News
-
KICD YATETEA HATUA YA KUWEKA LUGHA YA POKOT CHINI YA JAMII YA KALENJIN.
Taasisi ya mitaala nchini KICD imetetea hatua yake ya kuweka lugha ya pokot chini ya jamii ya kalenjin katika hatua ya kujumuisha lugha za kiasili kwenye mtaala wa elimu nchini […]
-
USALAMA POKOT MAGHARIBI WAIMARIKA KUTOKANA NA MICHANGO YA MASHIRIKA YA KIJAMII.
Miradi ya kilimo inayoendelezwa na mashirika mbali mbali kaunti hii ya pokot magharibi imechagia pakubwa kupunguza visa vya utovu wa usalama kaunti hii ya Pokot magharibi.Akizungumza eneo la Turkwel mwakilishi […]
-
WAKAZI WA POKOT MAGHARIBI WAENDELEA KUNUFAIKA NA MIRADI CHINI YA NRT.
Shirika la NRT Northern Rangelands Trust pamoja na mashirika mengine ikiwemo lile la E. For impact kwa ushirikiano na serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi limeendeleza miradi ya kuwanufaisha […]
-
UCHUNGUZI WAANZISHWA KUHUSU KUTEKETEA BWENI LA SHULE YA ST. BRIDGIT’S KIMININI.
Kamishina wa kaunti ya Trans nzoia sam Ojwanga ameahidi kuimarisha usalama katika shule hasa za mabweni ili kukabili visa vya majengo kuteketea shuleni.Akizungumza muda mfupi tu baada ya bweni la […]
-
UHABA WA MIUNDO MSINGI WAKUMBA SHULE NYINGI POKOT MAGHARIBI.
Zoezi la kuwasajili wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwanza linapoendelea, wakuu wa shule mbali mbali wameendelea kulalamikia uhaba wa miundo msingi kukidhi idadi ya wanafunzi wanaojiunga na shule zao.Mwalimu mkuu […]
-
WAKAZI WATAKIWA KUKUMBATIA MATUMIZI YA CHOO POKOT KUSINI.
Wakazi wa eneo bunge la Pokot kusini kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kukumbatia matumizi ya choo ili kuepuka magonjwa ambayo yanatokana na uchafu.Ni wito wake afisa wa jamii eneo […]
-
WAFANYIBIASHARA WATAKIWA KUIMARISHA USAFI MJINI MAKUTANO.
Wafanyibishara mjini makutano katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kushirikiana na serikali ya kaunti katika kuhakikisha kuwa usafi unadumishwa maeneo yao ya kazi.Akizungumza baada ya kuongoza shughuli ya kusafisha […]
-
SERIKALI YA TRANS NZOIA YAANZA KUTEKELEZA MPANGO WA UHC.
Wizara ya Afya Kaunti ya Trans Nzoia imezindua mpango wa kuwasajili wenyeji 18,546 kwa njia ya kielectroniki watakaonufaika na mpango wa afya kwa wote, universal health care kwa ushirikiano na […]
-
WAHUDUMU WA UCHUKUZI WA UMMA WACHANGAMKIA ASILIMIA 100 YA ABIRIA.
Hisia mseto zimeendelea kuibuliwa miongoni mwa wananchi baada ya serikali kuruhusu asilimia 100 ya abiria katika sekta ya uchukuzi wa umma nchini.Wakiongozwa na meneja wa magari ya sacco ya Kitale- […]
-
WAZAZI WASIOWAPELEKA WANAO SHULENI WAONYWA.
Wazazi eneo la pokot ya kati katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuhakikisha kuwa wanao wanahudhuria masomo wakati huu ambapo shule zimefunguliwa kwa muhula wa kwanza huku waliofanya mtihani […]
Top News