News
-
KINYANG’ANYIRO CHA UBUNGE KAPENGURIA CHAENDELEA KUVUTIA WAGOMBEA ZAIDI.
Chini ya miezi sita kabla ya uchaguzi mkuu wa mwezi agosti, wanasiasa mbali mbali wameendelea kujitokeza kutangaza nia ya kugombea viti vya uongozi katika uchaguzi huo.Wa hivi punde kutangaza nia […]
-
UONGOZI WA SHULE YA UPILI YA HOLY ROSARY WALALAMIKIA KUKITHIRI VISA VYA AJALI ZA BARABARANI ENEO HILO.
Wito umetolewa kwa idara inayohusika na maswala ya barabara kujenga matuta kwenye barabara karibu na shule ya upili ya wasichana ya holy Rosari kaunti hii ya Pokot magharibi.Ni wito ambao […]
-
WAKULIMA WA KAHAWA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUKUMBATIA KILIMO BIASHARA.
Wakulima wa kahawa Kaunti hii ya pokot magharibi waliweza kuzalisha takriban kilo 170,000 kutoka kwa wakulima mwaka uliopita, ambazo tayari zimewasilishwa kwenye mnada wa kahawa na wamepokea malipo.Haya ni kwa […]
-
MWANAKANDARASI ANAYEJENGA DARAJA LA TILAK ATAKIWA KUHARAKISHA UJENZI WA DARAJA HILO.
Mwanakandarasi anayetekeleza ujenzi wa daraja katika barabara ya Tilak kuelekea makutano kwenye eneo bunge la Kapenguria kaunti hii ya Pokot magharibi ametakiwa kuharakisha ujenzi wa daraja hilo ili kurahisisha shughuli […]
-
NCIC YATAKIWA KUFUATILIA KWA MAKINI KAULI ZA WANASIASA MSIMU HUU WA KAMPENI ZA UCHAGUZI.
Tume ya uwiano na utangamano NCIC imetakiwa kufuatilia mienmendo ya viongozi wa kisiasa nchini na kuwachukulia hatua kali wanasiasa ambao wanawachochea wananchi wakati huu taifa linapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa […]
-
AKINA MAMA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUJIUNGA KWENYE MAKUNDI ILIKUWEZA KUJIENDELEZA SIKU ZA USONI
Akina mama katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kujitokeza na kujiunga na shirika la Joyfull Women Organization ili kuekeza kwa ajili ya kuboresha maisha yao.Akizungumza na akina mama hao mjini […]
-
VIONGOZI WAHIMIZWA KUHESHIMU TUME YA UCHAGUZI YA IEBC BARINGO
Mwakilishi wa wadi ya bartabwa katika kaunti ya baringo reuben chepsongol amewarai viongozi wa muungano wa azimio la umoja kuheshimu tume huru ya uchaguzi na mipaka iebc na impe nafasi […]
-
WAKAAZI WA ENEO LA NASOLOT KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAPOKEZWA CHAKULA CHA MSAADA
Wakazi wa eneo la Nasolot katika kaunti hii ya Pokot magharibi ambao walipokezwa msaada wa chakula na mahitaji mengine na shirika la msalaba mwekundu kwa ushirikiano na serikali ya kaunti […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YATIA SAINI MKATABA WA USHIRIKIANO NA USAID.
Serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi imenufaika pakubwa kutokana na mfumo wa ugatuzi ambao umepelekea kuafikiwa miradi mbali mbali ya maendeleo ambayo haikuwepo awali.Akizungumza wakati wa kutiwa mkataba wa […]
-
MAKALI YA NJAA YAZIDI KUSHUHUDIWA POKOT MAGHARIBI.
Takriban nyumba alfu 37 ambazo zimeathiriwa na baa la njaa zimefikiwa na idara ya majanga katika kaunti hii ya Pokot magharibi.Akithibitisha haya msimamizi wa idara hiyo katika kaunti hii ya […]
Top News










