News
-
WAZAZI WALALAMIKIA MTAALA WA UMILISI CBC KWA GHALI.
Chama cha wanasheria LSK kinapotarajiwa kufika mahakamani kupinga utekelezwaji wa mtaala wa elimu CBC, baadhi ya wazazi katika kaunti hii ya pokot magharibi wameendelea kulalamikia mtaala huo ambao wamedai ni […]
-
KUBANDULIWA MUKENYA KAMA SPIKA KWAENDELEA KUCHOCHEA HISIA.
mseto zimeendelea kuibuliwa katika kaunti hii ya pokot magharibi kufuatia hatua ya bunge la kaunti hii kumbandua afisini spika Catherine Mukenyang kwa madai ya utumizi mbaya wa afisi miongoni mwa […]
-
BIDHAA ZA WIZI ZAKAMATWA KAPENGURIA.
Polisi katika kituo cha polisi cha kapenguria wamepata baadhi ya bidhaa za wizi kufuatia oparesheni ambayo inaendeshwa kuwanasa washukiwa wa misururu ya wizi ambayo imekuwa ikiripotiwa eneo la kapenguria kaunti […]
-
WAKIMBIZI TRANS NZOIA WALALAMIKIA KUTENGWA KIELIMU.
Siku moja baada ya ulimwengu kuadhimisha siku ya kusoma na kuandika jamii ya wakimbizi wa ndani kwa ndani Kaunti ya Trans Nzoia wamelalamikia ugumu ambao wanao wanapitia kupata elimu .Kwa […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUTWAA SILAHA ZINAZOMILIKIWA KINYUME CHA SHERIA KERIO VALLEY.
Wito umetolewa kwa serikali kuendesha oparesheni ya kuondoa silaha zinazomilikiwa kinyume cha sheria miongoni mwa raia katika bonde la Kerio hasa eneo la Chesogon mpakani pa kaunti hii ya Pokot […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YASHUTUMIWA KWA KUITELEKEZA IDARA YA AFYA.
Baadhi ya viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendeleza shutuma zao dhidi ya uongozi wa kaunti hii kwa kile wanadai kuitelekeza hospitali ya Kapenguria.Wakiongozwa na seneta Samwel Poghisio, viongozi […]
-
WADAU WATAKIWA KUISAIDIA SHULE YA MSINGI YA KUTUNG BAADA YA BWENI KUTEKETEA.
Wadau mbali mbali katika kaunti hii ya Pokot Magharibi wametakiwa kujitokeza kuisaidia shule ya msingi ya Kutung eneo la Riwo baada ya bweni la shule hiyo pamoja na hifadhi ya […]
-
MUKENYANG AELEKEA MAHAKAMANI KUPINGA KUBANDULIWA AFISINI.
Aliyekuwa spika wa bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi Catherine Mukenyang amewalaumu wabunge katika bunge hilo kwa hatua ya kumbandua afisini bila ya kumpa nafasi ya kujitetea ndhidi ya […]
-
HISIA ZAGHUBIKA KUBANDULIWA AFISINI SPIKA MUKENYANG.
Hatua ya kubanduliwa afisini spika wa bunge la kaunti ya Pokot magharibi Catherine Mukenyang na wabunge katika bunge hilo imeendelea kuibua hisia mseto miongoni mwa wakazi kaunti hii.Wakiongozwa na James […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUARAKISHA UTOAJI WA HATI MILIKI KWA WAKAZI WA CHEPCHOINA.
Ipo haja kwa serikali kuharakisha shughuli za ugavi na utoaji wa hatimiliki ya ardhi kwa wenyeji wa Chepchoina eneo bunge la Endebess Kaunti ya Trans Nzoia, ambayo kwa muda mrefu […]
Top News