News
-
MIMBA ZA MAPEMA ZIMESALIA CHANGAMOTO POKOT MAGHARIBI.
Swala la mimba za mapemamiongoni mwa wanafunzi limesalia changamoto katika kaunti hii ya Pokot magharibi.Haya ni kulingana na mwalimu mkuu wa shule ya upili ya wasichana ya St Bakhita Grace […]
-
NG’OLESIA AKANA MADAI KUWA ATAGOMBEA KITI CHA UBUNGE SIGOR.
Mwakilishi wadi ya Seker kaunti hii ya Pokot magharibi Thomus Ng’olesia amekana madai kuwa ananuia kugombea kiti cha ubunge katika eneo bunge la Sigor kwenye uchaguzi mkuu ujao.Akizungumza na kituo […]
-
SERIKALI YASHUTUMIWA KWA KUWAFURUSHA WAKAZI KATIKA ARDHI YA CHEPCHOINA.
Baadhi ya wakazi katika ardhi yenye utata ya Chepchoina katika mpaka wa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti ya Trans nzoia waliofurushwa katika ardhi hiyo wameendelea kulalamikia masaibu wanayopitia […]
-
WAKAZI KATIKOMOR WALALAMIKIA KUTELEKEZWA KWA MASWALA YA MAENDELEO
Wakazi wa eneo la Katikomor kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia kutelekezwa eneo hilo kwa maswala ya maendeleo hasa miundo mbinu katika shule za eneo hilo.Wakiongozwa na Cyrus Katikomor wakazi […]
-
WAAKILISHI WADI BUNGOMA WATAKIWA KUSITISHA MIPANGO YA KUMBANDUA GAVANA WANGAMATI
Viongozi wa dini katika kaunti ya Bungoma wametoa wito kwa waakilishi wadi katika kaunti hiyo kufanya mazungumzo na gavana wao Wyclife Wangamati ili kutatua uhasama uliopo kuhusu mchakato wa kuataka […]
-
WAKAZI MAKUTANO WAACHWA VINYWA WAZI HUKU MKAZI MMOJA AKIFANYA HARUSI NA ‘MUNGU’
Wakazi mjini makutano kaunti hii ya Pokot magharibi waliachwa na mshangao baada ya mama mmoja kutoka eneo la Kalorema kujifanyia harusi mwenyewe katika bustani ya Chelang’a mjini Makutano kwa madai […]
-
SHULE YA TABADAN ACADEMY YASIFIWA KWA KUWAHUDUMIA WAATHIRIWA WA DHULUMA ZA JINSIA
Wazazi wametakiwa kutowaondoa wanao katika shule ya msingi ya Tabadan academy iliyoko eneo la Kacheliba kaunti hii ya Pokot magharibi na badala yake kuhakikisha wanafunzi zaidi wanajiunga na shule hiyo. […]
-
IDARA ZA UCHUNGUZI ZATAKIWA KUCHUNGUZA KUPORWA FEDHA ZA CHAM CHA USHIRIKA KACHELIBA
Wanachama wa chama kimoja cha ushirika eneo la Kacheliba katika kaunti hii ya Pokot magharibi wanalilia haki baada ya kuporwa fedha zao na wanaodaiwa kuwa viongozi wa chama hicho wakitaka […]
-
FAMILIA YAOMBOLEZA KIFO CHA POLISI WA UTAWALA KISHAUNET
Familia moja eneo la Kishaunet kaunti hii ya Pokot magharibi inaendelea kuomboleza kifo cha mmoja wao Clement Mnang’at ambaye alikuwa mmoja wa polisi wa utawala waliouliwa majuzi kaunti ya Mandera, […]
-
UAMUZI WA KUTUPILIA MBALI MCHAKATO WA BBI WAENDEELA KUPONGEZWA
Uamuzi wa majaji watano wa mahakama kuu walioharamisha mchakato wa kuifanyia katiba marekebisho kupitia mswada wa BBI umeendelea kupongezwa wa hivi punde wakiwa ni viongozi kutoka kaunti ya Baringo. Wakiongozwa […]
Top News










