News
-
POGHISIO AHIMIZA KUZINGATIWA TAMADUNI ZA JAMII YA POKOT.
Ipo haja kwa viongozi mbali mbali ambao wanachaguliwa kuongoza kaunti hii ya Pokot magharibi kuzingatia pakubwa swala la tamaduni za jamii ya kaunti hii.Akizungumza baada ya kuhudhuria sherehe ya kitamaduni […]
-
VIJANA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUDUMISHA AMANI KIPINDI CHA UCHAGUZI.
Kiongozi wa vijana youth bunge katika kaunti hii ya Pokot magharibi Richard Todosia amewataka vijana katika kaunti hii kudumisha amani kabla wakati na hata baada ya uchaguzi mkuu wa mwezi […]
-
WANAWAKE TRANS NZOIA WAHIMIZWA KUJIUNGA NA SEKTA YA JUA KALI.
Kutokana na mchango wa sekta ya jua kali kwa uchumi wa taifa ambayo ni asilimia ishirini na tano wakenya wa jinsia ya kike wameshauriwa kujiunga na sekta hiyo ili kunufaika […]
-
WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINADAM WALALAMIKIA GHARAMA YA MAISHA NCHINI.
Wanaharakati wa haki za binadam nchini wameshutumu hatua ya kuendelea kuongezwa bei za mafuta nchini hali ambayo imepelekea kupanda gharama ya maisha wakenya wengi wakishindwa kukidhi mahitaji ya kimsingi kukiwemo […]
-
KIWANGO CHA SAMAKI TURKWEL CHAONGEZEKA
Kiwango cha samaki katika bwawa la Turkwel katika kaunti hii ya Pokot magharibi kimeongezeka hali ambayo imepelekea kuimarika biashara ya samaki eneo hili.Mwenyekiti wa mamlaka ya maendeleo ya Kerio valley […]
-
MIITO YA AMANI MSIMU WA UCHAGUZI YAENDELEA KUTOLEWA.
Mwaniaji wa kiti cha Mwakilishi wadi ya Mnagei kaunti hii ya Pokot magharibi kupitia chama cha ODM Richard Mwareng’ ameahidi kuimarisha maisha ya vijana iwapo atachaguliwa kuongoza wadi hiyo katika […]
-
MGOMBEA UWAKILISHI WA LWANDANYI APUUZA MADAI YA KUJIONDOA KINYANG’ANYIRONI.
Mgombea kiti cha mwakilishi wadi ya Lwandanyi katika kaunti ya Bungoma Levy Nabangi amepuuzilia mbali uvumi ambao unaenezwa na baadhi ya wanasiasa eneo hilo kuwa amejiondoa katika kinyang’anyiro hicho na […]
-
WAKUU WA VYUO MAGHARIBI YA NCHI WAITAKA SERIKALI KUTOA FEDHA KWA WAKATI.
Walimu wakuu wanaosimamia vyuo vikuu na vile vya anuwai katika eneo la magharibi ya nchi wameomba serikali kutoa fedha za awamu ya nne kwa wakati unaofaa ili kusaidia matayarisho ya […]
-
MADAI YA LONYANGAPUO YA KUIMARIKA SEKTA YA ELIMU CHINI YA UTAWALA WAKE YAPUUZILIWA MBALI NA VIONGOZI POKOT MAGHARIBI.
Baadhi ya viongozi wa kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamepuuzilia mbali kauli ya gavana John Lonyangapuyo kwamba sekta ya elimu katika kaunti hii imeimarika zaidi chini ya uongozi […]
Top News










