News
-
MSHIRIKISHI WA UTAWALA ENEO LA BONDE LA UFA GEORGE NATEMBEYA AJIULUZU
Mshirikishi wa utawala eneo la bonde la ufa George Natembeya hatimaye ametangaza kujiuzulu wadhifa wake ili kuzingatia safari yake ya kugombea ugavana wa kaunti ya Trans nzoia katika uchaguzi mkuu […]
-
WATU WAWILI WAJERUHIWA KUHUSIANA NA SIASA ZA ‘WILBARO’ POKOT MAGHARIBI.
NA BENSON ASWANIWatu wawili wanauguza majeraha katika hospitali ya kapenguria kaunti hii ya Pokot magharibi baada ya kuvamiwa kwa mshale kwa kudaiwa kung’oa wailbaro zilizokuwa zimetundikwa karibu na kalbu ya […]
-
PENDEKEZO LA KUFANYIA WANAFUNZI VIPIMO SHULENI LAENDELEA KUIBUA HISIA.
NA BENSON ASWANIHisia mseto zimeendelea kuibuliwa miongoni mwa wadau katika sekta ya elimu kuhusu pendekezo la kufanyia vipimo wanafunzi kutoka shule ambazo ziliripoti kuteketezwa majengo ya shule ili kubaini iwapo […]
-
JUHUDI ZAIDI ZAHITAJIKA KUKABILI MIMBA ZA MAPEMA POKOT MAGHARIBI.
NA BENSON ASWANILicha ya visa vya mimba za mapema miongoni mwa wanafunzi wa kike kuonekana kushuka katika kaunti hii ya Pokot magharibi, ipo haja ya wadau kutia juhudi katika kubuni […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUIMARISHA USALAMA KATIKA BONDE LA KERIO.
NA BENSON ASWANIKatibu wa chama cha walimu nchini knut kaunti ya Baringo Joshua Cheptarus ameomba serikali ya kitaifa na ile ya kaunti kushugulikia swala la utovu wa usalama katika bonde […]
-
BUNGE LA SENETI KUANZA MJADALA KUHUSU SHERIA ZA VYAMA VYA UCHAGUZI.
Bunge la seneti linatarajiwa kuanza leo vikao vyake vya kujadili mswada wa mabadiliko ya sheria za vyama vya kisiasa ambao ulijadiliwa na kupitishwa wiki iliyopita na bunge la kitaifa katika […]
-
WAKULIMA WAHIMIZWA KUJIANDAA KWA MSIMU WA UPANZI POKOT MAGHARIBI.
NA BENSON ASWANIWakulima katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kujiandaa kwa ajili ya kilimo msimu wa upanzi unapotarajiwa kuwadia.Ni wito wake wa afisa mkuu katika wizara ya kilimo, mifugo, […]
-
VIJANA TRANS NZOIA WATAKIWA KUTOKUBALI KUTUMIA VISIVYO KISIASA.
NA BENSON ASWANIWito umetolewa kwa vijana kaunti ya Trans nzoia na taifa kwa jumla kutokubali kutumika vibaya na wanasiasa kuzua vurugu na badala yake kukumbatia amani.Akizungumza kwenye hamasisho kwa vijana […]
-
MITAA YA MABANDA TRANS NZOIA KUIMARISHWA.
NA BENSON ASWANISerikali ya kaunti ya Trans nzoia inalenga kuboresha miundo msingi kwenye mitaa mbali mbali ya mabanda katika kaunti hiyo.Waziri wa ardhi katika kaunti hiyo Boniface Wanyonyi amesema kuwa […]
-
VIONGOZI WANDELEA KULALAMIKI UTOVU WA USALAMA POKOT MAGHARIBI.
NA BENSON ASWANIViongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kulalamikia visa vya utovu wa usalama mpakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo marakwet hasa […]
Top News










