News
-
WAZAZI WATAKIWA KUCHANGIA NIDHAMU MIONGONI MWA WANAFUNZI.
Wazazi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kushirikiana na walimu katika kuhakikisha nidhamu miongoni mwa wanafunzi.Mkuu wa elimu eneo la bonde la ufa Jared Obiero amesema kuwa wazazi ndio […]
-
UTEPETEVU MIONGONI MWA IDARA ZA USALAMA WATAJWA KUCHANGIA UTOVU WA USALAMA MIPAKANI MWA POKOT MAGHARIBI NA ELGEYO MARAKWET.
Utovu wa usalama katika mipaka ya kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo marakwet umechangiwa pakubwa na utepetevu miongoni mwa wakuu wa usalama serikalini.Haya ni kwa mujibu […]
-
VIONGOZI BARINGO WATAKA USALAMA KUIMARISHWA ENEO HILO.
Viongozi kwenye kaunti ya Baringo wanaitaka serikali ya kitaifa kuimarisha usalama kwenye maeneo ambayo yamekuwa yakishuhudia utovu wa usalama katika siku za hivi karibuni.Wakiongozwa na mwakilishi akina mama Gladwel Cheruiyot, […]
-
VIONGOZI WA KIKE TRANS NZOIA WALALAMIKIA SHERIA DUNI ZA URIDHI.
Viongozi wa kike katika kaunti ya Trans nzoia wamelalamikia ongezeko la kesi zinazohusu uridhi wanazodai kuwa zinawakandamiza.Wakiongozwa na mwakilishi wadi mteule Sabina Wanjala, viongozi hao wameelezea kughadhabishwa na muda mrefu […]
-
WAZAZI WATAKIWA KUWA KARIBU NA WANAO MSIMU HUU WA SHEREHE NYINGI.
Wazazi kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kutumia muda huu ambapo wanafunzi wamefunga shule kwa likizo baada ya kukamilika muhula wa pili kuwa karibu na wanao ili kufuatilia mienendo yao.Ni […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUHARAKISHA MPANGO WA UOTAJI FEDHA KWA SHULE.
Mbunge wa Kapenguria katika kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Moroto ametoa wito kwa serikali kupitia wizara ya elimu kuharakisha mpango wa utoaji fedha ili kuwezesha shughuli katika shule mbali […]
-
WADAU TRANS NZOIA WASHINIKIZA KUTAMBULIWA HAKI ZA WANAUME NCHINI.
Ipo haja ya kuwasilishwa kwa muswada na kubuniwa kwa sheria mpya bungeni itakayotoa nafasi ya kulindwa kwa haki za wanaume nchini, kutokana na kuwepo sheria zinazowalinda akina mama na watoto […]
-
ODM CHAPUUZILIA MBALI MADAI YA KUTOSIMAMISHA WAGOMBEA TRANS NZOIA.
Chama cha ODM kaunti ya Trans nzoia kimekishutumu chama cha DAP K kwa kueneza propaganda kwamba chama hicho hakitasimamisha wagombea viti mbali mbali kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka ujao.Wakiongozwa na […]
-
WAKAZI KERIO VALLEY WATAKIWA KUDUMISHA AMANI.
Jamii katika kaunti za bonde la kerio zimehimizwa kudumisha amani na kukoma visa vya wizi wa mifugo ili kutoa fursa ya kuendelezwa shughuli za maendeleo maeneo haya.Akizungumza katika shule ya […]
-
WASIWASI WAIBUKA KUHUSU USALAMA MPAKANI PA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI NA UGANDA.
Viongozi katika kaunti jirani ya Uganda wameelezea wasiwasi kuhusu ongezeko la utovu wa usalama katika maeneo ya amudmat, Moroto pamoja na maeneo mengine yanayopakana na kaunti hii hali wanayosema huenda […]
Top News










