News
-
VIONGOZI MBALI MBALI WAENDELEA KUSHUTUMU MAUAJI ENEO LA KAINUK.
Aliyekuwa Waziri wa Mafuta John Munyes amelalamikia mauaji ya zaidi ya watu kumi eneo la kainuk mipakani pa Kaunti za Pokot Magharibi na Turkana.Kwenye kikao na wanahabari mjini Kitale katika […]
-
WASOMI BARINGO WATAKA JAMII ZA WACHACHE KUJUMUISHWA KATIKA SERIKALI IJAYO.
Wasomi kutoka jamii za walio wachache nchini wamewasilisha memoranda iliyo na mapendekezo wanayotaka yaangaziwe na utawala wa chama cha UDA iwapo kitatwaa uongozi wa taifa hili katika uchaguzi wa tarehe […]
-
‘REKODI YA MAENDELEO YA WAGOMBEA NDIYO ITAKAYOAMUA HATIMA YAO’, WASEMA WAKAZI LOMUT.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuwa makini na kuwapiga msasa viongozi wote wa kisiasa ambao wametangaza nia ya kugombea nyadhifa za uongozi katika uchaguzi mkuu wa mwezi […]
-
WAPIGA KURA WATAKIWA KUJIFUNZA KWA MAKOSA YA UCHAGUZI MKUU ULIOPITA POKOT MAGHARIBI.
Wakazi wa kaunti hii ya pokot magharibi wametakiwa kuwa makini katika uchaguzi mkuu wa tarehe 9 mwezi agosti na kufanya uamuzi wa busara.Akizungumza na kituo hiki naibu gavana Nicholas Atudonyang […]
-
SERIKALI YA TRANS NZOIA YASHUTUMIWA KWA KUKITHIRI UFISADI.
Aliyekuwa mratibu wa utawala eneo la bonde la ufa George Natembeya ambaye ametangaza nia ya kuwania kiti cha ugavana katika kaunti ya Trans nzoia ameahidi kuimarisha maenedeleo katika kaunti hiyo […]
-
VIONGOZI TRANS NZOIA WATAKIWA KUHUBIRI AMANI KATIKA MIKUTANO YA SIASA.
Viongozi wa kidini katika kaunti ya Trns nzoia wametoa wito kwa viongozi wa kisiasa kuwa msitari wa mbele katika kuhubiri amani hasa wakati huu ambapo siasa za uchaguzi mkuu wa […]
-
MTAMBO WA SOLA ULIOIBWA WATAPATIKANA UMETUPWA NDANI YA SHULE YENYEWE
Siku moja tu baada ya kituo hiki kuangazia wizi wa mitambo miwili ya sola katika shule ya wasichana ya St Bakhita eneo bunge la kacheliba kaunti hii ya Pokot magharibi, […]
-
VIONGOZI WASHAURIWA KUDUMISHA AMANI WAKATI HUU WA KAMPEINI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Baadhi ya wakazi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameelezea kughadhabishwa na kile wamedai hatua ya viongozi wa kaunti hii kuegemea siasa pakubwa na kutelekeza miradi ya maendeleo ya kuwanufaisha […]
-
‘CHAMA CHA KANU KINGALI IMARA POKOT MAGHARIBI.’ ASEMA ATUDONYANG.
Chama cha KANU kingali imara katika kaunti hii ya Pokot magharibi licha ya kuibuka vyama mbali mbali kueleka uchaguzi mkuu wa mwezi agosti mwaka huu.Akizungumza na kituo hiki kutoka mjini […]
-
WIZI WA MITAMBO YA SOLA SHULENI KACHELIBA VYAKITHIRI.
Visa vya wizi wa mitambo ya sola shuleni vimeripotiwa kukithiri eneo la Kacheliba katika kaunti hii ya Pokot magharibi shule ya wasichana ya St Bakhita ikiathirika pakubwa na wizi huo.Kulingana […]
Top News









