News
-
WALEMAVU WAFAIDIKA NA MAGURUDUMU KAUNTI YA KAKAMEGA
Mbunge wa kaunti ya Kakamega Bi. Elsie Muhanda anapania kuwasilisha mswada katika bunge la kitaifa wa kutaka viwanda vya humu nchini na sekta mbali mbali kutenga asilimia kumi za ajira […]
-
WAKAAZI WA KACHELIBA WANUFAIKA NA MRADI WA MAJI
POKOT MAGHARIBI Wakazi wa eneo la kamketo kwenye wadi ya kasei wamempongeza katibu katika idara ya ugatuzi kwenye maeneo kame micah powon kwa kuwapokeza mizinga zaidi ya mia mbili ya […]
-
MWALIMU MMOJA AJINYONGA BAADA YA KUSONGWA NA MAWAZO YA MADENI CHEPARERIA
POKOT MAGHARIBI Hali ya simanzi imegubika shule ya upili ya kalya uko chepareria eneobunge la Pokot kusini ni baada ya mwalimu mmoja kujitia kitanzi nyumbani kwake asubuhi ya leo.Duru za […]
-
SHULE KADHAA NCHINI HAZIJAJIANDAA KUHUSIANA NA UFUNGUZI WA SHULE MAPEMA MWAKANI
Mbunge wa eneobunge la Kapenguria kaunti ya Pokot Magharibi Samwel Moroto amesema kwamba hadi sasa shule nyingi bado hazijakuwa tayari kukabiliana janga la corona kote nchini.Akizungumza katika shule ya upili […]
-
MPASUKO WA ARDHI UMESHUHUDIWA KATIKA ENEO LA CHESEGON KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Wakaazi wa eneo la Chesegon eneo bunge la Sigor kaunti ya Pokot Magharibi wanaishi kwa hofu baada ya kushuhudiwa mpasuko ardhini kukiwa na uwezekano wa mporomoko wa ardhi.Kwa mujibu wa […]
-
KIKAO CHA WAZEE KAUNTI YA UASIN GISHU ILI KULETA AMANI
UASIN GISHU Wazee wa jamii mbalimbali kwenye kaunti ya Uasin Gishu wanapanga kuandaa mkutano wa pamoja ili kujadili hatua watakazopiga ili kuhakikisha amani inadumu katika kaunti hiyo.Wakizungumza mjini Eldoret wazee […]
-
VIONGOZI WA KIDINI WASHAURI WANASIASA KUTOTUMIA HALI HII NGUMU KUJIPATIAUMAARUFU
KAKAMEGAViongozi wa dini ya Msambwa katika kaunti ndogo ya Lugari kaunti ya Kakamega wamewataka wanasiasa kutotumia hali ngumu inayosababishwa na ugonjwa wa Korona kujitafutia umaarufu kisiasaWakiongozwa na mzee Nasongo, James […]
-
VIJANA KWENYE KAUNTI YA UASIN GISHU WASHAURIWA KUTOTUMIWA NA WANASIASA KUVURUGA AMANI NCHINI
Gavana wa kaunti ya Uasin Gishu Jackson Mandago amewataka vijana kutotumiwa na wanasiasa ili kuzua vurugu kwenye hafla ya kisiasa wakati na baada ya uchaguzi mkuu.Akizungumza na wanahabari mjini Eldoret, […]
-
WAUZAJI WA VILEO KWENYE KAUNTI YA TRANS NZOIA WAMEPATA AFUENI YA SIKU 60 KUHUDUMU HUKU BUNGE LIKISAKA MWAFAKA WA UTOAJI LESENI.
Wauzaji wa vileo kwenye kaunti ya Trans Nzoia wamepata afueni baada ya bunge la kaunti kuwapa siku 60 ya kuhudumu ikisaka mwafaka wa utoaji leseni.Kulingana na spika wa bunge hilo […]
-
SENETA WA POKOT MAGHARIBI SAMUEL POGHISIO AMELAANI VIKALI UFYATULIANAJI WA RISASI ULIOFANYIKA MPAKANI PA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI NA ELGEYO MARAKWET
Seneta wa kaunti ya Pokot Magharibi Daktari Samuel Poghisio amewakashifu vikali wajambazi wanoainiminika kutoka katika jamii ya marakwet ambao waliwajeruhi watu wawili kwa kuwapiga risasi siku mbili zilizopita katika eneo […]
Top News