News
-
MTU MMOJA AUAWA KATIKA UVAMIZI SAMARICH.
Taharuki imetanda katika kijiji cha Uncertainty Sarimach mpakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Turkana baada ya mtu mmoja kufariki, na wengine kadhaa kujeruhiwa vibaya na […]
-
SHULE NNE ZAFUNGWA BARINGO KUSINI KUFUATIA UTOVU WA USALAMA.
Wakazi kwenye baadhi ya maeneo ya Baringo kusini ambako kumeshuhudiwa utovu wa usalama wameendelea kuishi kwa hofu kufuatia kushambuliwa mara kwa mara na watu wanaoaminika kuwa wezi wa mifugo.Uhalifu huo […]
-
WANASIASA WATAKIWA KUHUBIRI AMANI TRANS NZOIA.
Wito umetolewa kwa wanasiasa nchini kuhubiri na kukumbatia amani na utangamano wakati wanapofanya siasa zao za uchaguzi mkuu wa Agosti 9.Akihutubu wakati wa fainali ya kombe la Pukose iliyoandaliwa katika […]
-
WAKAAZI WA KAUNTI HII POKOT WAHIMIZWA KUPANDA MITI ZAIDI
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi kuendeleza juhudi za upanzi wa miti ili kuafikia asilimia kubwa ya misitu. Akizungumza wakati wa upanzi wa miti katika shule […]
-
GAVANA LONYANGAPUO AIMARISHA SERKALI YAKE KATIKA KUAJIRI MAAFISA ZAIDI
Siku chache baada ya baadhi ya viongozi kaunti hii ya Pokot magharibi kutaja serikali ya gavana John Lonyangapuo kuwa isiyo na maafisa wenye ujuzi katika sekta mbali mbali hali ambayo […]
-
UKOSEFU WA SERKALI KUTOA VISODO WALEMAZA MASOMO TRANSNZOIA
Ukosefu wa serikali kutoa sodo kwa wanafunzi wa kike kwa wakati imetajwa kama chagamoto wengi wa wathiriwa wakikosa masomo hali inauolemaza usawa baina ya wavulana na wasichana.Kwa mujibu wa viongozi […]
-
VIONGOZI WATAKA MIRADI ILIYOANZISHWA KAUNTI YA TRANSNZOIA KUKAMILISHWA
Mwaniaji wa usenata katiaka kaunti ya transzoia henry ole ndiema amesema miradi mikuu iliyoanzishwa muhula wa kwanza wa gavana Patrick khaemba vilevile akihudumu kwenye wadhifa huo wa usenata sharti ikamilishwe,Miradi […]
-
POGHISIO ATOA WITO WA KUZIDISHWA JUHUDI ZA KUTWAA SILAHA HARAMU MAENEO KAME.
Seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameelezea kusikitishwa na umiliki wa hali ya juu wa bunduki miongoni mwa raia nchini hasa maeneo kame.Akirejelea kisa cha kujipiga risasi […]
-
WAZAZI WALALAMIKIA GHARAMA YA JUU YA BIDHAA ZA SHULE WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA WAKISAJILIWA.
Usajili wa wanafunzi ambao wanajiunga na kidato cha kwanza ukiendelea kote nchini baada ya shughuli hiyo kung’oa nanga jumatano, wazazi katika kaunti hii ya Pokot Magharibi wakilalamikia kupanda kwa gharama […]
-
UTOVU WA USALAMA BARINGO WAATHIRI USAJILI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA.
Huenda utovu wa usalama katika kaunti ya Baringo ukaathiri hatma ya baadhi ya wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwanza baada yaw engine kulazimika kuyahama makazi yao.Baadhi ya wanafunzi katika eneo […]
Top News









