo wa Ol Kalou hakupaswi kutafsiriwa kuwa serikali ya Kenya […]
-
Serikali ya kitaifa yaipa msaada shule ya msingi ya Nasokol kufuatia mkasa wa moto
Na Benson AswaniShule ya msingi ya Nasokol eneo bunge la Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi imepokea msaada kutoka kwa serikali kuu kufuatia mkasa wa moto ambao uliteketeza mabweni mawili […]
-
Poghisio awasuta wanasiasa wanaotumia fedha kutafuta uungwaji mkono kwenye uchaguzi
Na Benson AswaniAliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot Magharibi Samwel Poghisio amekemea pakubwa hulka ya viongozi wa kisiasa ambao wanatafuta nafasi za uongozi kwenye uchaguzi kutumia fedha nyingi kuwahonga wananchi […]
-
Poghisio: Kaunti ya Pokot Magharibi inahitaji mabadiliko haraka iwezekanavyo
Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ambaye pia ametangaza nia ya kuwania kiti cha ugavana katika uchaguzi mkuu wa mwaka ujao, ameelezea haja ya kuwepo […]
Top News









