News
-
MOROTO AKANA KUKINZANA KIMAJUKUMU NA GAVANA LONYANGAPUO.
Na Benson AswaniMbunge wa Kapenguria kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Moroto amekanusha madai ya kuwepo mkinzano wa kimajukumu kati yake na gavana wa kaunti hii John Lonyangapuo hasa katika […]
-
NASOKOL YAZURU MAKAO YA WATOTO YA SUNFLOWER.
Na Benson AswaniShule ya wasichana ya Nasokol kaunti hii ya Pokot magharibi Kupitia klabu ya Charity wameyatembelea jana makao ya watoto ya Sunflower na kutoa msaada wa bidhaa za msingi […]
-
NATEMBEYA APATA PIGO TRANS NZOIA MIKONONI MWA UDA.
Na Benson AswaniZaidi wa wafuasi 500 waliokuwa wakimpigia debe mshirikishi wa bonde la Ufa George Natemebeya kugombea wa kiti cha ugavana Katika Kaunti ya Trans-Nzoia wamehamia mrengo wa Mshauri mkuu […]
-
MIPANGILIO ‘MIBAYA’ YA KALENDA YA MASOMO YATAJWA KUCHANGIA VISA VYA MIOTO SHULENI.
Na Benson AswaniKutokuwapo kwa muda wa kutosha wa wanafunzi kupumzika baina ya mihula ni moja ya sababu ambayo imepelekea kushuhudiwa kwa visa vya kuteketezwa mabweni kwenye shule mbali mbali nchini.Hayo […]
-
VIONGOZI KUTOKA BONDE LA KERIO WAMETAKIWA KUSHIRIKIANA KUKABILI UHALIFU.
Na Benson AswaniIpo haja kwa kaunti za Bonde la Kerio ikiwemo kaunti hii ya Pokot magharibi, Elgeyo marakawet na Baringo kushirikiana kwa pamoja katika vita dhidi ya uvamizi ambao umekuwa […]
-
VIONGOZI TRANS NZOIA WAKOSOA ADHABU FINYU INAYOTOLEWA KWA WABAKAJI.
Na Benson AswaniViongozi wa kike Trans nzoia wametaka hatua kali kuchukuliwa dhidi ya wanaoendeleza visa vya ubakaji na utungwaji mimba wasichana eneo hilo wakilalamikia hatua ya kutolewa adhabu finyu kwao […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUWA MAKINI KATIKA UCHAGUZI MKUU UJAO.
Na Benson Aswani Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuwa makini katika uchaguzi mkuu wa mwaka ujao ili kufanya maamuzi ambayo yatakakuwa ya manufaa kwao.Ni wito wake spika […]
-
MFUMO WA BOTTOM UP WAPIGIWA UPATU BARINGO.
Na Benson AswaniViongozi katika kaunti ya Baringo wanazidi kupigia debe mfumo wa kuimarisha uchumi unaopendekezwa na naibu rais Dkt William Ruto wa bottom up ecomonic model.Kulingana mwaniaji wa ubunge kwenye […]
-
POLISI KATIKA KITUO CHA KONGELAI WAMULIKWA KWA KUWAHANGAISHA WAFANYIBIASHARA.
Na Benson AswaniWafanyibiashara katika soko la Kongelai kauti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia kuhangaishwa na maafisa wa polisi wa kituo cha Kongelai wanaowaitisha pesa kabla ya kuendelea na shughuli zao […]
-
HAZINA YA TAIFA YATAKIWA KUAHARAKISHA KUTOA FEDHA KWA IEBC.
Na Benson AswaniMbunge wa Kapenguria Samwel Moroto ameitaka hazina ya taifa kuharakisha katika kutoa fedha kwa tume ya uchaguzi na mipaka IEBC ili kuiwezesha kufanikisha shughuli ya usajili wa wapiga […]
Top News










