News
-
WAKENYA WAHIMIZWA KUJITOKEZA KUPOKEA CHANJO DHIDI YA CORONA.
Viongozi wa kidini chini ya muungano wao wa Trans-Nzoia county inter-religious council of Kenya network wameendelea kuhimiza wakenya kujitokeza kwa wingi ili kupata chanjo dhidi ya covid19.Wakiongozwa na Mwenyekiti wa […]
-
VIJANA TRANS NZOIA WAHIMIZWA KUJIUNGA NA VYUO VYA KIUFUNDI.
Wanafunzi 132 kutoka vyuo vya anuwai vya Machungwa, Rafiki na Kitale wamefaidi msaada wa vifaa vya kiufundi kupitia ushirikiano wa wizara ya Elimu Kaunti ya Trans-Nzoia na shirika la Child […]
-
GAVANA LONYANGAPUO AKARI KUJITOLEA SERIKALI YAKE KUIMARISHA ELIMU POKOT MAGHARIBI.
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi John Lonyangapuo amekariri kauli yake kuwa serikali yake imejitolea kuhakikisha kuwa kila mkazi wa kaunti hii anapata elimu.Akizungumza wakati akizindua kontena za kufanyia […]
-
WANASIASA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUSHIRIKIANA KUFANIKISHA MAENDELEO.
Aliyekuwa mwakilishi wadi maalum Lucy Lotee ameshutumu pakubwa malumbano ambayo yanashuhudiwa miongoni mwa wabunge katika kaunti hii kuhusiana na miradi mbali mbali ikiwemo ujenzi wa barabara.Akizungumza na kituo hiki bi […]
-
WAKULIMA TRANS NZOIA WAPUUZILIA MBALI BEI MPYA YA MAHINDI.
Baadhi ya viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Trans nzoia wamepuuzili mbali bei mpya ya mahindi ambayo ilitangazwa na waziri wa kilimo Peter Munya wakisema kuwa ni ya chini mno […]
-
MAKUNDI YA KINA MAMA TRANS NZOIA YALALAMIKIA UGUMU WA KUPATA MIKOPO.
Makundi ya akina mama eneo la cherang’ani katika kaunti ya Trans nzoia yamelalamikia ugumu wa kupata mikopo hali wanayodai kuwa imesababishwa na kuwepo masharti mengi kabla ya kupata mikopo hiyo.Wakiongozwa […]
-
MBUNGE WA POKOT KUSINI ASHUTUMIWA KWA KUJIPIGIA KIFUA MIRADI YA SERIKALI.
Baadhi ya viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kumkosoa mbunge wa Pokot kusini David Pkosing kufuatia madai yake kuwa baadhi ya miradi ya ujenzi wa barabara katika kaunti […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUUNGA MKONO VYAMA VYA KISIASA VITAKAVYOWANUFAISHA.
Mwanasiasa yeyote ana uhuru na haki ya kuanzisha chama cha kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi.Haya ni kwa mujibu wa mbunge wa Kapenguria Samwel Moroto ambaye hata hivyo amesema […]
-
IDADI YA VYOO KASEI YATAJWA KUWA YA CHINI MNO.
Idadi kubwa ya jamii katika eneo la Kasei kaunti hii ya Pokot magharibi hazina vyoo.Haya ni kulingana na afisa wa afya ya umma eneo hilo Richard Chepkwony ambaye amesema kuwa […]
-
KAMPUNI YA NEW KCC YAAHIDI KUIMARISHA ZAIDI MKULIMA WA NG’OMBE WA MAZIWA.
Mkurugenzi mkuu wa Kampuni ya New KCC Nixon Sigey amesema shirika hilo la maziwa nchini kwa ushirikiano na wizara ya kilimo limeweka mikakati kuhakikisha kuwa mkulima wa maziwa anapata bei […]
Top News










