News
-
MVULANA MMOJA MLEMAVU ANAUGUZA MAJERAHA MABAYA KATIKA HOSPITALI YA KAPENGURIA BAADA YA KUPIGWA RISASI KWENYE MAPAJA .
NA BENSON ASWANIMvulana mmoja wa miaka kumi na tisa ambaye ni Mlemavu kutoka lokesheni ya Chesogon kaunti ya Pokot Magharibi anauguza majeraha mabaya ya hospitali kuu ya rufaa ya kapenguria […]
-
VIONGOZI MBALIMBALI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WANAZIDI KUTOA WITO WA ADHABU YA VIBOKO KUREJESHWA SHULENI.
NA BENSON ASWANIWadau mbali mbali katika sekta ya elimu nchini wameendelea kuunga mkono pendekezo la kurejeshwa adhabu ya kiboko shuleni.Wa hivi punde kuzungumzia swala hilo ni mbunge wa Kapenguria katika […]
-
WENYEJI WA AKIRIAMET ENEOBUNGE LA SIGOR WAPATA AFUENI BAADA YA KUTENGENEZEWA DARAJA LINALOUNGANISHA KAUNTI YA TURKANA NA POKOT MAGHARIBI.
NA BENSON ASWANIUkarabati wa Daraja la Akiriamet eneo Bunge la Sigor litasaidia pakubwa kuleta maendeleo kwa wenyeji ambao wamehangaika kwa muda wanapotaka kusafiriAkizungumza baada ya kufunguliwa rasmi kwa Daraja hilo […]
-
SERIKALI YAOMBWA KUINGILIA KATI KWA HARAKA NA KUHAKIKISHA HALI YA USALAMA INAIRIMARISHWA ENEI LA CHESOGON KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
NA BENSON ASWANIVisa vya utovu wa usalama eneo la chesogon mpakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo Marakwet vimeendelea kuripotiwa.Hii ni baada ya wavamizi wanaoaminika […]
-
VISA VYA UKEKETAJI VIMEPUNGUA KWA ASILIMIA KUBWA KATIKA ENEO LA KACHELIBA KAUNTI HII YA POKOT MAGHARIBI
Na Benson AswaniShughuli ya kutoa uhamasisho kwa umma kuhusu athari za ukeketaji imepelekea kupungua pakubwa visa hivyo eneo lake Kapchok katika kaunti hii ya Pokot magharibi.Haya ni kulingana na chifu […]
-
MWANAMME MMOJA ENEO LA MACHEWA BONDENI KAUNTI YA TRANSNZOIA AMEMKATA MAMAKE KWA UPANGA NA KISHA KUUWAWA NA WAKAAZI WENYE HAMAKI.
NA BENSON ASWANIMwanamme mmoja mwenye Umri wa miaka Hamsini na Mitatu Mkaazi wa Bondeni Machewa katika kaunti ya Transnzoia amemuuwa Mamake mwenye umri wa miaka Sabini na sita kwa kumkata […]
-
WADAU KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAENDELEA KUPIGIA DEBE MFUMO MPYA WA CBC.
Na Benson AswaniBaadhi ya wadau katika sekta ya elimu kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kupigia debe mfumo mpya wa elimu CBC wanaosema kuwa ni bora zaidi ikilinganishwa na mfumo […]
-
MBUNGE WA TONGAREN ESELI SIMIYU AONYWA DHIDI YA KUINGILIA MASWALA YA CHAMA CHA FORD KENYA BAADA YA KUKIGURA
Na Benson AswaniUongozi wa chama cha Fordkenya umemweleza Mbunge wa Tongaren dkt Eseli Simiyu kukoma mara moja kuendesha shughuli za chama hicho baada ya majina ya Viongozi wa chama kuchapishwa […]
-
SERIKALI YAOMBWA KUINGILIA KATI KWA HARAKA NA KUOKOA FAMILIA MOJA ENEO LA KAPTAMA MLIMA ELGON KAUNTI YA TRANSNZOIA
Na Benson AswaniZaidi ya Wakaazi Alfu mbili waliofurushwa kutoka katika shamba la serkali la Kapsang iliyoko mpakani mwa kaunti ya Transnzoia na wadi ya Kaptama eneobunge la mlima elgon wanatoa […]
-
WAKAAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KURIPOTI KISA CHOCHOTE CHA DHULUMA DHIDI YA MTOTO MSICHANA
Na Benson AswaniJamii eneo bunge la Kacheliba katika kaunti hii ya Pokot magharibi imeonywa dhidi ya kusalia kimya wakati wanaposhuhudia visa vya dhuluma dhidi ya mtoto wa kike badala yake […]
Top News










