News
-
IDARA YA UPELELEZI YAOMBWA KUCHUNGUZA MADAI YA UFISADI TRANSNZOIA
Na Benson AswaniBaadhi ya Wakongwe Trans nzoia wanalalamikia kutolewa kwa sajili ya kupata Fedha za wazee kwa dai la kuwa wameaga dunia wakidai kuwepo ufisadi katika afisi za utoaji wa […]
-
SERIKALI IMEOMBWA KUWEKA MIKAKATI YA KUKABILI UHABA WA CHAKULA
Na Benson AswaniPana haja ya serikali kuweka mikakati kukabiliana na uhaba wa chakula vijijini na hata shuleniNi wito ambao umetolewa na mwakilishi wadi ya bratabwa reuben chepsongol ambaye anakariri kwamba […]
-
VIONGOZI ENEOBUNGE LA KACHELIBA WAMEWAHIMIZA WAKAAZI KUKUMBATIA AMANI MSIMU HUU WA SIASA.
Na Benson AswaniWakazi wa eneo la Kacheliba katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuishi kwa amani na utangamano na kutokubali kugawanywa kwa misingi ya kisiasa hasa wakati huu ambapo […]
-
WAKAAZI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUZINGATIA USAWA MIONGONI MWA WATOTO WA KIKE NA KIUME
Na Benson AswaniJamii katika kaunti hii ya Pokot magharibi imetakiwa kuzingatia usawa miongoni mwa watoto wa kiume na wale wa kike.Akizungumza katika hafla ya kuhamasisha umma dhidi ya dhuluma za […]
-
UONGOZI WA GAVANA LONYANGAPUO WAENDELEA KUKOSOLEWA.
Viongozi mbali mbali wa kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kukosoa uongozi wa gavana John Lonyangapuo kwa kile wamedai amefeli kutekeleza maswala yenye umuhimu mkubwa kwa wakazi wa […]
-
WADAU WA ELIMU WATAKIWA KUSHIRIKIANA KUFANIKISHA SEKTA YA ELIMU KIPKOMO.
Wadau katika sekta ya elimu eneo la Kipkomo kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kushirikiana katika kuhakikisha kuwa viwango vya elimu eneo hilo vinaimarika zaidi.Akizungumza baada ya kupokea fenicha za […]
-
‘RAILA HATAMBI POKOT MAGHARIBI’, WASEMA WANDANI WA RUTO.
Na Benson AswaniWandani wa naibu rais William Ruto katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamepuuzilia mbali miito ya baadhi ya viongozi kaunti hii kwa wakazi kumuunga mkono kinara wa chama […]
-
WAZAZI BARINGO WATAKIWA KUKUMBATIA ELIMU YA MTOTO MSICHANA.
Wazazi katika kaunti ya Baringo wameshauriwa kukumbatia elimu ya mtoto msichana kwa kuhakikisha kwamba wanao wa kike wanaenda shuleni sawa na watoto wavulana.Akiongea katika eneo la Chemolingot katika eneo bunge […]
-
MADAI YA UFISADI YAIBULIWA KATIKA USAJILI WA MAKURUTU WA KDF POKOT MAGHARIBI.
Baadhi ya viongozi wa kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia zoezi la usajili wa makurutu wa KDF ambalo limekuwa likiendelezwa katika kaunti hii.Akizungumza baada ya uzinduzi wa kituo […]
-
MAPUUZA YATAJWA KUCHANGIA VISA VINGI VYA DHULUMA ZA JINSIA POKOT MAGHARIBI.
Visa vingi vya dhuluma za jinsia vinavyoendelea miongoni mwa jamii katika kaunti hii ya Pokot magharibi vimekosa kuripotiwa kutokana na mapuuza baadhi ya waathiriwa kuhofia usalama wao iwapo wataripoti visa […]
Top News









