News
-
VIONGOZI KAKAMEGA WAKASHIFU HOSPITALI YA BUTERE KWA UTEPETEVU
Viongozi wa kisiasa wakiwemo wawakilishi wadi kutoka eneobunge la Butere kauti ya KaKamega walitembelea hospitali ya Butere level 4 na kulaani kitendo ambacho mgonjwa alifariki na kusalia kwenye wadi kwa […]
-
WAKENYA WASHAURIWA KUJITOKEZA ILIKUJISAJILI KUWA WAPIGA KURA
Viongozi mbalimbali wanazidi kuwasihi wakenya kujitokeza ndani ya siku thelathini zilizotolewa kusajiliwa kuwa wapiga kura katika kaunti ya Uasingishu.Wanasiasa hao akiwemo Jackson Mandago ambaye ni gavana wanaendeleza wito huo.Wakizungumza na […]
-
SERIKALI YAHIMIZWA KUWAPA VIJANA VITAMBULISHO
Viongozi wa vyama tofauti vya kisiasa katika kaunti ya Kakamega wanaitaka serkali kupitia idara ya usajili wa watu kuhakikisha imeweka mikakati ya kuwapa watu Vitambulisho vya kitaifa ambayo imeripotiwa kurundika […]
-
MWANAMME MMOJA APATIKANA NA BASTOLA BILA RISASI LIKUYANI
Maafisa wa Polisi katika kaunti ndogo ya likuyani wanamzuilia mwanamme mmoja mwenye umri wa miaka ishirini na minne baada ya kupatikana na bastola katika kijiji cha kongoni.Akidhibitisha kisa hiki kinara […]
-
VIONGOZI WATAKA MTAALA WA CBC KUANGAZIWA KWANZA POKOT MAGHARIBI
Itakuwa vigumu kwa mtaala mpya wa elimu CBC kutekelezwa kwa ufanisi katika kaunti hii ya Pokot magharibi iwapo changamoto zinazoambatana na utekelezwaji wa mtaala huo hazitashughulikiwa kabla ya kutekelezwa.Akizungumza na […]
-
VIJANA WATAKIWA KUJITOKEZA KWA WINGI ILIKUJISAJILI KAMA WAPIGA KURA TRANSNZOIA
Huku tume huru ya uchaguzi na uratibu wa mipaka nchini iebc ikianza zoezi la kuwasajili wa wapiga kura kote nchini hii leoMbunge wa kaunti ya transnzoia Bi Janet Nagambo amewarai […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUUNGA MKONO CHAMA CHA KANU.
Seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ametoa wito kwa wakazi wa kaunti hii kuunga mkono kikamilifu chama cha KANU kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka ujao.Akizungumza baada ya […]
-
MSHUKIWA WA MAUAJI AJIWASILISHA KITUO CHA POLISI KAPENGURIA.
Maafisa wa upelelezi katika kituo cha polisi cha kapenguria kaunti hii ya pokot magharibi wanatarajiwa kumfungulia mashtaka ya mauaji jamaa mmoja ambaye amejiwasilisha jana katika kituo hicho akidai kumuua mpenziwe.Inaarifiwa […]
-
UKEKETAJI WAPUNGUA SIGOR
Visa vya ukeketaji wa watoto wa kike eneo la Sigor kaunti hii ya Pokot magharibi vimepungua pakubwa hali ambayo imechangiwa na uhamasisho dhidi ya tamaduni hiyo ambayo inatolewa katika shule […]
-
MASKWOTA CHEPCHOINA WATAKA MAKAO YA KUDUMU.
Maskwota wanaoishi kwenye ardhi yenye utata ya Chepchoina katika kaunti ya Trans nzoia wamemwomba rais Uhuru Kenyatta kuwapa makao ya kudumu kabla ya kukamilika muhula wake mwaka ujao.Maskwota hao wengi […]
Top News










