News
-
UTEUZI WA KARUA KUWA MGOMBEA MWENZA WA RAILA WAENDELEA KUPONGEZWA.
Baada ya mgombea wa urais katika muungano wa Azimio la Umoja Raila Odinga kumuteua Martha Karua kuwa mgombea mwenza, sherehe zilisheheni katika mji wa Kitale kina Mama wakisifia hatua ya […]
-
MTU MMOJA AULIWA KUFUATIA UVAMIZI TILAKAI POKOT MAGHARIBI.
Mtu mmoja ameuliwa huku wengine watatu wakiuguza majeraha mabaya baada ya shambulizi lililotokea katika vijiji vya Tilakai, Chepkokogh na Cheratak kwenye Wadi ya Lomut Pokot Magharibi.Uvamizi huo umetekelezwa na majambazi […]
-
POGHISIO APUUZA MADAI YA KUWEPO MPANGO WA KUMUUNGA MGOMBA MMOJA WA UGAVANA POKOT MAGHARIBI CHINI YA AZIMIO.
Seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amepuuzilia mbali madai kuwa kaunti hii imetengewa mgombea mmoja chini ya muungano wa azimio la umoja one Kenya kwa wadhifa wa […]
-
VIONGOZI WA DINI WAANDAA MAOMBI YA AMANI BARINGO.
Viongozi wa baraza la madhehebu mbali mbali kwenye kaunti ya baringo kwa ushirikiano na wale wa kisiasa katika eneo bunge la baringo kusini wameandaa mkutano wa pamoja kwa ajili ya […]
-
WADAU KATIKA SEKTA YA ELIMU WATAKA USALAMA KUIMARISHWA KATIKA MASHULE ZA MIPAKANI
Wadau wa sekta ya elimu katika kaunti ya elgeiyo marakwet sasa wanaitaka serikali kuu kuwahakikishia usalama wao walimu wanaofunza kwenye shule zilizoko eneo la bonde la kerio.Katibu mkuu wa chama […]
-
SHULE YA UPILI YA WAVULANA YA ORTUM YANGAA KATIKA MTIHANI WA KITAIFA
Shule ya upili ya Ortum katika kaunti hii ya Pokot magharibi ni miongoni mwa shule ambazo zilikuwa zikifahamika zaidi kwa visa vya utovu wa nidhamu miongoni mwa wanafunzi ikiripoti visa […]
-
KAMPUNI YA KENYA POWER KAUNTI YA POKOT IMEAHIDI KUREKEBISHA VIZINGITI VYA STIMA KAUNTI NZIMA
Kampuni ya umeme Kenya power kaunti hii ya Pokot magharibi inakabiliwa na changamoto kuhusu vizingiti vya stima ambavyo havidumu kwa kipindi kinachotarajiwa kufuatia athari za mchwa.Kulingana na meneja wa kampuni […]
-
TAHADHARI YATOLEWA KWA UMMA DHIDI YA MATAPELI WANAOJIFANYA KUWA MAAFISA WA KENYA POWER.
Visa vya utapeli kwa kutumia jina la kampuni ya umeme ya Kenya power vimeripotiwa kukithiri katika kaunti hii ya Pokot magharibi cha hivi punde kikihusu shule ya upili ya wasichana […]
-
WALIMU WAKUMBATIA CBC LICHA YA KUONEKANA KUPINGA AWALI.
Licha ya kuonekana kupinga awali mtaala wa umilisi CBC ulipokuwa ukizinduliwa kwa mara ya kwanza nchini walimu sasa wamekumbatia mtaala huo.Kulingana na mwalimu mkuu wa shule ya upili ya Asilong […]
-
OPARESHENI YA KUWAFURUSHA WAKAZI KATIKA MSITU WA MAKUNGA TRANS NZOIA YAANZISHWA.
Serikali imeanzisha oparesheni ya kuwahamisha wakazi ambao wameuvamia msitu wa makunga eneo bunge la Saboti kwenye kaunti ya Trans nzoia na ambako wanaendeleza shughuli za kilimo.Akizungumza baada ya kikao na […]
Top News










