News
-
SERIKALI YATAKIWA KUIMARISHA USALAMA CHEPTULEL.
NA BENSON ASWANIChama cha walimu nchini KNUT tawi la Pokot magharibi kimeelezea wasi wasi kuendelea kuripotiwa utovu wa usalama eneo la Cheptulel mpakani pa kaunti hii na kaunti jirani ya […]
-
WANDANI WA RUTO WAKASHIFU KURUGWA NEMBO YA UDA CHEPARERIA.
NA BENSON ASWANIViongozi mbali mbali wandani wa naibu rais William Ruto katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kukashifu hatua ya kuondolewa nembo za chama cha UDA za wilbarow zilizokuwa […]
-
NATEMBEYA ATANGAZA KUJIUZULU JUMA HILI.
NA BENSON ASWANIMshirikishi wa utawala eneo la bonde la ufa George Natembeya ametangaza kuwa atajiuzulu kutoka wadhifa wake juma hili ili kujitosa rasmi katika ulingo wa kisiasa kuwania ugavana wa […]
-
HATUA YA KUONDOLEWA NEMBO ZA UDA CHEPARERIA YASHUTUMIWA VIKALI.
Viongozi wa chama cha UDA eneo bunge la Pokot kusini katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameshutumu hatua ya kuondolewa nembo ya wilbaro ya chama hicho iliyokuwa imewekwa eneo la […]
-
SERIKALI YATANGAZA OPARESHENI YA KUTWAA SILAHA HARAMU KERIO VALLEY.
Serikali imetangaza kuanza oparesheni ya kutwaa silaha ambazo zinamilikiwa kinyume cha sheria katika kaunti za Elgeyo marakwet na Baringo kufuatia utovu wa usalama unaoshuhudiwa katika kaunti hizo.Oparesheni hii inafuiatia mauaji […]
-
VIONGOZI WATAKIWA KUWASAIDIA WANAFUNZI WENYE MATATIZO YA KARO BARINGO.
Katibu wa kitaifa wa idara ya elimu ya juu katika chama cha walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri KUPPET Sammy Chelang’a ameirai jamii na viongozi kuwasadia wanafunzi […]
-
‘FARASI NI WAWILI AGOSTI 9,’ ASEMA MULIPUKO.
Kinyang’anyiro cha urais katika uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti kitakuwa baina ya farasi wawili hivyo vigogo wa muungano wa one Kenya alliance OKA wanafaa kutafakari kuhusu misimamo yao.Haya ni kulingana […]
-
VIWANGO VYA MAAMBUKIZI YA CORONA VYARIPOTIWA KUPANDA POKOT MAGHARIBI.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuendelea kuzingatia kanuni za wizara ya afya kuzuia msambao wa virusi vya corona ili kusalia salama hasa msimu huu ambapo maambukizi yanaripotiwa […]
-
WAKUU WA SHULE WATETEA HATUA YA KUWAREJESHA NYUMBANI WANAFUNZI.
Baadhi ya wakuu wa shule katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametetea hatua yao ya kuwatuma nyumbani wanafunzi kutafuta karo siku chache tu baada ya shule kufunguliwa kwa muhula wa […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUIMARISHA USALAMA KATIKA BONDE LA KERIO.
NA BENSON ASWANIViongozi kutoka eneo bunge la Marakwet magharibi kaunti ya Elgeyo marakwet wameendelea kashifu uvamizi uliotekelezwa na wahalifu katika eneo la chepkum katika wadi ya arror ambapo watu watatu […]
Top News










