News
-
TRANS NZOIA YAPIGWA JEKI KATIKA UHIFADHI WA MSITU WA MLIMA ELGON
Na Benson AswaniKaunti ya Trans-Nzoia ni miongoni mwa Kaunti zinazotazamia ufadhili wa shilingi Dola Milioni 6 ya utunzaji wa msitu wa Mlima elgon kupitia wa ufadhili wa ushirkia wa maendeleo […]
-
OPARESHENI YA KUWAPELEKA WATOTO SHULENI YAANZISHWA POKOT MAGHARIBI.
Na Benson AswaniIdara ya usalama katika kaunti hii ya Pokot magharibi kwa ushirikiano na idara ya elimu miongoni mwa wadau wengine imeanzisha oparesheni ya kuhakikisha kuwa wanafunzi wote ambao hawajarejea […]
-
WAKAZI WA LOKIRIMO POKOT MAGHARIBI WATAKA KUPEWA MBINU ZA KUJIKIMU KIMAISHA.
Na Benson AswaniWakazi wa Lokirimo eneo la Kongelai kaunti hii ya Pokot magharibi wametoa wito kwa viongozi kuwatafutia mbinu za kutafuta riziki hasa baada ya kupigwa marufuku ugemaji wa pombe.Wakazi […]
-
IDARA YA AFYA TRANS NZOIA YALENGA KUIMARISHA UTOAJI CHANJO YA COVID 19.
Na Benson AswaniIdara ya afya Kaunti ya Trans-Nzoia imeandaa mikutano na washikadau kutoka sekta mbalimbali kama njia moja ya kuimarisha kampeni ya utoaji wa chanjo dhidi ya covid 19 ili […]
-
MACHIFU TRANS NZOIA WAANZISHA OPARESHENI YA KUWASAKA VIJANA AMBAO HAWAJACHUKUA VITAMBULISHO.
Na Benson AswaniIkiwa zimesalia siku 9 kabla ya kutamatika zoezi la kuwasajili wapiga kura machifu na manaibu wao katika kaunti ya Trans nzoia wameendeleza harakati za kuwasaka wale ambao hawajachukua […]
-
WAZAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUIPA KIPAU MBELE ELIMU YA MTOTO WA KIKE
Na Benson AswaniWazazi katika kaunti hii ya pokot magharibi wametakiwa kutii agizo lililotolewa na wizara ya elimu nchini na kuhakikisha kuwa wanao hasa wa kike walio na ujauzito wanendelea na […]
-
WAKAZI WA RIWO WALALAMIKIA HALI MBOVU YA BARABARA.
Na Benson AswaniWakazi wa eneo la Riwo kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia hali mbovu ya barabara za eneo hilo wakatika wadau husika kuhakikisha kuwa hali hiyo inashughulikiwa haraka iwezekanavyo.Wakiongozwa […]
-
WAKULIMA TRANS NZOIA WAPIGWA JEKI KUFUATIA UVUMBUZI WA MTAMBO WA KUKAUSHA MAHINDI.
Na Benson AswaniChuo kikuu cha Moi kimezinduaTeknolojia mpya kupitia kwa mtambo wa kukausha na kuhifadhi nafaka katika juhudi za kuboresha mbinu ya kulinda mazao ya kilimo dhidi ya uharibifu hasa […]
-
UHABA WA CHAKULA WATISHIA MASOMO BARINGO.
Na Benson AswaniHuenda baadhi ya wanafunzi kutoka familia maskini katika kaunti ya Baringo wakalazimika kusitisha masomo yao kutokana na ukosefu wa chakula nyumbani mwao.Kulingana na mwakilishi wadi ya Bartabwa Ruben […]
-
WANDANI WA RUTO WAENDELEA KUPIGIA DEBE AJENDA YAKE YA MAENDELEO.
Na Benson AswaniWandani wa naibu rais William Ruto katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kupigia debe mfumo wake wa kuimarisha uchumi Bottom up economic model.Wakiongozwa na mwakilishi wadi ya […]
Top News










