News
-
WANAHARAKATI WATAKA SHERIA DHIDI YA MIMBA ZA MAPEMA KUFANYIWA MAREKEBISHO.
NA BENSON ASWANIMmoja wa watetezi wa haki za watoto katika kaunti ya Baringo Nyambura Maing’una ameelezea haja ya kutathminiwa upya sheria inayotoa adhabu kwa mtoto mvulana anayempachika mimba msichana mwenye […]
-
MAGOHA ATAKIWA KUFUATILIA MAAGIZO ANAYOTOA KATIKA SEKTA YA ELIMU.
Viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Trans nzoia wamemtaka waziri wa elimu Prof. George magoha kufuatilia maagizo anayotoa ili kuwaepushia wazazi mahangaiko ambayo wanapitia kulipa karo.Mwanasiasa Anthony Makan kutoka eneo […]
-
WAKAZI WA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUTIA JUHUDI KATIKA SHUGHULI ZAO ZA KILA SIKU.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuendelea kutia juhudi katika shughuli zao mbali mbali mwaka huu licha ya changamoto ambazo wamekumbana nazo mwaka jana.Seneta wa kaunti hii Samwel […]
-
UONGOZI WA GAVANA LONYANGAPUO WAZIDI KUKOSOLEWA.
Uongozi wa gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi umeendelea kukosolewa na viongozi mbali mbali kutoka kaunti hii miezi michache tu kabla ya kukamilika muhula wake wa kwanza ambao amehudumu […]
-
WABUNGE WA FORD KENYA WAAPA KUPITISHA MSWADA WA MAREKEBISHO YA SHERIA ZA VYAMA.
NA BENSON ASWANIWabunge wanaoegemea chama cha Ford Kenya katika kaunti ya Trans nzoia wameapa kuhakikisha kuwa mswada wa marekebisho ya sheria za vyama unapitishwa vikao vya bunge kuendelea kujadili mswada […]
-
MALUMBANO YAENDELEA KATI YA NATEMBEYA NA CHRIS WAMALWA KUHUSU UONGOZI WA TRANS NZOIA.
Mshirikishi wa serikali eneo la Bonde la ufa George Natembeya amepuuza juhudi za mpinzani wake katika kinyang’anyiro cha kiti cha ugavana wa kaunti ya Trans nzoia kwenye uchaguzi mkuu wa […]
-
VIONGOZI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAITAKA SERKALI YA KITAIFA KUWACHUKULIA HATUA WALIOHUSIKA NA MAUJI ENEO LA CHESOGON
Katibu katika wizara ya michezo, utamaduni na toradhi za kitaifa Simon Kachapin ameelezea kusikitishwa na utovu wa usalama ambao umeendelea kushuhudiwa mipakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti […]
-
HALI YA TAHARUKI IMETANDA KATIKA ENEO LA CHESOGON MPAKANI PA KAUNTI YA MARAKWET NA POKOT MAGHARIBI
Ng’ombe zaidi ya 300 wameibwa huku wakazi wawili wakiripotiwa kuuliwa na wengine kujeruhiwa baada ya wavamizi wanaoaminika kutoka kaunti jirani kuvamia eneo la chesogon mpakani pa kaunti hii na kaunti […]
-
CHIFU WA NAMODO POKOT MAGHARIBI ASHUTUMIWA KWA UNYAKUZI WA ARDHI.
Wakazi wa kijiji cha Namodo eneo la Lokichar kaunti hii ya Pokot magharibi wameandamana kulalamikia kile wamedai hatua ya chifu wa eneo hilo kunyakua ardhi yao.Wakazi hao wanamtuhumu chifu wa […]
-
WAKULIMA TURKWEL NA LOIMA WAKUMBATIA MBINU MPYA ZA KILIMO.
Wakulima kutoka eneo la Turkwel na Loima Turkana kusini wamekumbatia mbinu mpya ya upanzi wa mimea kwenye mifuko uliowekwa mchanga wenye rutuba ili kuepuka hasara ambayo wamekuwa wakikadiria kutokana na […]
Top News










