News
-
WAKULIMA TRANS NZOIA WATAKIWA KUWA MACHO KUHUSIANA NA UVAMIZI WA VIWAVI JESHI.
ya kilimo katika kaunti ya Trans nzoia imeonya kuhusu uwepo wa viwavi jeshi katika baadhi ya maeneo na kuwataka wakulima kuhakikisha wanaripoti visa hivyo mapema endapo vitatokea.Waziri wa kiliimo kaunti […]
-
MCHUJO WA UDA WAZIDISHA MACHOZI ELGEYO MARAKWET.
Aliyekuwa inspekta mkuu wa polisi Joseph Boinett amejitokeza na kupinga matokeo ya mchujo wa chama cha UDA katika kinyang’anyiro cha ugavana kaunti ya Elgeyo marakwet akidai matokeo yalikarabatiwa kumpendelea naibu […]
-
KIONGOZI WA WENGI KATIKA BUNGE LA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI AFARIKI DUNIA AKIPOKEA MATIBABU MJINI ELDORET
Huzuni imetanda miongoni mwa wakazi wa Kaunti ya Pokot Magharibi hasa wakazi wa Wadi ya Sekerr kufuatia kifo cha ghafla Cha Mwakilishiwadi wao ambaye pia amekuwa ndiye Kiongozi wa wengi […]
-
MWANAFUNZI MMOJA ALIYEZOA ALAMA YA 303 KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI AKOSA KARO YA KUJIUNGA NA SHULE YA UPILI
Mtahiniwa mmoja aliyefanya mtihani wa darasa la nane KCPE mwaka 2021 katika kaunti hii ya Pokot magharibi ametoa wito kwa wahisani kujitokeza ili kumsaidia kufanikisha elimu yake ya shule ya […]
-
WAGOMBEA WA UDA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WALIOSHIRIKI MCHUJO WAMEPINGA MATOKEO HAYO
Baadhi ya wagombea wa chama cha UDA walioshiriki mchujo wa chama hicho katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamedai zoezi hilo hali kuandaliwa kwa njia ya haki.Mwakilishi wadi yaMnagei anayeoondoka […]
-
WAGOMBEA VITI KWA CHAMA CHA DAP K WAMEKOSA AMANI NA MCHUJO ULIOKAMILIKA TRANSNZOIA KAUNTI
Wagombea viti vya ubunge katika chama cha DAP K wanazidi kutoa lalama zao kuhusu kutoandaliwa kwa kura ya mchujo kwa chama hicho licha ya kulipia ada ya zoezi hilo wakidai […]
-
MOROTO ADAI POLISI WANATUMIKA KUWAHANGAISHA WAKAZI KATIKA ARDHI YA CHEPCHOINA.
Mbunge wa Kapenguria Samwel Moroto ameendelea kukashifu kila amedai maafisa wa polisi kutumika kuwahangaisha wakazi kwenye ardhi yenye utata ya Chepchoina mpakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti […]
-
WAKAZI WA MASOL WALALAMIKIA UHABA WA MAJI NA MKALI YA NJAA.
Wakazi wa eneo la masol katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia uhaba mkubwa wa maji eneo hilo wakiomba serikali kuingilia kati kushughulikia hali hiyo.Wakazi hao wamesema kuwa wanalazimika kutembea […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUWALINDA WAKAZI DHIDI YA ATHARI ZA MAFURIKO ILNG’ARUA BARINGO.
Wakazi wa eneo la ilng’arua katika kaunti ya baringo sasa wanaiomba serikali kuchukua hatua za mapema ili kuhakikisha hakuna maisha yanayopotea msimu huu wa mvua.Kauli yao inajiri baada ya watoto […]
-
MCHUJO WA UDA WAAHIRISHWA KATIKA WADI NNE POKO MAGHARIBI
Shughuli ya mchujo wa chama cha UDA kaunti hii ya Pokot magharibi unapoandaliwa leo huenda zoezi hilo likakosa kuandaliwa leo katika wadi za Endough na Riwo eneo bunge la Kapenguria […]
Top News










