News
-
USAJILI WA MAKURUTU WA KDF WAINGIA LEO SIKU YA PILI.
Na Benson AswaniUsajili wa makurutu wa jeshi la Kenya KDF umeingia leo siku ya pili vijana waliotimiza mahitaji katika kaunti 21 wakidaiwa kujitokeza katika vituo mbali mbali ili kutathminiwa.Kulingana na […]
-
RAIS ATAKIWA KUANGAZIA UPYA BEI YA ZAO LA MAHINDI.
Na Benson AswaniMbunge wa Endebess Dkt Robert Pukose amelalamikia bei duni ya zao la mahindi katika kanda ya Northrift akimtaka Rais Uhuru Kenyatta kungilia kati na kuhakikisha wakulima wanapoendelea na […]
-
WAGONJWA WA KISUKARI TRANS NZOIA WATAKIWA KUJITOKEZA KUPATA MATIBABU.
Na Benson AswaniKaunti ya Trans nzoia imerekodi idadi ya watu alfu nne wanaougua ugonjwa kisukari huku wito ukitolewa Kwa wakazi wanaougua ugonjwa huo kutembelea vituo vya afya ili kupata matibabu.Kwa […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAPUUZA KUZINDULIWA CHAMA CHA KUP.
Na Benson AswaniViongozi mbali mbali katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kupuuza hatua ya kuzinduliwa chama kipya katika kaunti hii.Wa hivi punde kutolea hisia hatua hiyo ni seneta wa […]
-
KACHAPIN AKOSOA HATUA YA WATUMISHI WA UMMA KUJIHUSISHA NA SIASA.
Na Benson AswaniAliyekuwa gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametofautiana na misimamo ya baadhi ya maafisa serikalini ambao tayari wametangaza misimamo yao ya kisiasa katika uchaguzi mkuu […]
-
VIONGOZI WAKOSOA KUVURUGWA MIKUTANO YA RUTO.
Na Benson AswaniViongozi wa kisiasa nchini wanazidi kutoa hisia zao kutokana na kuvurugwa mikutano ya naibu rais William Ruto katika baadhi ya maeneo ambako amezuru nchini kisa cha hivi punde […]
-
WAKAZI WATAKIWA KUHAKIKISHA WANAO WANAPATA CHANJO TRANS NZOIA.
Na Benson AswaniWito umeendelea kutolewa kwa umma kuwapeleka wanao kupata chanjo katika Hospitali zote za Umma Kaunti ya Trans-Nzoia kwani imebanika idadi ndogo ya wazazi wanajitokeza kuwapeleka wanao kupata chanjo […]
-
WAFANYIBIASHARA WALALAMIKIA UCHAFU KATIKA SOKO LA KONGELAI.
Na Benson AswaniWafanyibiashara katika soko la Kongelai katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia uchafu katika soko hilo hali wanayodai huenda imesababishwa na mishahara duni wanayolipwa wanaoendeleza usafi katika soko […]
-
BAADHI YA VITUO VYA POLISI KUHAMISHWA TIATI, BARINGO.
Na Benson AswaniSerikali itahamisha baadhi ya vituo vya polisi katika eneo bunge la Tiati kaunti ya Baringo kama mojawapo ya hatua za kukabiliana na visa vya uhalifu eneo hilo.Mshirikishi wa […]
-
WAFANYIBISHARA BUNGOMA WALALAMIKIA KUTOPATA FEDHA ZILIZOTOLEWA NA NAIBU RAIS.
Na Benson AswaniViongozi wa wafanyibiashara katika soko la Chepkube mjini Bungoma wanadai maisha yao yamo hatarini baada ya wenzao kuwashuku kuwa huenda wanafahamu zilipo pesa ambazo naibu rais William Ruto […]
Top News










