News
-
MWANARIADHA HOSEA MWOK KUZIKWA LEO MURKWIJIT.
Mwanariadha anayedaiwa kujitia kitanzi katika eneo la murkwijit kaunti hii ya pokot magharibi Hosea Mwok anazikwa leo.Mwili wa Mwok ulipatikana ukining’inia kwa kamba katika ghala la kuhifadhi chakula cha mifugo […]
-
WAKAZI TRANS NZOIA WATAKIWA KUJITOKEZA KUFANYIWA UCHUNGUZI WA MACHO.
Wito umetolewa kwa umma katika kaunti ya Trans nzoia kujitokeza na kufanyiwa uchunguzi wa macho ili kubaini iwapo wanakumbwa na matatizo yoyote mbali na kupata matibabu ya mapema.Wakihutubu baada ya […]
-
WAKULIMA WA ASALI KUNUFAIKJA ZAIDI NA MIKAKATI YA SERIKALI POKOT MAGHARIBI.
Serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi inaendelea kuweka mikakati ya kuhakikisha kuwa wakulima wa asali wanalindwa dhidi ya madalali ambao wamekuwa wakipunja kwa muda wakulima wa zao hilo.Akizungumza wakati […]
-
WANDANI WA RUTO WAENDELEA KUTETEA SERA ZAKE POKO MAGHARIBI.
Wandani wa naibu rais William Ruto katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kutetea sera za Ruto kuelekea katika uchaguzi mkuu wa mwaka ujao.Wakizungumza katika mahojiano na kituo hiki, vijana […]
-
MIITO YAENDELEA KUTOLEWA KWA WAKAZI POKOT MAGHARIBI KUJISAJILI KUWA WAPIGA KURA.
Viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kutoa wito kwa wakazi kujitokeza kwa wingi kusajiliwa kuwa wapiga kura katika zoezi la mwezi mmoja la usajili wa wapiga kura wapya […]
-
MIZOZO YAZIDI KUKUMBA CHAMA CHA FORD KENYA.
Mzozo wa uongozi katika chama cha ford kenya unazidi kutokota baadhi ya viongozi wa chama hicho kaunti ya Trans nzoia wakishinikiza mkutano wa kitaifa wa wanachama hicho kufanyika tarehe sita […]
-
SPIKA MUKENYANG KUHUDHURIA KIKAO CHA KWANZA TANGU KUBANDULIWA POKOT MAGHARIBI.
Kivumbi kinatarajiwa katika bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi linaporejelea vikao vyake hii leo baada ya mapumziko ya mwezi mmoja.Spika wa bunge hilo Catherine Mukenyang anatarajiwa kuongoza vikao vya […]
-
VIONGOZI WAONYWA DHIDI YA KUWATUMIA VIJANA KUZUA VURUGU.
Siasa za uchaguzi mkuu wa mwaka ujao zikiendelea kushika kasi, wito umetolewa kwa viongozi wa siasa nchini kutowatumia vijana kuwashambulia wapinzani wao na kuzua vurugu katika mikutano mbali mbali ya […]
-
WAKAZI WATAKIWA KUJITOKEZA KWA WINGI KUJISAJILI KUWA WAPIGA KURA.
Shughuli ya usajili wa wapiga kura inapoendelea, viongozi katika kaunti hii ya pokot magharibi wameendelea kutoa mwito kwa wakazi kujitokeza kwa wingi kujisajili kuwa wapiga kura katika uchaguzi mkuu wa […]
-
IDARA YA USAJILI WA WATU YATAKIWA KUHARAKISHA UTOAJI VITAMBULISHO KWA WAKAZI TRANS NZOIA.
Viongozi wa kisiasa nchini wameendelea kushinikiza kuharakishwa utoaji wa vitambulisho kwa wenyeji hasa waliotimu umri wa kujisajili kuwa wapiga kura.Wakiongozwa na mbunge wa kwanza kaunti ya Trans nzoia Ferdnand wanyonyi […]
Top News










