News
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUFANYA KIPEU MBELE ELIMU YA MTOTO.
Taifa la Kenya linapojumuika na mataifa mengine kuadhimisha siku ya mtoto wa kiafrika hii leo, wito umetolewa kwa wazazi katika kaunti hii ya Pokot magharibi kuzingatia pakubwa elimu kwa ajili […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WASHUTUMIWA KWA KUENDELEZA UFISADI KATIKA MIRADI YA MAENDELEO.
Viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamelaumiwa kufuatia kazi duni ambayo inafanyika kwenye miradi mbali mbali inayotekelezwa katika kaunti hii.Akizungumza katika mahojiano na kituo hiki seneta wa kaunti hii […]
-
UMUHIMU WA VYOO WASISITIZWA POKOT MAGHARIBI.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuzingatia umuhimu wa kujenga vyoo katika maboma yao.Akizungumza katika hafla ya kuangazia hatua ambazo zimepigwa katika kujenga vyoo eneo la Yualateke kwenye […]
-
BARABARA YA ATURKAN KAMATIRA YATARAJIWA KULETA MANUFAA KWA WAKAZI WA POKOT MAGHARIBI.
Ujenzi wa barabara kuu ya kutoka Aturkan mjini Kitale kaunti ya Trans nzoia hadi Kamatira kaunti hii ya Pokot magharibi ambao unanuiwa kutekelezwa na mamlaka ya barabara kuu nchini KeNHA […]
-
MTOTO AMETELEKEZWA PAKUBWA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI; YASEMA LIONS.
Jamii haijafanya juhudi za kutosha katika kumshughulikia mtoto hasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi.Akizungumza katika maandalizi ya kuadhimisha siku ya mtoto wa kiafrika itakayoadhimishwa hiyo kesho jumatano, mwanachama wa […]
-
IDARA ZA USALAMA ZATAKIWA KUCHUNGUZA MADAI YA KUFURUSHWA MTOTO CHELOMBEI
Wito umetolewa kwa idara husika katika kaunti hii ya Pokot magharibi kuchukulia hatua jamii moja eneo la Chelombey Kacheliba kwa kumfurusha mtoto mwenye umri wa miaka 11 na kumlazimu kutembea […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUENDELEA KUTOA DAMU.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuendelea kujitokeza kutoa damu ili kusaidia katika kukabili upungufu wa damu katika hospitali za Kapenguria, Kacheliba na Ortum.Ni wito ambao umetolewa na […]
-
UGAVI WA FEDHA ZA MAENDELEO KATIKA SHULE UNAPASWA KUZINGATIA UWAZI WA SHULE.
Mbunge wa Kapenguria kaunti hii ya Pokot Magharibi Samwel Moroto ametoa wito kwa idara ya elimu kaunti hii kutoa fedha kwa shule mbali mbali kwa kuzingatia uwazi wa shule hizo […]
-
HUENDA UKOSEFU WA MVUA KATIKA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI UKAATHIRI MAVUNO MWAKA HUU
Serikali ya taifa imetakiwa kuanza mipango ya kuweka mikakati ya kuwasaidia wakazi wa maeneo mengi ya kaunti hii ya Pokot Magharibi kwa chakula katika siku za usoni.Ni wito wake mwakilishi […]
-
IDADI NDOGO YA VIJANA KUTOKA KAUNTI YA TRANS NZOIA INAJIUNGA NA VYUO VYA KIUFUNDI
Serikali ya Kaunti ya Trans-Nzoia kupitia kwa wizara ya Elimu ya kiufundi imelalamikia idadi ndogo ya wanafunzi wanaojiunga na vyuo vya anwai licha ya serikali ya kaunti kuekeza pakubwa katika […]
Top News