News
-
HATUA YA MUDAVADI KUSHIRIKIANA NA RUTO YAZIDI KUIBUA HISIA NCHINI.
Hisia mseto zimeendelea kuibuliwa nchini kufuatia hatua ya kinara wa chama cha ANC Musalia Mudavadi kuamua kushirikiana na naibu rais William Ruto kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi agosti.Baadhi ya wandani […]
-
VIONGOZI BARINGO WASHINIKIZA KUBADILISHEA MBINU ZA KUKABILI UTOVU WA USALAMA KAUNTI HIYO.
Pana haja ya kubadilishwa mbinu za kukabili utovu wa usalama unaochangiwa na uvamizi pamoja na wizi wa mifugo kwenye eneo bunge la baringo kaskazini na kusini kwenye kaunti ya baringo.Kulingana […]
-
SERIKALI YA LONYANGAPUO YAZIDI KUKASHIFIWA KWA MADAI YA UFISADI.
Uchaguzi mkuu wa agosti 9 unapokaribia wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuwa makini na kuweka kwenye mizani kila kiongozi ili kuwachagua viongozi kulingana na rekodi yao ya […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUJISAJILI KWA WINGI KUWA WAPIGA KURA.
Awamu ya pili ya zoezi la kuwasajili wapiga kura wapya likiingia wiki ya pili, miito imeendelea kutolewa kwa vijana ambao hawajajisajili kuhakikisha kuwa wanafika katika vituo vya kuwasajili wapiga kura […]
-
CALEB AMISI APIGWA JEKI KUWANIA TENA UBUNGE SABOTI, TRANS NZOIA.
Mbunge Saboti Caleb Amisi amepigwa jeki katika azma yake ya kuwania tena ubunge wa eneo bunge hilo katika uchaguzi mkuu ujao baada ya mgombea wa kiti hicho kwa chama cha […]
-
MIKAKATI YAENDELEA KUWEKWA KUKABILI MABADILIKO YA HALI YA ANGA TRANS NZOIA.
Shirika la climate change Governance chini ya mradi wa Anglican Development Services kwa ushirikiano na serikali ya Kaunti ya Trans Nzoia zimebuni mfumo utakaowezesha Kaunti ya Trans Nzoia kupata ufadhili […]
-
WIZARA YA ELIMU YATAKIWA KUWEKEZA ZAIDI KATIKA MASWALA YA ELIMU KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Mbunge wa Kapenguria katika kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Moroto ameitaka wizara ya elimu kuwekeza zaidi katika shule za maeneo ya mashinani ili kuwapa nafasi wanafunzi katika shule hizo […]
-
WITO WATOLEWA KWA VIONGOZI KUWAFANYIA WANANCHI MAENDELEO KATIKA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI NA BENSON AWASNI
Aliyekuwa mwakilishi wadi mteule Lucy Lotee amemsuta vikali mwakilishi wadi ya kapenguria katika kaunti hii ya Pokot magharibi Emmanuel Madi kwa kile amedai kutowajibika katika majukumu yake.Bi. Lotee ambaye ametangaza […]
-
LONYANGAPUO ASHUTUMIWA KWA KAULI YAKE KUHUSU REKODI YAKE YA MAENDELEO POKOT MAGHARIBI.
Hisia mseto zimeendelea kuibuliwa na wakazi wa kaunti hii ya pokot magharibi kuhusu kauli za gavana John Lonyangapuo katika vyombo vya habari kuhusu utendakazi wake katika kipindi ambacho amekuwa mamlakani.Wakiongozwa […]
-
WANANCHI WAHITAJIKA KUTOA USHIRIKIANO ZAIDI KATIKA VITA DHIDI YA DHULUMA KWA WATOTO.
Shirika la Topoyo kwa ushirikiano na lile la DSW linalokabiliana na dhuluma dhidi ya watoto linaendeleza uhamasisho kwa jamii kuhusu umuhimu wa kuripoti visa vya dhuluma hizi punde wanapovishuhudia.Wakizungumza mjini […]
Top News










