News
-
VIONGOZI WA CHAMA CHA ODM WAMEJITOKEZA KUUNGA MKONO KAULI YA ODINGA KUHUSU SAJILI MBADALA YA WAPIGA KURA KUTUMIKA
Mwenyekiti wa chama cha ODM katika kaunti hii ya Pokot magharibi Joseph Akaule ametetea hatua ya kinara wa muungano wa azimio la umoja one Kenya Raila Odinga kushinikiza sajili mbadala […]
-
VIONGOZI WAENDELEA KULAUMU UONGOZI WA GAVANA WA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Mwakilishi Maalum Ozil Kasheusheu ameendelea kumlaumu Gavana Lonyangapuo kwa madai ya kukawia kwa miradi mingi iliyokuwa kwenye manifesto yake.Akizungumza katika Kipindi Cha Mpigo wa Kalya Radio leo asubuhi, Ozil ametaja […]
-
MWAKILISHI WA AKINA MAMA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI AWATAKA WANASIASA KUFANYA SIASA KOMAVU
Wanasiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuenedelza siasa komavu na kujitenga na kutumia majukwaa ya kisiasa kuelekeza cheche za maneno kwa wapinzani wao.Ni wito wake mwakilishi kina mama […]
-
ALIYEKUWA MEYA WA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI ASHTUMU UONGOZI WA GAVANA JOHN LONYANGAPUO
Viongozi wa matabaka mbali mbali katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendeleza shutuma dhidi ya serikali ya gavana wa sasa John Lonyangapuo kufuatia utendakazi wake katika kipindi cha miaka mitano […]
-
VIONGOZI KAUNTI YA UASINGISHU WAHAKIKISHIA WAKAAZI WA ENEO HILO USALAMA WAKATI WA UCHAGUZI.
Gavana Jackson Mandago ametoa hakikisjo kwa wenyeji kwamba amani itaendelea kudumu kabla wakati na hata baada ya uchaguzi wa agosti tisa na hivyo akawataka kutoishi na wasiwasiAkizungumza katika eneo la […]
-
WAKAAZI WA POKOT WAHIMIZWA KUDUMISHWA AMANI WAKATI HUU NA BAADA YA UCHAGUZI.
Wito umetolewa kwa wagombea wakisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi na wakazi kwa jumla kuhakikisha kuwa wanadumisha umoja na utangamano kipindi hiki taifa linapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi […]
-
WANAOENDESHA KAMPENI ZA USIKU WAONYWA BARINGO.
Idara ya usalama kwenye kaunti ndogo ya Eldama ravine kaunti ya baringo imewaonya viongozi wanaowania nyadhifa za kisiasa kwenye uchaguzi mkuu wa agosti 9 dhidi ya kuandaa mikutano nyakati za […]
-
WANASIASA TRANS NZOIA WAHIMIZWA KUHUBIRI AMANI KATIKA KAMPENI ZAO.
Wazee kutoka jamii ya luhya katika kaunti ya Trans nzoia wameomba amani kabla wakati na hata baada ya uchaguzi mkuu ujao akiwataka viongozi ambao wanawania viti mbalimbali kuhubiri amani wakati […]
-
UPANGAJI UZAZI WAKUMBATIWA NA ASILIMIA KUBWA POKOT MAGHARIBI.
Takwimu za hivi punde zinaashiria kwamba asilimia kubwa ya wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi sasa wamekumbatia mbinu za kupanga uzazi.Akizungumza na wanahabari baada ya kikao cha kutoa matokeo […]
-
WITO UNAZIDI KUTOLEWA KWA SERKALI KUINGILIA KATI NA KUHAKIKISHA KWAMBA USALAMA UNADUMISHWA ENEO LA CHESOGON
Wakaazi eneo la lomut katika kaunti ya pokot magharibi wamekuwa wa hivi punde kujitokeza kushtumu visa vya utovu wa usalama mipakani pa kaunti hii ya pokot magharibi na elgeyo marakwet […]
Top News









