News
-
MBUNGE WA POKOT KUSINI ASHUTUMIWA KWA KUJIPIGIA KIFUA MIRADI YA SERIKALI.
Baadhi ya viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kumkosoa mbunge wa Pokot kusini David Pkosing kufuatia madai yake kuwa baadhi ya miradi ya ujenzi wa barabara katika kaunti […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUUNGA MKONO VYAMA VYA KISIASA VITAKAVYOWANUFAISHA.
Mwanasiasa yeyote ana uhuru na haki ya kuanzisha chama cha kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi.Haya ni kwa mujibu wa mbunge wa Kapenguria Samwel Moroto ambaye hata hivyo amesema […]
-
IDADI YA VYOO KASEI YATAJWA KUWA YA CHINI MNO.
Idadi kubwa ya jamii katika eneo la Kasei kaunti hii ya Pokot magharibi hazina vyoo.Haya ni kulingana na afisa wa afya ya umma eneo hilo Richard Chepkwony ambaye amesema kuwa […]
-
KAMPUNI YA NEW KCC YAAHIDI KUIMARISHA ZAIDI MKULIMA WA NG’OMBE WA MAZIWA.
Mkurugenzi mkuu wa Kampuni ya New KCC Nixon Sigey amesema shirika hilo la maziwa nchini kwa ushirikiano na wizara ya kilimo limeweka mikakati kuhakikisha kuwa mkulima wa maziwa anapata bei […]
-
MVULANA MMOJA MLEMAVU ANAUGUZA MAJERAHA MABAYA KATIKA HOSPITALI YA KAPENGURIA BAADA YA KUPIGWA RISASI KWENYE MAPAJA .
NA BENSON ASWANIMvulana mmoja wa miaka kumi na tisa ambaye ni Mlemavu kutoka lokesheni ya Chesogon kaunti ya Pokot Magharibi anauguza majeraha mabaya ya hospitali kuu ya rufaa ya kapenguria […]
-
VIONGOZI MBALIMBALI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WANAZIDI KUTOA WITO WA ADHABU YA VIBOKO KUREJESHWA SHULENI.
NA BENSON ASWANIWadau mbali mbali katika sekta ya elimu nchini wameendelea kuunga mkono pendekezo la kurejeshwa adhabu ya kiboko shuleni.Wa hivi punde kuzungumzia swala hilo ni mbunge wa Kapenguria katika […]
-
WENYEJI WA AKIRIAMET ENEOBUNGE LA SIGOR WAPATA AFUENI BAADA YA KUTENGENEZEWA DARAJA LINALOUNGANISHA KAUNTI YA TURKANA NA POKOT MAGHARIBI.
NA BENSON ASWANIUkarabati wa Daraja la Akiriamet eneo Bunge la Sigor litasaidia pakubwa kuleta maendeleo kwa wenyeji ambao wamehangaika kwa muda wanapotaka kusafiriAkizungumza baada ya kufunguliwa rasmi kwa Daraja hilo […]
-
SERIKALI YAOMBWA KUINGILIA KATI KWA HARAKA NA KUHAKIKISHA HALI YA USALAMA INAIRIMARISHWA ENEI LA CHESOGON KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
NA BENSON ASWANIVisa vya utovu wa usalama eneo la chesogon mpakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo Marakwet vimeendelea kuripotiwa.Hii ni baada ya wavamizi wanaoaminika […]
-
VISA VYA UKEKETAJI VIMEPUNGUA KWA ASILIMIA KUBWA KATIKA ENEO LA KACHELIBA KAUNTI HII YA POKOT MAGHARIBI
Na Benson AswaniShughuli ya kutoa uhamasisho kwa umma kuhusu athari za ukeketaji imepelekea kupungua pakubwa visa hivyo eneo lake Kapchok katika kaunti hii ya Pokot magharibi.Haya ni kulingana na chifu […]
-
MWANAMME MMOJA ENEO LA MACHEWA BONDENI KAUNTI YA TRANSNZOIA AMEMKATA MAMAKE KWA UPANGA NA KISHA KUUWAWA NA WAKAAZI WENYE HAMAKI.
NA BENSON ASWANIMwanamme mmoja mwenye Umri wa miaka Hamsini na Mitatu Mkaazi wa Bondeni Machewa katika kaunti ya Transnzoia amemuuwa Mamake mwenye umri wa miaka Sabini na sita kwa kumkata […]
Top News










