News
-
“MLINICHEZEA KISIASA, NITAWACHEZEA KISIASA.” KAULI YAKE LONYANGAPUO KUHUSU MSAADA WA CHAKULA.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi John Lonyangapuo amepuuzilia mbali madai ya baadhi ya viongozi wa kisiasa kaunti hii kwamba anatumia msaada wa chakula uliotolewa na serikali kwa ajili ya […]
-
LONYANGAPUO AAHIDI USHIRIKIANO WA SERIKALI YAKE NA VIONGOZI WA DINI.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi John Lonyangapuo ameahidi kushirikiana kikamilifu na viongozi wa kidini katika serikali yake iwapo atachaguliwa tena kuongoza kaunti hii kwa muhula wa pili katika uchaguzi […]
-
MAANDALIZI YA UCHAGUZI AGOSTI 9 YAENDELEA KUIBUA TUMBO JOTO.
Tume ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC imetakiwa kuwa na msimamo mmoja kuhusu maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwezi agosti.Ni wito ambao umetolewa na seneta wa kaunti ya Pokot magharibi […]
-
WAFANYIKAZI TRANS NZOIA WARIDHIA HATUA YA SERIKALI KUTOA BIMA.
Mwenyekiti wa muungano wa wafanyakazi wa serikali ya kaunti ya Trans Nzoia Samuel Juma Kiboi amepongeza hatua ya serikali ya Kaunti hiyo kutoa bima ya afya kwa wafanyakazi kaunti hiyo akisema […]
-
BAADHI YA VIONGOZI BARINGO WATAKA MARUFUKU YA KUTOKUWA NJE KUONDOLEWA
Viongozi eneo la Baringo kaskazini kaunti ya Baringo wameitaka serikali kuondoa marufuku ya siku 30 ya kutokuwa nje nyakati za usiku ambayo iliwekwa takriban mwezi mmoja uliopita.Wakiongozwa na mwaniaji kiti […]
-
SERIKALI YAENDELEZA MIKAKATI YA KUWANUSURU WAKAZI KUTOKANA NA MAKALI YA UKAME POKOT MAGHARIBI.
Serikali imeanza mpango wa kununua na kuchinja ng’ombe katika kaunti hii ya Pokot magharibi kwa lengo la kuwanusuru wafugaji dhidi ya hasara ambayo husababishwa na ukame, ambapo pia inalenga kutumia […]
-
MIITO YA AMANI YAENDELEA KUTOLEWA SIKU CHACHE KABLA YA UCHAGUZI MKUU.
Vijana katika Kaunti ya Pokot Magharibi wameapa kutokubali kushirikiana na wanasiasa wanaowatumia kuvuruga mikutano ya wapinzani wao kwa manufaa yao ya binafsi.Wakiongozwa na Stephen machar wakaazi wa kaunti hii wameendelea […]
-
KHAEMBA ATOA CHANGAMOTO KWA MRIDHI WAKE KUMPIKU KIMAENDELEO.
Gavana wa kaunti ya Trans nzoia Patrick Khaemba ambaye anakamilisha hatamu yake ya uongozi amemrai gavana wa pili atakayechaguliwa kuongoza kaunti hiyo kujibidiisha kutekeleza miradi zaidi ya alivyofanya katika mihula […]
-
MATAMSHI YA RUTO YAKASHIFIWA NA VIONGOZI TRANSNZOIA
Viongozi wanaoegemea mrengo wa Kenya kwanza wamekashifu matamshi ya naibu wa rais wiliam ruto aliyetoa dhidi ya waziri wa ulinzi eugine wamalwa wakimwomba ahubiri amani kwa Wakaazi wa Kenya nzimaWakiongozwa […]
-
WAKAAZI ENEO LA SIGOR WAOMBWA KUDUMISHA AMANI WAKATI HUU WA UCHAGUZI
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti hii ya pokot magharibi kudumisha amani na kutokubali kutumika vibaya na wanasiasa kuvuruga amani kwa manufaa yao ya binafsi hasa wakati huu ambapo taifa […]
Top News









