News
-
WAKULIMA TRANS NZOIA WATAKIWA KUKUMBATIA MPANGO WA WAREHOUSE RECEIPT SYSTEM.
Na Benson AswaniWito umetolewa kwa wakulima Kaunti ya Trans Nzoia Kukumbatia Mpango wa serikali wa kuhifadhi nafaka katika maghala bodi ya nafaka na mazao nchini NCPB chini ya mpango wa […]
-
UGEMAJI POMBE WAIBUA WASIWASI KUHUSU HATIMA YA VIJANA BARINGO KASKAZINI.
Na Benson AswaniWasomi katika eneo bunge la Baringo kaskazini kwenye kaunti ya Baringo sasa wanawataka maafisa wa usalama kuanzisha msako mkali wa kuwakabili wagemaji na wauzaji wa pombe haramu.Wakiongizwa na […]
-
SHIRIKA LA CY KENYA LAENDELEZA MAFUNZO SHULENI KUHUSU COVID 19.
Na Benson AswaniShirika la CY Kenya kwa ushirikiano na wizara ya elimu linaendeleza mafunzo katika shule mbali mbali katika kaunti hii ya Pokot Magharibi ya jinsi ya kukabiliana na visa […]
-
WADAU WA ELIMU POKOT MAGHARIBI WAKASHIFU VISA VYA KUTEKETEZWA MAJENGO YA SHULE.
Na Benson AswaniWadau katika sekta ya elimu katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamelaani vikali utovu wa nidhamu miongoni mwa wanafunzi kufuatia visa vya kuteketezwa majengo ya shule ambavyo vimeendelea […]
-
WAZAZI WALAUMIWA KWA UTOVU WA NIDHAMU MIONGONI MWA WANAFUNZI.
Na Benson AswaniHuku visa vya wanafunzi kuchoma shule vikizidi kushuhudiwa kote nchini viongozi wa kidini wamelaumu wazazi kutowapa wanao ushauri nasaha na mwongozo bora katika maisha mbali na kutohudhuria mafunzo […]
-
SHINIKIZO ZATOLEWA KWA MAGOHA KUJIUZULU.
Na Benson AswaniKufuatia ongezeko la visa vya mikasa ya moto shuleni mwakilishi wadi ya Bartabwa katika kaunti ya Baringo Ruben Chepsongol sasa anamtaka waziri wa elimu Prof George Magoha kujiuzulu […]
-
USAJILI WA PIGA KURA WAPYA WATAJWA KUWATENGA WANAOISHI NA ULEMAVU.
Na Benson AswaniWatu wanaoishi na ulemavu katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametengwa pakubwa katika shughuli nzima ya kusajiliwa wapiga kura wapya ambayo imekuwa ikiendelezwa na tume huru ya uchaguzi […]
-
MAGOHA ASHUTUMIWA KWA KUSEMA WAZAZI WATAGHARAMIA UHARABIFU SHULENI.
Na Benson AswaniWakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametofautiana vikali na kauli ya waziri wa elimu Prof. George Magoha kuwa serikali haitogharamia ujenzi wa majengo ya shule ambayo yanateketezwa […]
-
ONYO YATOLEWA KWA WANAOVURUGA MIKUTANO YA KISIASA TRANS NZOIA.
Na Benson AswaniMshirikishi wa serikali eneo la bonde la ufa George Natembeya ameonya vikali dhidi ya vijana kutumika kuvuruga mikutano inayoandaliwa na wagombea nyadhifa mbali mbali katika uchaguzi mkuu wa […]
-
MIITO YA KUREJESHWA KIBOKO SHULENI YAENDELEA KUTOLEWA.
Na Benson AswaniViongozi katika kaunti ya Baringo sasa wanapendekeza kurejeshwa kwa adhabu ya viboko shuleni ili kukabili utovu wa nidhamu miongoni mwa wanafunzi ambao unatajwa kuwa moja ya sababu ya […]
Top News










