News
-
KAMPUNI YA KENYA POWER KAUNTI YA POKOT IMEAHIDI KUREKEBISHA VIZINGITI VYA STIMA KAUNTI NZIMA
Kampuni ya umeme Kenya power kaunti hii ya Pokot magharibi inakabiliwa na changamoto kuhusu vizingiti vya stima ambavyo havidumu kwa kipindi kinachotarajiwa kufuatia athari za mchwa.Kulingana na meneja wa kampuni […]
-
TAHADHARI YATOLEWA KWA UMMA DHIDI YA MATAPELI WANAOJIFANYA KUWA MAAFISA WA KENYA POWER.
Visa vya utapeli kwa kutumia jina la kampuni ya umeme ya Kenya power vimeripotiwa kukithiri katika kaunti hii ya Pokot magharibi cha hivi punde kikihusu shule ya upili ya wasichana […]
-
WALIMU WAKUMBATIA CBC LICHA YA KUONEKANA KUPINGA AWALI.
Licha ya kuonekana kupinga awali mtaala wa umilisi CBC ulipokuwa ukizinduliwa kwa mara ya kwanza nchini walimu sasa wamekumbatia mtaala huo.Kulingana na mwalimu mkuu wa shule ya upili ya Asilong […]
-
OPARESHENI YA KUWAFURUSHA WAKAZI KATIKA MSITU WA MAKUNGA TRANS NZOIA YAANZISHWA.
Serikali imeanzisha oparesheni ya kuwahamisha wakazi ambao wameuvamia msitu wa makunga eneo bunge la Saboti kwenye kaunti ya Trans nzoia na ambako wanaendeleza shughuli za kilimo.Akizungumza baada ya kikao na […]
-
WAKULIMA POKOT MAGHARIBI WAKADIRIA HASARA KUFUATIA UVAMIZI WA VIWAVI JESHI.
Serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi inaendelea kuweka mikakati ya kukabili kusambaa kwa viwavi jeshi ambao wameripotiwa kuvamia mashamba ya wakulima katika maeneo mbali mbali ya kaunti hii wakati […]
-
MWANGA WA TUMAINI KWA MWANAFUNZI AMBAYE NUSRA AKATIZE NDOTO YAKE.
Siku chache tu baada ya kituo hiki kuangazia masaibu yaliyomkabili mtahiniwa mmoja wa darasa la nane kutoka mtaa wa mawingo road viungani mwa mjini wa makutano Brian Kemboi ambaye alikuwa […]
-
WALIMU WATAKIWA KUTOWATUMA NYUMBANI WANAFUNZI KUFUATIA UKOSEFU WA
Mbunge wa kwanza katika kaunti ya Trans nzoia Ferdinand Wanyonyi ametilia mkazo agizo la waziri wa elimu Prof. George Magoha kwa wakuu wa shule nchini kutowatuma nyumbani wanafunzi kwa ajili […]
-
DORIA ZA PAMOJA ZAENDELEZWA MIPAKANI PA POKOT MAGHARIBI NA TURKANA KUHAKIKISHA USALAMA.
Mikakati inaendelea kuwekwa kuhakikisha kwamba usalama unadumishwa mipakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Turkana.Kulingana na OCPD wa eneo la Pokot ya kati Bamford Surwa, maafisa […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUKUMBATIA ELIMU YA MTOTO WA KIKE.
Mtoto wa kike katika kaunti hii ya Pokot magharibi ataweza kufanya vyema zaidi katika mitihani ya kitaifa iwapo jamii itawekeza zaidi kwao na kujitenga na ukeketaji pamoja na ndoa za […]
-
RUTO ASUTWA KWA KUINGILIA UBUNGE WA SABOTI TRANS NZOIA.
Mbunge wa Saboti kaunti ya Trans nzoia Caleb Amisi amemsuta naibu Rais William Ruto kwa kile amedai kupanga jinsi atahakikisha anabanduliwa katika kiti hicho kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi agosti […]
Top News










