News
-
WAZAZI BARINGO WATAKIWA KUKUMBATIA ELIMU YA MTOTO MSICHANA.
Wazazi katika kaunti ya Baringo wameshauriwa kukumbatia elimu ya mtoto msichana kwa kuhakikisha kwamba wanao wa kike wanaenda shuleni sawa na watoto wavulana.Akiongea katika eneo la Chemolingot katika eneo bunge […]
-
MADAI YA UFISADI YAIBULIWA KATIKA USAJILI WA MAKURUTU WA KDF POKOT MAGHARIBI.
Baadhi ya viongozi wa kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia zoezi la usajili wa makurutu wa KDF ambalo limekuwa likiendelezwa katika kaunti hii.Akizungumza baada ya uzinduzi wa kituo […]
-
MAPUUZA YATAJWA KUCHANGIA VISA VINGI VYA DHULUMA ZA JINSIA POKOT MAGHARIBI.
Visa vingi vya dhuluma za jinsia vinavyoendelea miongoni mwa jamii katika kaunti hii ya Pokot magharibi vimekosa kuripotiwa kutokana na mapuuza baadhi ya waathiriwa kuhofia usalama wao iwapo wataripoti visa […]
-
VIJANA WAONYWA DHIDI YA KUZUA VURUGU KATIKA MIKUTANO YA KISIASA.
Vijana katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kutokubali kutumika na wanasiasa kuzua vurugu katika mikutano ya kisiasa ambayo inaendelezwa na viongozi mbali mbali wa siasa nchini kuelekea uchaguzi mkuu […]
-
VIONGOZI WALALAMIKIA UTOVU WA USALAMA KERIO VALLEY.
Viongozi katika kaunti ya Elgeyo marakwet sasa wanaitaka serikali kuu kupitia idara ya usalama kuwapa uhamisho maafisa wa usalama wanaohudumu kwenye eneo la bonde la kerio.Wakiongozwa na mbunge wa Marakwet […]
-
MWANAFUNZI WA SHULE YA UPILI YA WAVULANA YA ORTUM KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI APEWA KIFUNGO CHA NJE NA MAHAKAMA YA KAPENGURIA.
Mwanafunzi wa shule ya upili ya wavulana ya Ortum katika kaunti hii ya Pokot magharibi amepewa kifungo cha nje cha mwaka mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kuhusika katika […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAMSIHI KINARA WA CHAMA CHA ODM KUREJEA TENA POKOT MAGHARIBI.
Ziara ya kinara wa chama cha ODM Raila Odinga katika kaunti hii ya Pokot magharibi imeendelea kuibua hisia mbali mbali miongoni mwa baadhi ya viongozi wa kisiasa kaunti hii.Wakiongozwa na […]
-
KOOME AENDELEA KUSHINIKIZWA KUONDOKA KATIKA KAMATI ANDALIZI YA UCHAGUZI.
Siku moja tu baada ya jaji mkuu Martha Koome kushikilia msimamo kwamba hatajiondoa kutoka kamati andalizi ya uchaguzi mkuu ujao zaidi ya wawaniaji mia mbili wa nyadhifa mbalimbali za uongozi […]
-
OKA YATARAJIWA KUZURU KAUNTI YA TRANS NZOIA WIKENDI HII.
Vinara wa one Kenya alliance OKA wanatarajiwa kuizuru kaunti ya Trans nzoia hapo kesho kufanya misururu ya mikutano kwa lengo la kuwashawishi wakazi wa kaunti hiyo kumpigia kura mmoja wao […]
-
LONYANGAPUO ATAKIWA KUTIMIZA AHADI YAKE KWA WAATHIRIWA WA MOTO KONGELAI.
Na Benson AswaniGavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi John Lonyangapuo ametakiwa kutimiza ahadi yake ya kuwasaidia wafanyibiashara katika soko la Kongelai eneo bunge la Kacheliba waliokadiria hasara kufuatia mkasa […]
Top News










