News
-
SERIKALI YAENDELEZA MIKAKATI YA KUFANIKISHA MTAALA WA UMILISI CBC.
NA BENSON ASWANISerikali imeendelea kuweka mikakati ya kuhakikisha kuwa mtaala wa umilisi CBC unafanikishwa jinsi ilivyopangwa.Mkurugenzi wa elimu eneo la Kipkomo kaunti hii ya Pokot magharibi Evans Onyancha amesema kuwa […]
-
WAKAZI TRANS WATAKIWA KUWA MAKINI KATIKA UCHAGUZI MKUU UJAO.
NA BENSON ASWANIWito umetolewa kwa wapiga kura Kaunti ya Trans Nzoia kumakinika zaidi mwaka huu kwa kuwachagua viongozi watakaohakikisha usimamizi bora wa rasilimalii zao mbali na utekelezwaji wa miradi ya […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUANDAMA WATU WACHACHE WANAOSABABISHA UTOVU WA USALAMA KERIO VALLEY.
NA BENSON ASWANIAliyekuwa gavana wa kwanza kaunti ya Baringo Benjamin Cheboi amesema kwamba jamii nzima haistahili kulaumiwa kutokana na utovu wa usalama unaoshuhudiwa katika eneo la bonde la kerio.Cheboi amesema […]
-
MSHIRIKISHI WA UTAWALA ENEO LA BONDE LA UFA GEORGE NATEMBEYA AJIULUZU
Mshirikishi wa utawala eneo la bonde la ufa George Natembeya hatimaye ametangaza kujiuzulu wadhifa wake ili kuzingatia safari yake ya kugombea ugavana wa kaunti ya Trans nzoia katika uchaguzi mkuu […]
-
WATU WAWILI WAJERUHIWA KUHUSIANA NA SIASA ZA ‘WILBARO’ POKOT MAGHARIBI.
NA BENSON ASWANIWatu wawili wanauguza majeraha katika hospitali ya kapenguria kaunti hii ya Pokot magharibi baada ya kuvamiwa kwa mshale kwa kudaiwa kung’oa wailbaro zilizokuwa zimetundikwa karibu na kalbu ya […]
-
PENDEKEZO LA KUFANYIA WANAFUNZI VIPIMO SHULENI LAENDELEA KUIBUA HISIA.
NA BENSON ASWANIHisia mseto zimeendelea kuibuliwa miongoni mwa wadau katika sekta ya elimu kuhusu pendekezo la kufanyia vipimo wanafunzi kutoka shule ambazo ziliripoti kuteketezwa majengo ya shule ili kubaini iwapo […]
-
JUHUDI ZAIDI ZAHITAJIKA KUKABILI MIMBA ZA MAPEMA POKOT MAGHARIBI.
NA BENSON ASWANILicha ya visa vya mimba za mapema miongoni mwa wanafunzi wa kike kuonekana kushuka katika kaunti hii ya Pokot magharibi, ipo haja ya wadau kutia juhudi katika kubuni […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUIMARISHA USALAMA KATIKA BONDE LA KERIO.
NA BENSON ASWANIKatibu wa chama cha walimu nchini knut kaunti ya Baringo Joshua Cheptarus ameomba serikali ya kitaifa na ile ya kaunti kushugulikia swala la utovu wa usalama katika bonde […]
-
BUNGE LA SENETI KUANZA MJADALA KUHUSU SHERIA ZA VYAMA VYA UCHAGUZI.
Bunge la seneti linatarajiwa kuanza leo vikao vyake vya kujadili mswada wa mabadiliko ya sheria za vyama vya kisiasa ambao ulijadiliwa na kupitishwa wiki iliyopita na bunge la kitaifa katika […]
-
WAKULIMA WAHIMIZWA KUJIANDAA KWA MSIMU WA UPANZI POKOT MAGHARIBI.
NA BENSON ASWANIWakulima katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kujiandaa kwa ajili ya kilimo msimu wa upanzi unapotarajiwa kuwadia.Ni wito wake wa afisa mkuu katika wizara ya kilimo, mifugo, […]
Top News










