News
-
MIITO YA SIASA ZA AMANI YAENDELEZWA POKOT MAGHARIBI.
Miito imeendelea kutolewa kwa wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi na taifa kwa jumla kudumisha amani hasa wakati huu wa siasa za uchaguzi mkuu wa mwezi agosti ili kuandaa […]
-
AFUENI KWA WEKENYA UNGA UKIPUNGUZWA HADI SHILINGI 100 KWA KIPINDI CHA MAJUMA MANNE YAJAYO.
Katika kipindi cha siku 28 zijazo wakenya watapata fursa ya kununua unga wa mahindi kwa bei ya chini kufuatia tangazo la wizara ya kilimo kwamba mfuko wa unga wa kilo […]
-
MAAFISA TRANS NZOIA WAONYWA DHIDI YA KUJIHUSISHA NA KAMPENI ZA UCHAGUZI.
Maafisa wa serikali ya kaunti ya Trans nzoia wametakiwa kukoma kujihusisha na kampeni za uridhi wa gavana Patrick Khaemba na badala yake kuwahudumia wakazi wakati wakisubiri kumpigia kura mgombea yeyote […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YASUTWA KWA ‘UTENDAKAZI DUNI’.
Seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amewasuta vikali viongozi wa kisiasa katika kaunti hii ambao wanawania nyadhifa za uongozi katika uchaguzi mkuu wa mwezi agosti, anaodai kuwa […]
-
“MLINICHEZEA KISIASA, NITAWACHEZEA KISIASA.” KAULI YAKE LONYANGAPUO KUHUSU MSAADA WA CHAKULA.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi John Lonyangapuo amepuuzilia mbali madai ya baadhi ya viongozi wa kisiasa kaunti hii kwamba anatumia msaada wa chakula uliotolewa na serikali kwa ajili ya […]
-
LONYANGAPUO AAHIDI USHIRIKIANO WA SERIKALI YAKE NA VIONGOZI WA DINI.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi John Lonyangapuo ameahidi kushirikiana kikamilifu na viongozi wa kidini katika serikali yake iwapo atachaguliwa tena kuongoza kaunti hii kwa muhula wa pili katika uchaguzi […]
-
MAANDALIZI YA UCHAGUZI AGOSTI 9 YAENDELEA KUIBUA TUMBO JOTO.
Tume ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC imetakiwa kuwa na msimamo mmoja kuhusu maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwezi agosti.Ni wito ambao umetolewa na seneta wa kaunti ya Pokot magharibi […]
-
WAFANYIKAZI TRANS NZOIA WARIDHIA HATUA YA SERIKALI KUTOA BIMA.
Mwenyekiti wa muungano wa wafanyakazi wa serikali ya kaunti ya Trans Nzoia Samuel Juma Kiboi amepongeza hatua ya serikali ya Kaunti hiyo kutoa bima ya afya kwa wafanyakazi kaunti hiyo akisema […]
-
BAADHI YA VIONGOZI BARINGO WATAKA MARUFUKU YA KUTOKUWA NJE KUONDOLEWA
Viongozi eneo la Baringo kaskazini kaunti ya Baringo wameitaka serikali kuondoa marufuku ya siku 30 ya kutokuwa nje nyakati za usiku ambayo iliwekwa takriban mwezi mmoja uliopita.Wakiongozwa na mwaniaji kiti […]
-
SERIKALI YAENDELEZA MIKAKATI YA KUWANUSURU WAKAZI KUTOKANA NA MAKALI YA UKAME POKOT MAGHARIBI.
Serikali imeanza mpango wa kununua na kuchinja ng’ombe katika kaunti hii ya Pokot magharibi kwa lengo la kuwanusuru wafugaji dhidi ya hasara ambayo husababishwa na ukame, ambapo pia inalenga kutumia […]
Top News










