News
-
VIONGOZI WAHIMIZA AMANI KAINUK POKOT MAGHARIBI.
Viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kuhimiza wakazi wa eneo la Kainuk mipakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na Turkana kukumbatia amani na kujitenga na visa vya […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUKUMBATIA MTAALA WA CBC.
Wito umetolewa kwa wazazi kukumbatia mtaala mpya wa elimu CBC unaotajwa kuwa wenye manufaa makubwa kwa wanafunzi.Wakiongozwa na Albert Maindi mwalimu mkuu wa shule ya msingi ya makutano Central na […]
-
TUME YA UCHAGUZI IEBC WATAKIWA KUBATILISHA HITAJI LA VYETI VYA MASOMO KATIKA KUWANIA VITI VYA KISIASA.
Baadhi ya wagombea wa viti mbali mbali vya kisiasa katika uchaguzi mkuu wa mwezi agosti mwaka huu sasa wanaitaka tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC kubatilisha hitaji la vyeti […]
-
WAKAZI TRANS NZOIA WAHIMIZWA KUWANGAZIA SERA ZA WANASIASA WALA SI VYAMA.
Ikiwa imesalia takriban miezi sita kabla ya uchaguzi mkuu wa terehe 9 mwezi agosti, wakazi katika kaunti ya Trans nzoia wameshauriwa kuangazia sera za wawaniaji wa nyadhifa za uongozi na […]
-
POGHISIO AKASHIFU UVAMIZI UNAOSHUHUDIWA MIPAKANI PA POKOT MAGHARIBI NA TURKANA.
Seneta wa Kaunti ya Pokot Magharibi Samuel Poghisio ameukashifu visa vya uvamizi ambavyo vimeendelea kushuhudiwa katika Eneo la Kainuk mipakani pa Kaunti hii ya Pokot Magharibi na Turkana, akisema kwamba […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUDHIBITI USALAMA MIPAKANI PA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI NA ELGEYO MARAKWET.
Viongozi kutoka kaunti ya pokot magharibi sasa wanaitaka serkali kuingilia kati na kudhibiti hali ya usalama katika eneo la kaunti za baringo pokot na elgeyo marakwet ili kuhakikishia wakaazi wa […]
-
ODM CHAKANA KUWEPO MKATABA KATI YAKE NA KUP.
Mwenyekiti wa Chama Cha ODM katika Kaunti ya Pokot Magharibi Joseph Akaule ameweka bayana kwamba hakujakuwapo na maelewano baina ya Chama hicho na Chama Cha KUP chake gavana John Lonyangapuo.Wakihojiwa […]
-
WAZAZI WATAKIWA KUTEKELEZA JUKUMU LA KUDUMISHA NIDHAMU MIONGONI MWA WANAO.
Wito umetolewa kwa wazazi katika kaunti hii ya Pokot magaribi kushirikianba na walimu katika kuhakikisha nidhamu miongoni kwa wanafunzi.Naibu mwalimu mkuu wa shule ya upili ya Chepkono Jodina Wekesa amesema […]
-
VIONGOZI WA KISIASA BONDE LA KERIO WATAKIWA KUCHUNGA NDIMI ZAO.
Jamii za kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo marakwet zimetakiwa kuishi kwa amani na kujitenga na visa vianvyosababisha utovu wa usalama hasa wakati huu ambapo taifa […]
-
RAIS ATAKIWA KUANGAZIA HALI TETE YA USALAMA ENEO LA KERIO VALLEY.
Baadhi ya viongozi kwenye kaunti ya elgeyo marakwet wamemshutumu rais uhuru kenyatta kwa kusalia kimya kuhusu swala la utovu wa usalama kwenye eneo la bonde la kerio ambalo limechangiwa na […]
Top News










