News
-
JUHUDI ZAIDI ZAHITAJIKA KUKABILI MIMBA ZA MAPEMA POKOT MAGHARIBI.
NA BENSON ASWANILicha ya visa vya mimba za mapema miongoni mwa wanafunzi wa kike kuonekana kushuka katika kaunti hii ya Pokot magharibi, ipo haja ya wadau kutia juhudi katika kubuni […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUIMARISHA USALAMA KATIKA BONDE LA KERIO.
NA BENSON ASWANIKatibu wa chama cha walimu nchini knut kaunti ya Baringo Joshua Cheptarus ameomba serikali ya kitaifa na ile ya kaunti kushugulikia swala la utovu wa usalama katika bonde […]
-
BUNGE LA SENETI KUANZA MJADALA KUHUSU SHERIA ZA VYAMA VYA UCHAGUZI.
Bunge la seneti linatarajiwa kuanza leo vikao vyake vya kujadili mswada wa mabadiliko ya sheria za vyama vya kisiasa ambao ulijadiliwa na kupitishwa wiki iliyopita na bunge la kitaifa katika […]
-
WAKULIMA WAHIMIZWA KUJIANDAA KWA MSIMU WA UPANZI POKOT MAGHARIBI.
NA BENSON ASWANIWakulima katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kujiandaa kwa ajili ya kilimo msimu wa upanzi unapotarajiwa kuwadia.Ni wito wake wa afisa mkuu katika wizara ya kilimo, mifugo, […]
-
VIJANA TRANS NZOIA WATAKIWA KUTOKUBALI KUTUMIA VISIVYO KISIASA.
NA BENSON ASWANIWito umetolewa kwa vijana kaunti ya Trans nzoia na taifa kwa jumla kutokubali kutumika vibaya na wanasiasa kuzua vurugu na badala yake kukumbatia amani.Akizungumza kwenye hamasisho kwa vijana […]
-
MITAA YA MABANDA TRANS NZOIA KUIMARISHWA.
NA BENSON ASWANISerikali ya kaunti ya Trans nzoia inalenga kuboresha miundo msingi kwenye mitaa mbali mbali ya mabanda katika kaunti hiyo.Waziri wa ardhi katika kaunti hiyo Boniface Wanyonyi amesema kuwa […]
-
VIONGOZI WANDELEA KULALAMIKI UTOVU WA USALAMA POKOT MAGHARIBI.
NA BENSON ASWANIViongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kulalamikia visa vya utovu wa usalama mpakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo marakwet hasa […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUIMARISHA USALAMA CHEPTULEL.
NA BENSON ASWANIChama cha walimu nchini KNUT tawi la Pokot magharibi kimeelezea wasi wasi kuendelea kuripotiwa utovu wa usalama eneo la Cheptulel mpakani pa kaunti hii na kaunti jirani ya […]
-
WANDANI WA RUTO WAKASHIFU KURUGWA NEMBO YA UDA CHEPARERIA.
NA BENSON ASWANIViongozi mbali mbali wandani wa naibu rais William Ruto katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kukashifu hatua ya kuondolewa nembo za chama cha UDA za wilbarow zilizokuwa […]
-
NATEMBEYA ATANGAZA KUJIUZULU JUMA HILI.
NA BENSON ASWANIMshirikishi wa utawala eneo la bonde la ufa George Natembeya ametangaza kuwa atajiuzulu kutoka wadhifa wake juma hili ili kujitosa rasmi katika ulingo wa kisiasa kuwania ugavana wa […]
Top News










