News
-
SHULE YA KIBINAFSI JACK AND JILL TRANSNZOIA YANGAA KAUNTI HIYO KATIKA MTIHANI WA KCPE
Mkurugenzi wa shule ya msingi ya Jack and Jill katika kaunti ya Trans nzoia Nelson Pinto Atudo amepongeza matokeo bora ambayo yamerekodiwa na shule hiyo katika mtihani wa kitaifa KCPE […]
-
WANAFUNZI WENGI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAMENGAA KATIKA MTIHANI WA KITAIFA WA KCPE
Shule ya msingi ya Town View katika kaunti hii ya Pokot magharibi ni miongoni mwa zilizotia fora kwenye mtihani wa kitaifa wa darasa la nane KCPE mwaka huu ambao umetangazwa […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YASHUTUMIWA KWA UKARABATI WA BAJETI.
Huenda serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi ikakosa kupokea tena mgao unaotolewa kwa serikali za kaunti baada ya kubainika kuwa uongozi wa kaunti umekuwa ukikarabati bajeti yake.Haya ni kwa […]
-
UKOSEFU WA AJIRA WATAJWA KUWA CHANZO CHA UTOVU WA USALAMA BONDE LA KERIO.
Ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana wengi nchini umechangia wengi wao kujiingiza katika visa vya uhalifu ili kuweza kujikimu kimaisha na pia kumudu mahitaji ya familia zao.Haya ni kulingana na […]
-
WASOMI BARINGO WATAKA KUTAFUTWA SULUHU KUHUSU UTOVU WA USALAMA KAUNTI HIYO.
Wasomi katika wadi ya marigat kaunti ya Baringo wanaitaka serikali kuu kwa ushirikiano na viongozi kutafuta suluhu ya kudumu kwa tatizo la utovu wa usalama kwenye baadhi ya maeneo ya […]
-
VIONGOZI KAUNTI YA TRANSNZOIA WAMETAKA KUHAKIKISHIWA USALAMA WAO
Wawaniaji Viti wanaogemea Mrengo wa Odm Trans nzoia wametaka kuhakikishiwa usalama wao wanapoendeleza kampeini za uchaguzi hapo mwakani.Wakiongozwa na Dorothy Alioba pamoja na Naomi Okul,wawaniaji hao wanadai kunyimwa usalama licha […]
-
WAKULIMA WATAKA BEI ZA PEMBEJEO KUSHUSHWA KAUNTI YA TRANSNZOIA
Wakulima katika kaunti ya transzoia wameadhirika sana na hali mbaya ya hewa ambayo imedhiri upanzi na uzalishaji wa chakula katika kaunti hiyo.Wakulima kutoka kijiji cha kapsitwet ambao wanajihusisha na ukuzaji […]
-
WASHUKIWA WAWILI WAFIKISHWA MAHAKAMANI KAPENGURIA BAADA YA KUPATIKANA NA VILEO HUMU NCHINI KUTOKA NCHI JIRANI YA UGANDA
Kesi kuhusu ukwepaji wa kodi inayowahusu washukiwa wawili kaunti hii ya Pokot magharibi imetajwa katika mahakama ya kapenguria ambapo washukiwa walitakiwa kujibu mashitaka dhidi yao.Geoffrey Torotich ambaye ni dereva na […]
-
WASHUKIWA WAWILI WA UVAMIZI WAUAWA NA POLISI CHESOGON.
Washukiwa wawili wa uvamizi wameuliwa kwa kupigwa risasi huku wengine wakiuguza majeraha mabaya kufuatia makabiliano makali na maafisa wa polisi usiku wa kuamkia leo eneo la chesogon mpakani pa kaunti […]
-
JAMII YA SABAOT TRANS NZOIA YAGAWANYIKA KUHUSU NAIBU GAVANA WA KEN LUSAKA.
Viongozi wa jamii ya sabaot katika kaunti ya Trans nzoia wameshindwa kuafikiana kuhusu ni nani anayepaswa kuteuliwa kuwa naibu gavana wa Ken Lusaka kwenye uchaguzi mkuu ujao kwa madai ya […]
Top News










