News
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUTOTUMIA FEDHA ZA BASARI KABLA YA WATAHINIWA WA KCPE MWAKA 2021 KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA.
Wito umetolewa kwa viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi kutopeana pesa za busary ila waziweke hadi wanafunzi watakapojiunga na kidato cha kwanza.Akipongeza matokeo bora ambayo yamerekodiwa miongoni mwa shule […]
-
WAKAZI WA POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUTOHADAIWA NA MFUMO WA BOTTOM UP.
Kamishina wa kaunti hii ya Pokot magharibi Apolo Okelo amepuuzilia mbali mfumo wa kiuchumi wa naibu rais Willia Ruto wa Bottom up economic model.Apolo amewataka wananchi kutohadaiwa na baadhi ya […]
-
JOHN MENGWA AJIONDOA KWENYE KINYANG’ANYIRO CHA UBUNGE SABOTI TRANS NZOIA.
Mgombea kiti cha eneo bunge la Saboti kwa tiketi ya chama cha UDA John Meng’wa amejiondoa kwenye kinyanganyiro hicho.Akihutubu kwenye hafla iliyo waleta pamoja viongozi wa jamii na wazee ya […]
-
SHULE YA KIBINAFSI JACK AND JILL TRANSNZOIA YANGAA KAUNTI HIYO KATIKA MTIHANI WA KCPE
Mkurugenzi wa shule ya msingi ya Jack and Jill katika kaunti ya Trans nzoia Nelson Pinto Atudo amepongeza matokeo bora ambayo yamerekodiwa na shule hiyo katika mtihani wa kitaifa KCPE […]
-
WANAFUNZI WENGI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAMENGAA KATIKA MTIHANI WA KITAIFA WA KCPE
Shule ya msingi ya Town View katika kaunti hii ya Pokot magharibi ni miongoni mwa zilizotia fora kwenye mtihani wa kitaifa wa darasa la nane KCPE mwaka huu ambao umetangazwa […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YASHUTUMIWA KWA UKARABATI WA BAJETI.
Huenda serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi ikakosa kupokea tena mgao unaotolewa kwa serikali za kaunti baada ya kubainika kuwa uongozi wa kaunti umekuwa ukikarabati bajeti yake.Haya ni kwa […]
-
UKOSEFU WA AJIRA WATAJWA KUWA CHANZO CHA UTOVU WA USALAMA BONDE LA KERIO.
Ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana wengi nchini umechangia wengi wao kujiingiza katika visa vya uhalifu ili kuweza kujikimu kimaisha na pia kumudu mahitaji ya familia zao.Haya ni kulingana na […]
-
WASOMI BARINGO WATAKA KUTAFUTWA SULUHU KUHUSU UTOVU WA USALAMA KAUNTI HIYO.
Wasomi katika wadi ya marigat kaunti ya Baringo wanaitaka serikali kuu kwa ushirikiano na viongozi kutafuta suluhu ya kudumu kwa tatizo la utovu wa usalama kwenye baadhi ya maeneo ya […]
-
VIONGOZI KAUNTI YA TRANSNZOIA WAMETAKA KUHAKIKISHIWA USALAMA WAO
Wawaniaji Viti wanaogemea Mrengo wa Odm Trans nzoia wametaka kuhakikishiwa usalama wao wanapoendeleza kampeini za uchaguzi hapo mwakani.Wakiongozwa na Dorothy Alioba pamoja na Naomi Okul,wawaniaji hao wanadai kunyimwa usalama licha […]
-
WAKULIMA WATAKA BEI ZA PEMBEJEO KUSHUSHWA KAUNTI YA TRANSNZOIA
Wakulima katika kaunti ya transzoia wameadhirika sana na hali mbaya ya hewa ambayo imedhiri upanzi na uzalishaji wa chakula katika kaunti hiyo.Wakulima kutoka kijiji cha kapsitwet ambao wanajihusisha na ukuzaji […]
Top News










