News
-
TAHADHARI YATOLEWA KWA WAKAZI POKOT MAGHARIBI KUHUSU KUUZIWA PLOTI.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametahadharishwa dhidi ya kuhadaiwa na watu wanaodai kuwa maafisa kutoka wizara ya ardhi ili kukatiwa ploti katika miji na vituo vya kibiashara ambako […]
-
ONYO YATOLEWA KWA WANAOMILIKI SILAHA HARAMU CHESOGON.
Wakazi wa eneo la Chesogon mpakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo marakwet wanaomiliki silaha kinyume cha sheria wametakiwa kuzisalimisha mara moja.Ni wito wake naibu […]
-
WAKAZI WA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUWA MAKINI KATIKA UCHAGUZI MKUU UJAO.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuwa makini katika uchaguzi mkuu wa mwaka ujao na kuwachagua viongozi ambao watawahudumia vyema pamoja na kutumia pesa za umma kwa uwazi.Ni […]
-
GAVANA WA TRANS NZOIA PATRICK KHAEMBA ATAKIWA KUKAMILISHI MIRADI YA MAENDELEO.
Mwakilishi wadi mteule katika bunge la kaunti ya Trans nzoia bi Magret Sabina Wanjala amemtaka gavana wa kaunti hiyo Patrick Simiyu Khaemba kumaliza miradi yote ya maendeleo aliyoianzisha jinsi alivyoagiza […]
-
VIONGOZI WAENDELEA KUKOSOA KUPANDISHWA BEI YA MAFUTA.
Viongozi mbali mbali nchini wameendelea kutoa hisia mseto kufuatia hatua ya mamlaka ya kudhibiti kawi EPRA kuongeza bei ya mafuta nchini.Wa hivi punde kuzungumzia swala hilo ni mwakilishi wadi maalum […]
-
MOROTO AKOSOA OPARESHENI DHIDI YA MICHEZO YA KAMARI.
Mbunge wa kapenguria kaunti ya Pokot magharibi Samwel Moroto amekosoa oparesheni inayoendeshwa na idara ya usalama katika kaunti hii dhidi ya michezo ya kamari.Akizungumza na kituo hiki Moroto amesema kuwa […]
-
WAKAZI WA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUKUMBATIA MBINU ZA UPANGAJI UZAZI.
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi kukumbatia mbinu za upangaji uzazi na kujitenga na dhana zinazoambatana swala la upangaji uzazi katika jamii.Wataalam wa upangaji uzazi wakiongozwa […]
-
MASHIRIKA NA SEFA NA NRT YAENDELEA KUWANUFAISHA WAKULIMA POKOT MAGHARIBI.
Wakulima eneo la orolwo, eneo bunge la Sigor katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamenufaika na mbegu za mimea mbali mbali kutoka kwa shirika la sefa kwa ushirikiano na lile […]
-
UONGOZI WA TRANS NZOIA WAHIMIZWA KURAHISISHA SHUGHULI YA UTOAJI VITAMBULISHO.
Shinikizo zinazidi kutolewa kwa uongozi wa Kaunti ya Trans Nzoia kurahisisha shughuli ya utoaji wa vitambulisho kwa vijana waliohitimu kupata vitambulisho eneo bunge la Endebess badala ya kuwahangaisha kwa misingi […]
-
WAKAZI BARINGO WAHIMIZWA KUKUMBATIA AMANI.
Wakazi wa kaunti ya Baringo wamehimizwa kuwa msitari wa mbele kuhakikisha kuwa amani inadumishwa katika maeneo ambayo hushuhudia visa vya wizi wa mifugo.Kamishina wa kaunti hiyo Henry Wafula amesema kuwa […]
Top News