News
-
DORIA ZA PAMOJA ZAENDELEZWA MIPAKANI PA POKOT MAGHARIBI NA TURKANA KUHAKIKISHA USALAMA.
Mikakati inaendelea kuwekwa kuhakikisha kwamba usalama unadumishwa mipakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Turkana.Kulingana na OCPD wa eneo la Pokot ya kati Bamford Surwa, maafisa […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUKUMBATIA ELIMU YA MTOTO WA KIKE.
Mtoto wa kike katika kaunti hii ya Pokot magharibi ataweza kufanya vyema zaidi katika mitihani ya kitaifa iwapo jamii itawekeza zaidi kwao na kujitenga na ukeketaji pamoja na ndoa za […]
-
RUTO ASUTWA KWA KUINGILIA UBUNGE WA SABOTI TRANS NZOIA.
Mbunge wa Saboti kaunti ya Trans nzoia Caleb Amisi amemsuta naibu Rais William Ruto kwa kile amedai kupanga jinsi atahakikisha anabanduliwa katika kiti hicho kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi agosti […]
-
MTU MMOJA AUAWA KATIKA UVAMIZI SAMARICH.
Taharuki imetanda katika kijiji cha Uncertainty Sarimach mpakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Turkana baada ya mtu mmoja kufariki, na wengine kadhaa kujeruhiwa vibaya na […]
-
SHULE NNE ZAFUNGWA BARINGO KUSINI KUFUATIA UTOVU WA USALAMA.
Wakazi kwenye baadhi ya maeneo ya Baringo kusini ambako kumeshuhudiwa utovu wa usalama wameendelea kuishi kwa hofu kufuatia kushambuliwa mara kwa mara na watu wanaoaminika kuwa wezi wa mifugo.Uhalifu huo […]
-
WANASIASA WATAKIWA KUHUBIRI AMANI TRANS NZOIA.
Wito umetolewa kwa wanasiasa nchini kuhubiri na kukumbatia amani na utangamano wakati wanapofanya siasa zao za uchaguzi mkuu wa Agosti 9.Akihutubu wakati wa fainali ya kombe la Pukose iliyoandaliwa katika […]
-
WAKAAZI WA KAUNTI HII POKOT WAHIMIZWA KUPANDA MITI ZAIDI
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi kuendeleza juhudi za upanzi wa miti ili kuafikia asilimia kubwa ya misitu. Akizungumza wakati wa upanzi wa miti katika shule […]
-
GAVANA LONYANGAPUO AIMARISHA SERKALI YAKE KATIKA KUAJIRI MAAFISA ZAIDI
Siku chache baada ya baadhi ya viongozi kaunti hii ya Pokot magharibi kutaja serikali ya gavana John Lonyangapuo kuwa isiyo na maafisa wenye ujuzi katika sekta mbali mbali hali ambayo […]
-
UKOSEFU WA SERKALI KUTOA VISODO WALEMAZA MASOMO TRANSNZOIA
Ukosefu wa serikali kutoa sodo kwa wanafunzi wa kike kwa wakati imetajwa kama chagamoto wengi wa wathiriwa wakikosa masomo hali inauolemaza usawa baina ya wavulana na wasichana.Kwa mujibu wa viongozi […]
-
VIONGOZI WATAKA MIRADI ILIYOANZISHWA KAUNTI YA TRANSNZOIA KUKAMILISHWA
Mwaniaji wa usenata katiaka kaunti ya transzoia henry ole ndiema amesema miradi mikuu iliyoanzishwa muhula wa kwanza wa gavana Patrick khaemba vilevile akihudumu kwenye wadhifa huo wa usenata sharti ikamilishwe,Miradi […]
Top News










