News
-
MIKAKATI YAWEKWA KUIMARISHA SEKTA YA UTALII TRANS NZOIA.
Waziri wa Michezo,vijana, utalii na Utamaduni Kaunti ya Trans Nzoia Aggery Chemonges amekariri kuwa wizara yake itashirikisha washikadau wote kutoka maeneo yenye vivutio vya kitalii kama njia moja ya kukuza […]
-
SIASA ZA MAZISHINI ZAPIGWA MARUFUKU POKOT MAGHARIBI.
Gavana wa kaunti ya Pokot Magharibi Prof John Longanyangápuo amepiga marufuku siasa katika hafla za mazishi katika Kaunti hii akitaka wanasiasa kuheshimu familia za waliofiwa.Akihutubu kwenye hafla ya mazishi ya […]
-
WAGOMBEA VITI VYA KISIASA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUJITOKEZA WAZIWAZI.
Baadhi ya wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wamewataka viongozi wote ambao wanaazimia kuwania kiti cha useneta kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka ujao kujitokeza na kutangaza wazi azma yao […]
-
MIMBA NA NDOA ZA MAPEMA ZASALIA CHANGAMOTO SIGOR.
Swala la mimba pamoja na ndoa za mapema miongoni mwa wanafunzi limeendelea kuwa changamoto kwa elimu ya mtoto wa kike katika shule za eneo la sigor Pokot ya kati katika […]
-
SENETI YALAUMIWA KWA MAPUUZA YA KETER NA MUNYES.
Mbunge wa Endebes kaunti ya Trans nzoia Robert Pukose amelaumu bunge la seneti kutokana na hatua ya mawaziri chales Keter wa kawi na mwenzake wa petroli na uchimbaji madini John […]
-
WITO WA KUUNGANISHWA RAIS NA NAIBU WAKE WAENDELEA KUUNGWA MKONO.
Baadhi ya viongozi wa kisiasa nchini wameendelea kuunga mkono pendekezo la baraza la maaskofu nchini kupewa fursa ya kuwaunganisha rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto.Akizungumza katika kanisa la […]
-
TAHADHARI YATOLEWA KWA WAKAZI POKOT MAGHARIBI KUHUSU KUUZIWA PLOTI.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametahadharishwa dhidi ya kuhadaiwa na watu wanaodai kuwa maafisa kutoka wizara ya ardhi ili kukatiwa ploti katika miji na vituo vya kibiashara ambako […]
-
ONYO YATOLEWA KWA WANAOMILIKI SILAHA HARAMU CHESOGON.
Wakazi wa eneo la Chesogon mpakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo marakwet wanaomiliki silaha kinyume cha sheria wametakiwa kuzisalimisha mara moja.Ni wito wake naibu […]
-
WAKAZI WA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUWA MAKINI KATIKA UCHAGUZI MKUU UJAO.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuwa makini katika uchaguzi mkuu wa mwaka ujao na kuwachagua viongozi ambao watawahudumia vyema pamoja na kutumia pesa za umma kwa uwazi.Ni […]
-
GAVANA WA TRANS NZOIA PATRICK KHAEMBA ATAKIWA KUKAMILISHI MIRADI YA MAENDELEO.
Mwakilishi wadi mteule katika bunge la kaunti ya Trans nzoia bi Magret Sabina Wanjala amemtaka gavana wa kaunti hiyo Patrick Simiyu Khaemba kumaliza miradi yote ya maendeleo aliyoianzisha jinsi alivyoagiza […]
Top News










