News
-
WANAOENDESHA KAMPENI ZA USIKU WAONYWA BARINGO.
Idara ya usalama kwenye kaunti ndogo ya Eldama ravine kaunti ya baringo imewaonya viongozi wanaowania nyadhifa za kisiasa kwenye uchaguzi mkuu wa agosti 9 dhidi ya kuandaa mikutano nyakati za […]
-
WANASIASA TRANS NZOIA WAHIMIZWA KUHUBIRI AMANI KATIKA KAMPENI ZAO.
Wazee kutoka jamii ya luhya katika kaunti ya Trans nzoia wameomba amani kabla wakati na hata baada ya uchaguzi mkuu ujao akiwataka viongozi ambao wanawania viti mbalimbali kuhubiri amani wakati […]
-
UPANGAJI UZAZI WAKUMBATIWA NA ASILIMIA KUBWA POKOT MAGHARIBI.
Takwimu za hivi punde zinaashiria kwamba asilimia kubwa ya wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi sasa wamekumbatia mbinu za kupanga uzazi.Akizungumza na wanahabari baada ya kikao cha kutoa matokeo […]
-
WITO UNAZIDI KUTOLEWA KWA SERKALI KUINGILIA KATI NA KUHAKIKISHA KWAMBA USALAMA UNADUMISHWA ENEO LA CHESOGON
Wakaazi eneo la lomut katika kaunti ya pokot magharibi wamekuwa wa hivi punde kujitokeza kushtumu visa vya utovu wa usalama mipakani pa kaunti hii ya pokot magharibi na elgeyo marakwet […]
-
VIONGOZI WATAKIWA KUHAKIKISHA KWAMBA USALAMA UNAIMARISHWA WAKATI HUU WA KAMPEINI NA BAADA YA KAMPEINI
Idara ya polisi katika kaunti hii ya Pokot magharibi imetoa wito kwa wanasiasa kuhakikisha kuwa amani inadumishwa kipindi hiki cha kampeni za uchaguzi mkuu wa mwezi agosti ili kila mmoja […]
-
WAKULIMA TRANS NZOIA WAELEZEA HOFU YA KUSAJILI HASARA MSIMU HUU.
Baadhi ya wakulima wa mahindi katika kaunti ya trans nzoia wameelezea wasi wasi wa kusajili hasara kubwa pindi watakapovuna mazao yao mwishoni mwa mwaka huu.Wakulima hao wamesema kuwa wengi wao […]
-
VIJANA POKOT MAGHARIBI WAKASHIFU VURUGU ZINAZOSHUHUDIWA KATIKA MIKUTANO YA KISIASA.
Wananchi wa matabaka mbali mbali nchini wameendelea kukashifu vurugu ambazo zilishuhudiwa katika mkutano wa muungano wa Kenya kwanza hiyo jana katika uwanja wa Jacaranda jijini Nairobi ambapo makundi mawili pinzani […]
-
WAKENYA KUENDELEA KUGHARAMIKIA HALI NGUMU YA MAISHA HADI BAADA YA UCHAGUZI MKUU.
Wakenya watalazimika kuendelea kugharamikia hali ngumu ya maisha inayotokana na kuendelea kuongezeka bei ya mafuta hadi baada ya uchaguzi mkuu wa tarehe 9 mwezi agosti wakati vikao vya bunge vitakaporejelewa […]
-
POGHISIO AHIMIZA KUZINGATIWA TAMADUNI ZA JAMII YA POKOT.
Ipo haja kwa viongozi mbali mbali ambao wanachaguliwa kuongoza kaunti hii ya Pokot magharibi kuzingatia pakubwa swala la tamaduni za jamii ya kaunti hii.Akizungumza baada ya kuhudhuria sherehe ya kitamaduni […]
-
VIJANA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUDUMISHA AMANI KIPINDI CHA UCHAGUZI.
Kiongozi wa vijana youth bunge katika kaunti hii ya Pokot magharibi Richard Todosia amewataka vijana katika kaunti hii kudumisha amani kabla wakati na hata baada ya uchaguzi mkuu wa mwezi […]
Top News










