News
-
MIUNDO MSINGI DUNI YATATIZA 100% YA WANAFUNZI KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA.
Huenda sera ya serikali kuhakikisha asilimia 100 ya wanafunzi wanaofanya mtihani wa kitaifa kwa darasa la nane KCPE wanajiunga na kidato cha kwanza ikakosa kuafikiwa kikamilifu.Haya ni kwa mujibu wa […]
-
MACHIFU TRANS NZOIA WATAKIWA KUKABILI POMBE HARAMU.
Machifu katika maeneo mbali mbali ya kaunti ya Trans nzoia wametakiwa kushirikiana na wadau wengine katika idara ya usalama kaunti hiyo kuhakikisha kuwa ugemaji wa pombe haramu pamoja na utumizi […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUONDOA SIASA KATIKA MIRADI YA SERIKALI.
Wito umetolewa kwa viongozi wa siasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi kukoma kuingiza siasa katika miradi ya serikali kwenye taasisi za umma ikiwemo vituo vya afya pamoja na taasisi […]
-
VIONGOZI TRANS NZOIA WASHUTUMU KUFURUSHWA MASKWATA KATIKA ARDHI YA ADC.
Viongozi kutoka Kaunti ya Trans Nzoia wameitaka serikali kupitia wizara ya kilimo kuangazia upya kufurushwa kwa maskwata katika ardhi moja inayodaiwa kumilikiwa na shirika la ustawishaji Kilimo nchini ADC.Wakihutubu eneo […]
-
WAHUDUMU WA BODA BODA WATAKIWA KUWA MAKINI DHIDI YA WIZI WA PIKIPIKI.
Vijana katika kaunti hii ya Pokot magharibi wanaonunua pikipiki na kujiunga na sekta ya boda boda wametakiwa kuwa waangalifu na kuchukua tahadhari dhidi ya wizi wa pikipiki ambao umeripotiwa kuongezeka […]
-
NRT YAENDELEZA MAFUNZO KWA WAKULIMA POKOT MAGHARIBI.
Shirika la SEFA chini ya Northern Rangelands Trust NRT limeendelea kutoa mafunzo kwa wakulima katika kaunti hii ya Pokot magharibi kuhusu kilimo bora.Afisa katika shirika hilo Beatrice Hadeny amesema kuwa […]
-
KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI YAPOKEZWA DAWA ZA KIMA CHA SHILINGI M 44.6.
Ni afueni kwa wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi baada ya serikali ya kaunti hii kupokea dawa za kima cha shilingi milioni 44.6 kutoka kwa mamlaka ya kusambaza dawa […]
-
TRANS NZOIA YAPOKEA DAWA ZA KIMA CHA SHILINGI M 54.7 KUTOKA KEMSA.
Ni afueni kwa wenyeji wa Kaunti ya Trans Nzoia baada ya kaunti hiyo kupokea dawa za kima cha shilingi Milioni 54.7 kutoka mamlaka ya usambazaji dawa na vifaa vya matibabu […]
-
WAFANYIBIASHARA KONYAO WALALAMIKIA KUATHIRIWA NA WENZAO KUTOKA UGANDA.
Wafanyibiashara wa viazi kwenye soko la Konyao katika kaunti hii ya pokot magharibi wamelalamikia kuharibika bei ya bidhaa hiyo hali wanayoihusisha na viazi kutoka nchini Uganda.Wakiongozwa Rosana kashior wafanyibiashara hao […]
-
JAMII YA SENGWER YAAPA KUMSIMAMISHA GAVANA 2022.
Jamii ya Sengwer katika kaunti hii ya Pokot magharibi imelalamikia pakubwa kutengwa kwa muda mrefu katika siasa za kaunti hii licha ya kuwepo idadi kubwa ya watu wa jamii hiyo […]
Top News