News
-
BISAU AJIONDOA KWENYE KINYANG’ANYIRO CHA UGAVANA TRANS NZOIA NA KUMUUNGA MKONO NATEMBEYA.
Katibu wa miundo msingi katika afisi ya naibu rais Willaim Ruto Kakai Bisau amejiondoa katika kinyang’anyiro cha ugavana kaunti ya Trans nzoia na badala yake kutangaza kuwania kiti cha ubunge […]
-
WAHUDUMU WA BODA BODA TRANS NZOIA WATISHIA KUTOLIPA USHURU KUFUATIA AHADI ZA ‘UONGO’ ZA GAVANA KHAEMBA.
Wahudumu wa boda boda katika Kaunti ya Trans Nzoia wametishia kutolipa ushuru na vile vile kufanya maandamano juma lijalo kutokana na kile wamedai ahadi za uongo za Gavana Patrick Khaemba […]
-
KITALAWIAN AJIUZULU NA KUTANGAZA KUWANIA UBUNGE SIGOR.
Waziri wa maji, mazingira na mali asili katika kaunti hii ya Pokot magharibi Francis Kitalawian amejiuzulu katika wadhifa huo.Kitalawian amejiuzulu kulingana na takwa la kisheria ili kuwania kiti cha ubunge […]
-
MSWADA WA MAREKEBISHO YA SHERIA ZA UCHAGUZI WAENDELEA KUIBUA HISIA NCHINI.
Viongozi mbali mbali wa kisiasa nchini wameendelea kupinga mswada wa marekebisho kuhusu sheria za uchaguzi ambao tayari umewasilishwa bungeni na kiongozi wa wengi katika bunge la kitaifa Amos Kimunya.Wa hivi […]
-
MIGAWANYIKO YAENDELEA KATIKA BARAZA LA WAZEE WA KEIYO KUHUSU KUIDHINISHWA JOSEPH BOINET KUWANIA UGAVANA ELGEYO MARAKWET.
Siku chache baada ya wazee wa jamii ya keiyo kumwidhinisha aliyekuwa inspekta mkuu wa polisi Joseph Boinet kuwania kiti cha ugavana katika kaunti ya Elgeyo marakwet, baadhi ya wazee na […]
-
ATWOLI ASUTWA BARINGO KUFUATIA KAULI YAKE KUHUSU RUTO
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Baringo wamemsuta katibu mkuu wa muungano wa wafanyakazi nchini COTU Francis Atwoli kutokana na kauli yake kwamba naibu rais Dkt William Ruto anaweza kujitia […]
-
SPIKA AKANA KUWEPO MIPANGO YA KUWAZUIA BAADHI YA WABUNGE KUHUDHURIA VIKAO POKOT MAGHARIBI.
Vikao vya bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi vikitarajiwa kurejelewa hii leo spika wa bunge hilo Catherine Mukenyang amepinga madai ya kuwepo mipango ya kuwazuilia baadhi ya wabunge kuhudhuria […]
-
ANG’ELEI APUUZILIA MBALI MADAI KUWA AMEJIUNGA NA CHAMA CHA KUP.
Mwakilishi wadi ya Batei katika kaunti hii ya Pokot magharibi Solomon Ang’elei amepuuzilia mbali madai kuwa ni mwanachama wa chama cha KUP kinachoongozwa na gavana wa kaunti hii John Lonyangapuo […]
-
VIONGOZI TRANS NZOIA WAPINGA MABADILIKO KUHUSU SHERIA ZA UCHAGUZI.
Baadhi ya viongozi kutoka Kaunti ya Trans Nzoia wamepinga vikali hatua ya baadhi ya wabunge wa kitaifa kutaka kubadili sheria za usimamizi wa uchaguzi na kurejesha mfumo wa zamani wa […]
-
TRANS NZOIA YASAJILI ASILIMIA 32 YA WAPIGA KURA.
Asilimia 68 ya wapiga kura waliolengwa kusajiliwa kuwa wapiga kura wapya katika kaunti ya Trans nzoia kwenye zoezi la usajili wa wapiga kura wapya ambalo lilikamilika tarehe 6 mwezi huu […]
Top News










