News
-
MOROTO ADAI POLISI WANATUMIKA KUWAHANGAISHA WAKAZI KATIKA ARDHI YA CHEPCHOINA.
Mbunge wa Kapenguria Samwel Moroto ameendelea kukashifu kila amedai maafisa wa polisi kutumika kuwahangaisha wakazi kwenye ardhi yenye utata ya Chepchoina mpakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti […]
-
WAKAZI WA MASOL WALALAMIKIA UHABA WA MAJI NA MKALI YA NJAA.
Wakazi wa eneo la masol katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia uhaba mkubwa wa maji eneo hilo wakiomba serikali kuingilia kati kushughulikia hali hiyo.Wakazi hao wamesema kuwa wanalazimika kutembea […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUWALINDA WAKAZI DHIDI YA ATHARI ZA MAFURIKO ILNG’ARUA BARINGO.
Wakazi wa eneo la ilng’arua katika kaunti ya baringo sasa wanaiomba serikali kuchukua hatua za mapema ili kuhakikisha hakuna maisha yanayopotea msimu huu wa mvua.Kauli yao inajiri baada ya watoto […]
-
MCHUJO WA UDA WAAHIRISHWA KATIKA WADI NNE POKO MAGHARIBI
Shughuli ya mchujo wa chama cha UDA kaunti hii ya Pokot magharibi unapoandaliwa leo huenda zoezi hilo likakosa kuandaliwa leo katika wadi za Endough na Riwo eneo bunge la Kapenguria […]
-
WAKAZI WA POKOT YA KATI WAPATA AFUENI KUFUATIA TATIZO LA MTANDAO.
Wakazi wa eneo la Masol katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamenufaika pakubwa tangu kuzinduliwa mradi wa kusambaza mtandao wa universal Service fund.Mkuu wa wilaya eneo la pokot ya kati […]
-
SERIKALI YA TRANS NZOIA YASUTWA KUFUATIA HUDUMA DUNI KATIKA VITUO VYA AFYA.
Mwenyekiti wa wafanyakazi Kaunti ya Trans Nzoia Samuel Juma Kiboi amelalamikia ukosefu wa dawa na vifaa muhimu vya kutoa huduma za afya katika vituo vya afya Kaunti hiyo jambo ambalo […]
-
BENKI YA KCB YAANZISHA MCHAKATO WA KUWATAMBUA WANAFUNZI WATAKAOFADHILIWA.
Benki ya KCB tawi la Kapenguria kaunti hii ya Pokot magharibi imeanzisha mchakato wa kuwatambua wanafunzi werevu kutoka jamii masikini waliofanya mtihani wa kitaifa kwa darasa la nane KCPE na […]
-
VISA VYA UKEKETAJI VYENDELEA KURIPOTIWA POKOT MAGHARIBI.
Licha ya juhudi za serikali na mashirika mbalimbali ya kijamii kaunti hii ya Pokot magharibi kukabili visa vya ukeketaji imebainika kwamba visa hivyo vinaendelezwa kisiri.Hii ni baada ya mama mmoja […]
-
WAKULIMA WANUFAIKA NA MBOLEA YA BEI NAFUU KIMININI TRANS NZOIA.
Zaidi ya wakulima 41 kutoka ushirika wa KAMISSA eneo bunge la Kiminini wamepokea mbolea ya bei nafuu kupitia kwa mradi wa serikali kuu kwa ushirikiano na new KPCU ambapo wakulima […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA ATHARI ZA UKAME.
Mwakilishi wadi ya masol katika kaunti hii ya Pokot magharibi Ariong’o Loporna amelalamikia ongezeko la hali ya ukame eneo hilo.Akizungumza na kituo hiki Loporna amesema kuwa wakazi wengi wa eneo […]
Top News










