News
-
UMASIKINI WATAJWA KUWA CHANZO KIKUU CHA WANAFUNZI WENGI KUKOSA KUHUDHURIA MASOMO POKOT MAGHARIBI.
Na Benson AswaniUmasikini, njaa na ndoa nyingi zilizovunjika ndio maswala ambayo yamechangia pakubwa idadi kubwa ya watoto ambao hawaendi shuleni eneo bunge la Kacheliba katika kaunti hii ya Pokot magharibi.Akizungumza […]
-
WAKAZI WATAKIWA KUJITOKEZA KUJISAJILIWA KUWA WAPIGA KURA ZOEZI HILO LINAPOTAMATIKA.
Na Benson AswaniZoezi la kuwasajili wapiga kura wapya linapoendelea kufika tamati, viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kuwahamasisha wakazi hasa vijana kujitokeza kwa wingi kusajiliwa ili kuwa wapiga […]
-
KINA MAMA WATAKA KUPEWA FURSA YA KUONGOZA KATIKA NYADHIFA ZA SIASA.
Na Benson AswaniNi wakati kina mama pia wanastahili kupewa fursa ya uongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi.Haya ni kwa mujibu wa mgombea kiti cha ubunge katika eneo bunge la […]
-
SIASA ZATAJWA KUCHANGIA KUTUPILIWA MBALI BBI.
Na Benson AswaniViongozi wa shirika la kidini la Women of faith kaunti hii ya Pokot magharibi wametaja siasa kuwa chanzo cha kutajwa mchakato wa kufanyia katiba marekebisho kupitia mpango wa […]
-
NDOA ZA MAPEMA NA UKEKETAJI WASALIA CHANGAMOTO KWA ELIMU YA MTOTO WA KIKE.
Na Benson AswaniSwala la mimba za mapema pamoja na ukeketaji kwa mtoto wa kike kaunti hii ya Pokot magharibi limesalia changamoto kuu kwa elimu ya mtoto wa kike licha ya […]
-
GAVANA LONYANGAPUO ATAKIWA KUWEKA WAZI MIRADI YA MAENDELEO ALIYOTEKELEZA.
Na Benson AswaniGavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi John Lonyangapuo anapotarajiwa kugombea kiti hicho kwa muhula wa pili katika uchaguzi mkuu wa mwaka ujao, shinikizo zimeendelea kutolewa kwake kuweka […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUSAMBAZA CHAKULA KATIKA SHULE KAUNTI YA BARINGO.
Na Benson AswaniKaunti ya Baringo ikiwa miongoni mwa kaunti 23 nchini zilizoathirika na ukame, baadhi ya viongozi kwenye kaunti hiyo sasa wanaitaka serikali kusambaza chakula shuleni kama njia ya kuhakikisha […]
-
SIASA ZAPIGWA MARUFUKU MAKANISANI POKOT MAGHARIBI.
Na Benson AswaniViongozi wa kidini katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamekubaliana kwa kauli moja kutoruhusu viongozi wa kisiasa kuendeleza kampeni zao katika maeneo ya kuabudu.Katika taarifa kwa vyombo vya […]
-
AFISA WA BODI YA KUAJIRI WAFANYIKAZI NA WAKILI WA KAUNTI WAHOJIWA.
Na Benson AswaniKamati ya bunge la kaunti ya Pokot magharibi kuhusu uteuzi imeendesha mchujo wa waliopendekezwa kuhudumu katika wadhifa afisa mkuu mtendaji wa bodi ya kuajiri wafanyikazi na wakili wa […]
-
‘MIKAKATI ZAIDI YAHITAJIKA KUWAREJESHA WATOTO SHULENI’, YASEMA KNEC
Na Benson AswaniSiku moja baada ya idara ya usalama kwa ushirikiano na wadau wengine kaunti hii ya Pokot magharibi kutangaza kuanza oparesheni ya kuhakikisha watoto wote katika kaunti hii wanarejeshwa […]
Top News










