News
-
SHUGHULI YA KUWANUNUA MIFUGO NA KUWACHINJA YAANZA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Serkali kuu ikishirikiana na shirika la msalaba mwekundu imeanzisha mpango wa kununua mifugo na kuwachinjia Wakaazi katika kaunti kumi na tatu za maeneo kame ilikuwanusuru kutokana na athari za ukame […]
-
WAKULIMA WAHADAIWA NCHINI NA SERKALI KUU
Mgombea kiti cha ubunge kwa chama cha UDA Wesley Kipchumba Korir ameisuta serikali kuu kupitia kwa wizara ya Kilimo kwa kuwahadaa wakulima wa mahindi nchini. Akihutubia wenyeji eneo bunge hilo […]
-
ALIYEKUWA SPIKA WA BUNGE LA KAUNTI YA TRANSNZOIA AKOSOLEWA VIKALI
Mgombea kiti cha useneta Kaunti ya Trans Nzoia kwa chama cha ODM Muliro Musoke amekosoa vikali hatua ya aliyekuwa Spika Wa Kaunti ya Trans Nzoia Joshua Werunga kuendelea kukosoa utendakazi […]
-
WENYEJI WA POKOT MAGHARIBI WASHAURIWA KUMCHAGUA KIONGOZI WA AZIMIO LA UMOJA
Mwenyekiti wa chama cha ODM eneo la Kacheliba kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Lorien ameendelea kumpigia debe mombea urais wa chama cha muungano wa azimio la umoja one Kenya […]
-
SERKALI YA GAVANA LONYANGAPUO YASUTWA NA SENETA POGHISIO
Seneta wa kaunti hii ya Pokot Magharibi Samwel Poghisio ameendelea kuisuta serikali ya gavana John Lonyangapuo kuhusu jinsi ambavyo inashughulikia maswala mbali mbali yanayowakumba wakazi wa kaunti hii.Akirejelea visa vya […]
-
KIWANDA CHA NZOIA GRAINS CHAFUNGULIWA UPYA TRANS NZOIA.
Kiwanda cha kusaga mahindi cha Nzoia Grains Kaunti ya Trans Nzoia kimefunguliwa upya kuanza kusaga unga utakao anza kuuzwa kwa maduka hivi karibuni, baada ya mgombea wa kiti cha Ugavana […]
-
MASKWOTA WA CHEPCHOINA WATISHIA KUISHITAKI SERIKALI ICC.
Maskwota waliofurushwa kwenye ardhi yenye utata ya chepchoina mpakani pa kaunti hii ya Pokot Magharibi na kaunti jirani ya Trans nzoia wametishia kuishtaki serikali kwenye mahakama ya jinai mjini the […]
-
MIITO YA AMANI YAENDELEA KUTOLEWA TAIFA LIKIELEKEA KWENYE UCHAGUZI MKUU.
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi kudumisha amani na kutokubali kutumika vibaya na wanasiasa kuvuruga amani kwa manufaa yao ya binafsi hasa wakati huu ambapo taifa […]
-
KFS YAWAHAMISHA MAAFISA WAKE WOTE BAADA YA MAUAJI YA WATU WAWILI ELGEYO MARAKWET.
Shirika la huduma za misitu KFS limewahamisha maafisa wote katika kituo cha kulinda misitu cha Elgeyo forest katika kaunti ya Elgeyo Marakwet kufuatia mauaji ya watu wawili na wengine watatu […]
-
MALUMBANO BAINA YA RAIS NA NAIBU WAKE YAKASHIFIWA VIKALI.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wameshutumu majibizano ambayo yanaendelea kushuhudiwa baina ya rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto wakiyataja kuwa hatari hasa wakati huu ambapo taifa […]
Top News










