News
-
RAMANI YA MAHAKAMA KUU YA KAPENGURIA YATAJWA KUWA BORA.
Msajili mkuu wa mahakama humu nchini, hakimu Ann Amadi, ameisifia ramani ya ujenzi wa mahakama kuu ya Kapenguria kaunti hii ya Pokot magharibi kwa kuwa na vitengo tofauti ambavyo vitashughulikia […]
-
MAANDALIZI YA MITIHANI YA KITAIFA YAKAMILIKA POKOT MAGHARIBI.
Wito umetolewa kwa wasimamizi wa vituo mbali mbali vya mitihani katika kaunti hii ya Pokot magharibi kuwa makini na kutoruhusu hali yoyote isiyo ya kawaida ikiwemo udanganyifu kushuhudiwa wakati wa […]
-
KVDA YALENGA KUIMARISHA UZALISHAJI WA ASALI KERIO VALLEY.
Mamlaka ya ustawishaji wa maendeleo kwenye bonde la kerio KVDA inashirikiana na idara ya mifugo katika wizara ya kilimo kuimarisha uzalishaji wa asali humu nchini.Kwa mujibu wa meneja mkurugenzi wa […]
-
KENYA SEED YAHAKIKISHIA WATEJA WAKE MBEGU ZA KUTOSHA MSIMU WA UPANZI.
Huku msimu wa upanzi ukitazamiwa kuanza maeneo mbalimbali humu nchini Kampuni ya uzalishaji mbegu nchini Kenya Seed imewahakikishia wakulima kuwa kuna mbegu za kutosha kwa mahitaji ya wakulima humu nchini […]
-
‘CHAMA CHA KANU KINGALI IMARA POKOT MAGHARIBI’ ASEMA POGHISIO.
Seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amesema kuwa chama cha KANU katika kaunti hii sasa kitaimarika zaidi baada ya kuondoka baadhi ya wanachama anaodai kuwa walikuwa wakivuruga […]
-
KNUT CHATISHIA KUSITISHA SHUGHULI ZA ELIMU BONDE LA KERIO.
Viongozi wa chama cha kitaifa cha walimu KNUT na chama cha walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri KUPPET kwenye eno la kaskazini mwa bonde la ufa , […]
-
WITO UMETOLEWA KWA WANASIASA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI KUTOINGIZA SIASA KATIKA MASUALA YA CHAKULA.
Seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amemshutumu gavana johna lonyangapuo kwa kile amedai kutumia msaada wa chakula ambao unatolewa na serikali kwa kaunti zinazokabliwa na ukame kuendeleza […]
-
MAHAKAMA KUU INATARAJIWA KUJENGA MAHAKAMA ZAIDI ENEO LA ALALE NA SIGOR KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Idara ya mahakama itajitolea kuhakikisha kuwa wakenya wote wanapata haki kwa usawa hasa katika jamii ambazo zilitengwa kwa muda mrefu nchini.Akizungumza baada ya kuzindua rasmi jengo la mahakama ya Kapenguria […]
-
MWANAFUNZI WA DARASA LA SABA AONYESHA UELEDI WAKE KWA KUUNDA DRONI MJINI KITALE KAUNTI YA TRANSNZOIA
Mwanafunzi mmoja wa darasa la saba wa shule ya msingi ya Chepkoilel Birunda, kwenye kaunti ya Trans nzoia ametengeneza droni kwa kutumia vifaa vya plastiki, mabati na nyaya kuu kuu.Mwanafunzi […]
-
MAJIBIZANO YAENDELEA KUSHUHUDIWA KATI YA GAVANA NA SENETA WA POKOT MAGHARIBI.
Seneta wa kaunti hii ya pokot magharibi Samwel Poghisio ameshutumu gavana wa kaunti hii John Lonyangapuo kutokana na kauli yake kuwa ndiye aliyemsaidia kuinuka kisiasa hata kufikia viwango vya sasa.Akizungumza […]
Top News









