News
-
WAKAZI WA KAPCHOK WAKADIRIA HASARA BAADA YA KUFA ZAIDI YA NG’OMBE 80
Zaidi ya familia 13 za wafugaji katika wadi ya kapchok kaunti hii ya Pokot magharibi wanakadiria hasara baada ya zaidi ya ng’ombe 80 kufa bila kujulikana kilichosababisha hali hiyo.Mwakilishi wadi […]
-
KUPIGWA MARUFUKU POMBE KWAIMARISHA HALI YA MAISHA KABICHBICH
Maisha ya wakazi wa eneo la Kabichbich, Lelan kaunti hii ya Pokot magharibi yameimarika pakubwa tangu kupigwa marufuku ugemaji pombe haramu na pia uuzaji aina yoyote ya pombe eneo hilo […]
-
WAKAZI WA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUJITOKEZA ILI KUFAHAMU HALI YAO YA HIV
Takriban watu alfu 4,312 wanaugua virusi vya hiv katika kaunti hii ya Pokot magharibi.Haya ni kwa mujibu wa afisa anayesimamia mpango wa hiv katika kaunti hii Nelly Achokor ambaye hata […]
-
WATETEZI WA MAZINGIRA KAUNTI YA TRANS NZOIA WALALAMIKIA UJENZI WA SOKO KATIKA MSITU WA SWAM
Baadhi ya viongozi wanaotetea mazingira katika eneo la Swam Endebess kaunti ya Trans Nzoia wamesema kuwa ujenzi wa soko unakusudiwa katika msitu wa Swam huenda ukaathiri vyanzo vya maji katika […]
-
SEKTA YA BODABODA NCHINI INACHANGIA UKUAJI WA TAIFA
Sekta ya bodaboda humu nchini imetajwa kuwa miongoni mwa zinazochangia zaidi katika ukuaji wa uchumi nchini.Mwakilishi wa wadi ya Kapomboi katika kaunti ya Trans Nzoia Bernad Mlipuko ambaye alikuwa mwendeshaji […]
-
SERIKALI KUU NA YA KAUNTI HII YA POKOT MAGHARIBI YASHAURIWA KUWEKEZA ZAIDI KATIKA MIUNDO MISINGI YA SHULE
Wito umetolewa kwa serikali ya kaunti hii ya Pokot Magharibi kwa ushirikiano na serikali ya kitaifa kuwekeza zaidi katika miundo msingi kwenye shule za kaunti hii.Ni wito wake mwakilishi wadi […]
-
WANAHARAKATI BUNGOMA WAAHIDI KUWALIPIA DHAMANA WAFUNGWA
Wanaharakati wa vuguvugu la Bungoma Liberation katika kaunti ya Bungoma wameahidiu kushirikiana na idara ya magereza katika kaunti hiyo kuwalipia dhamana wafungwa ambao wanadaiwa kiwango kisichozidi alfu 10 kila mmoja.Akitoa […]
-
WAMILIKI HALALI WA ARDHI TRANS NZOIA WAHAKIKISHIWA USALAMA WA ARDHI ZAO
Serikali imejitolea kikamilifu kusuluhisha mizozo ya ardhi katika kaunti ya Trans nzoia kwa kuwapa hati miliki wamiliki halali.Kamishina wa kaunti hiyo Sam Ojwang amesema serikali imeendelea kuchapisha zaidi ya hati […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YATAKIWA KUSHUGHULIKIA SWALA LA BARABARA ENEO LA CHEMAKEU
Wakazi wa eneo la Chemakeu katika wadi ya Riwo kaunti hii ya Pokot magharibi wametoa wito kwa serikali ya kaunti kupitia idara ya barabara kukarabati daraja linalounganisha eneo la Chemakeu […]
-
WAFANYIKAZI 70 KAUNTI YA BUNGOMA WAHOJIWA NA EACC KWA MADAI YA UFISADI
Tume ya maadili na kukabili ufisadi eacc imewahoji wafanyikazi 70 wa bunge la kaunti ya bungoma kuhusu ufisadi wa shilingi bilioni 3.2Aidha tume hiyo imewapa majuma mawili kurejesha fedha hizo […]
Top News