News
-
WANASIASA WAONYWA DHIDI YA KUTUMIA MSAADA WA CHAKULA KUJIPIGIA DEBE.
Mwakilishi wadi maalum kaunti hii ya Pokot magharibi Elijah kasheusheu amepongeza hatua ya serikali kutoa msaada wa mahindi kwa ajili ya wakazi wanaokabiliwa na makali ya njaa maeneo mbali mbali […]
-
UFISADI WATAJWA KUWA KIKWAZO KIKUU KWA UKUAJI WA UCHUMI POKOT MAGHARIBI.
Mwaniaji kiti cha mwakilishi kina mama katika kaunti hii ya Pokot magharibi kupitia chama cha KANU Bi. Catherine Mukenyang amesema kuwa utawala wake utatoa kipau mbele kwa vita dhidi ya […]
-
WAPIGA KURA 220,026 WASAJILIWA POKOT MAGHARIBI
Afisa wa uchaguzi katika tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC kaunti hii ya Pokot Magharibi Joyce Wamalwa amesema Jumla ya wapiga kura alfu 220,026 wamesajiliwa kuwa wapiga kura.Katika mahojiano […]
-
WAGOMBEA NYADHIFA ZA KISIASA WAONYWA DHIDI YA KUVURUGA AMANI.
Idara ya polisi katika kaunti ya Pokot magharibi imetoa wito kwa wagombea nyadhifa mbali mbali za siasa katika uchaguzi mkuu ujao kaunti hii kuhakikisha kwamba wanadumisha amani wakati wanapoendeleza kampeni […]
-
ONYO YATOLEWA KWA WABAKAJI BUKWO.
Visa vya mimba za mapema, ndoa za mapema pamoja na ubakaji miongoni mwa watoto wa kike vimeripotiwa kukithiri mipakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na taifa jirani la Uganda.Akizungumza […]
-
MUKENYANG AAPA KUBADILISHA DHANA KUHUSU WANASIASA.
Mwaniaji kiti cha mwakilishi kina mama katika kaunti hii ya Pokot magharibi Catherine Mukenyang amesema kuwa atazingatia uwazi katika matumizi ya fedha za umma iwapo atatwaa kiti hicho katika uchaguzi […]
-
MOTO WATEKETEZA SOKO LA MAKUTANO POKOT MAGHARIBI.
Mgombea ugavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi kupitia chama cha UDA Simon Kachapin ameisuta vikali serikali ya gavana John Lonyangapuo kwa kile amesema kuwa utepetevu katika kushughulikia majanga kaunti […]
-
VITA VYA UKRAINE HAVIJAATHIRI GHARAMA YA MAISHA NCHINI; ASEMA RUTO
Mgombea urais wa chama cha UDA William Ruto amepuuzilia mbali madai ya Rais Uhuru Kenyatta kwamba gharama ya juu ya maisha kwa sasa imechangiwa pakubwa na vita baina ya Ukraine […]
-
GHARAMA YA MAISHA NCHINI YAZIDISHA VILIO.
Hisia mbali mbali zimeendelea kuibuliwa nchini kufuatia kuendelea kupanda gharama za bidhaa mbali mbali hasa za kimsingi.Wakiongozwa na Richard poriot mkaazi wa mawingo road viungani mwa mji wa makutano, wakaazi […]
-
MRADI WA KENYA CLIMATE SMART WAINGIA AWAMU YA NNE POKOT MAGHARIBI.
Mradi wa kilimo wa Kenya climate smart agriculture project ambao unaendelezwa katika kaunti hii ya Pokot magharibi kwa nia ya kuwawezesha zaidi wakulima, umeanza awamu yake ya nne ya kutoa […]
Top News









